Hivi wewe na akili zako za kindergarten, huko USA ambako one uchumi wa juu kabisa, hakuna raia waliokosa fedha mfukoni?? Na madeni juu??..Bernard Membe aliuliza wananchi waliohudhuria mkutano wake kuhusu fedha walizonazo mfukoni.
..Katika wananchi waliohudhuria mkutano ule wa kampeni hakuna aliyekuwa na shilingi elfu 10 mfukoni mwake.
..Wakati huohuo serikali inajigamba kwamba tumepanda daraja na kufikia uchumi wa kati.
..Kwa kweli CCM, Dkt. Magufuli, na Serikali, wako out of touch na hali halisi ya maisha ya Watanzania.
..Propaganda walizokuwa wakieneza zimeanza kuwaathiri hata wao wenyewe.
Kwa hiyo nao wanaidanganya dunia kuwa uchumi wao ni wa developed countries??