Mkuu mimi nimekuja mkoani toka mwaka 2017 kusimamia mashamba yangu... Wanaume wa mkoani sio wote tunawivu mkuu πππwanaumwe wa mikoani wana wivu sana, saa hizi wapo kwenye palizi ya ufuta huko wanachonga sana
Watu wa mkoa hao alijiandaa kuja DarHizo sio heleni dingoo,izo ni pillet,Jina lake halisi anaitwa Willium mwenyeji wa Kilimanjaro na Mbeya
sawa bosi wangu, mmoja kati ya 99.Mkuu mimi nimekuja mkoani toka mwaka 2017 kusimamia mashamba yangu... Wanaume wa mkoani sio wote tunawivu mkuu πππ
Sasa wewe huoni mizunguko yote hiyo utakuwa umeshatoboka sio chini ya laki 1 mkuu? Kwa usawa huu wa Jiwe laki kwanini asiingie king na wewe baadae unaugulia maumivu kuikumbuka laki yako?sawa bosi wangu, mmoja kati ya 99.
mnawasema wanaume wa Dar ila madem wa mikoani wakija dar kwenye interview ukimpeleka mliman city, coco beach kwenye mihogo, ukarudisha akemi revolving restaurant anavua pichu mwenyewe, mwenyewe wala huombimgemu wewe kama vile mbwa kwa chatu
Hivi msikitini wanaruhusiwa kuingia na suitKanzu Ni vazi tu la kiarabu ila siyo la kiislam, take it from me
Nadhani tatizo lipo kwenye 'kanzu na heleni'
Ila mademu wa dar wakija huku mkoa nao ni tabu tupu. Mara wanajifanya hawawezi kula muwa mpaka ummenyee na kumkatiakatia. Mara wanaogopa hata kuku. Ukimchinja kuku na kumwambia ampike anajifanya hajui kunyonyoa. Tunakwenda nao hivyo hivyo. Mwisho wa siku tunawapa zawadi za mikungu ya ndizi, kuku na mayai halafu tunawagonga kabla ya kurudi mjini. Pamoja na mashauzi yote πππsawa bosi wangu, mmoja kati ya 99.
mnawasema wanaume wa Dar ila madem wa mikoani wakija dar kwenye interview ukimpeleka mliman city, coco beach kwenye mihogo, ukarudisha akemi revolving restaurant anavua pichu mwenyewe, mwenyewe wala huombimgemu wewe kama vile mbwa kwa chatu
Siku ya harusiHivi msikitini wanaruhusiwa kuingia na suit
Kwa hiyo ni sawa kuigiza kuvaa heleni?Hizo sio heleni dingoo,izo ni pillet,Jina lake halisi anaitwa Willium mwenyeji wa Kilimanjaro na Mbeya
WAPI IMEANDIWA HERENI ZA KIKE TU?Ni mambo ya mda jay dee aliimba wanaume kama mabinti wana shindana na dada na mama zao kupendeza
Ukisema heleni it means unatoboa maskio unavaa lakin izo apo zakubandika2 wanavaa machalii na ma'mamilooKwa hiyo ni sawa kuigiza kuvaa heleni?
Bill ni mpendwaImenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi.
Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu..
Nimeshindwa kumuelewa..!!View attachment 1089842
Labda pengine ni hiyo chemistry ya hereni featuring kanzuNI WAPI WAMEANDIKA MSIBANI NI MARUFUKU KUVAA HERENI?
Mkuu ndo madhara ya kukaa sana vijijini ,hayo no maisha binafsi hata wewe Kuna tabia unazo wengine hatuzitaki,hivyo mjini tunaheshimiana Kama hupendi kiduku usinyoe ww mkeo na wanao,wengine ongea nao kibiashara ,mjini kutafuta hela tu,Kama we shoga na unahela ya kununua bidhaa zangu maisha yako hayanihusu anaenihusu ni wanangu tu
Nope!Hivi msikitini wanaruhusiwa kuingia na suit