Na ndo maana wenye akili kama JK walisema wazi kwamba "sisi kama sisi, target yetu ni $3000 ndipo tutajua tumefika uchumi wa kati" kwa kufahamu, tukishafika hizo $3000, at least uchumi utaanza kuwa reflected kwa wananchi!
Ajabu, ma-CCM yanatamba kwamba tumefika uchumi wa kati kabla ya wakati wakati Vision 2025 inasema wazi kwamba target yetu ni $3000.
That being said, kama ni tamko la WB basi wasingetuambia kwamba tumefika uchumi wa kati kabla ya 2025 kwa sababu hiyo 2025 ni target yetu sisi kwa kiwango cha $3000!