Kwenye ndege mnavuta oxygen kutoka wapi wakati ndege inaruka layer ya stratosphere kusiko na hewa

Kwenye ndege mnavuta oxygen kutoka wapi wakati ndege inaruka layer ya stratosphere kusiko na hewa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nielimisheni hii kitu sote tunajua tunaishi layer ya trotosphere 0-20 km na ndo kwenye hewa nzuri ya oxygen. Ndege za abiria zinakwenda stratosphere sasa ndege inatumia mfumo gani mpaka mnavuta hewa kawaida kama mpo chini huku.

Je kuna mitungi ya oxygen inayozalisha na kuwasambazia?

Huu mwaka haupiti sijapanda ndege.
 
Ndege za abiria haziruki layer stratosphere

Manake ndege zote za abiria zinaruka chini ya layer ya stratosphere. Ambapo Kuna oxygen 21%

Ndege inavuta hewa ya oxygen kutoka nje inaingia kwenye Kebin abiria wanavuta kama kawaida
Hiii ni kweli kabisa ila kuna changes au unaweza side effects kidogo kama ladha ya chakula knakosa ladha kabsa ukiwa kwenye ndege ila ukiwa ardhini ni diko hatari
 
Back
Top Bottom