Wanaogopa wanaume kuoa tena mke mwangine pale wao watapo fariki, wanaona bora wamuandika mzazi kuliko mume.Kiukweli nimegundua wanawake wengi hawaandiki waume zao sababu ya maisha ya sasa ww ukiandika andika acha kuwaza jambo ilo ingawa linaumiza
Sababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.KAA CHINI UMUULIZE SABABU YA YEYE KUFANYA HIVYO, UTAPATA MAWILI MATATU
Na yeye aweke Mama yake utapendeza zaidi.Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.
Ngoma iwe draw,wanaita Ngoma ngondoigwa
Hizo taarifa hazina impact ikitokea mmoja ametangulia ni formalities za kiutumishi, hata akifa leo urithi hauendi kwa aliowaandika hadi taratibu za MIRATHI zifuatwe ambazo kwa sehemu kubwa husimamiwa na Msimamizi wa mirathi.Salaam kwenu
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe zakisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Jee, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
aisee kumbe, haya mambo yana namna yakeSababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
Sasa bahati mbaya umefariki una uwakiwa watoto wako watanufaika na mali zako? Kuna jambo nimejifunza kuna rafiki yangu kaka yake alfarikia kaacha mke na watoto wa3 na Nyumba na viwanja kwenye urithi aliandika baba yake, sasa cha kushangaza huyo baba yake ana chukua pesa za kodi ya nyumba ana wagaiya watoto wake t, huyo rafiki yangu akipewa mgao hana kataa, na huyo Baba hawapi mgao mke wa marehemu na wajukuu zake, viwanja vyote mzee ana uza pesa ana wagaiya watoto wake wa kuwa zaa tu.Unaandika mme ana nyumba ndongo ishirini kidogo. Mimi nimeandika wanangu na baba na mama yangu.
noma sanaπππ Madam ali-mind baada ya jamaa kumla re-sitter na kusahau kanga sebuleni mpaka wife kuifuma
Hawezi kumwandika kwenye urithi
Mmmh unauwakikaSababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
Chamsingi uzima ,ayo mambo yakufakufa Tena ....kuchuriana sasaKwa mawazo yako hapo nani atamtangulia mwenzake kufa.
Unaweza kutoa japo mfano wa sheria mojawapo ya mirathi iliyompendelea mwanaume?Yuko sawa 100% japo mie sijafanya hivyo. Mwanamke akifa mara nyingi ndugu wa mume na wengine hawagawanyi mirathi baba anabaki anaisimamia na watoto wake na hata akioa ni sawa. Ila mume akifa mali zinasambaratishwa na kugawanywa na hata akiolewa watataka aache kila kitu. Bado sheria za mirathi zimempendelea mwanaume.
Amekufanyia makusudi mkeo sio ndugu yako na wewe ungejiweka mwenyewe au mngejaza woteSalaam kwenu
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe zakisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Jee, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
Hv nyie wanawake[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]She doesn't trust you and even you don't trust her. Kwa nini ulitafuta kujua kama yeye amejaza nini,???