Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kila kitu huwa kina hatua, baya huwa haliwi tu baya bali huwa linanza na zuri lenye kasoro, maana yake ni kwamba ndoa mbaya huwa ni matokeo ya ndoa nzuri yenye kasoro.
kuchapiwa kwa sisi wanaume huwa kunaanza na hatua zifuatazo.
Miaka miwili ya wanandoa kuwa pamoja, huwa ni yenye furaha sana, hususani kwa wanandoa walio oana baada ya kipindi kifupi cha uchumba.
Kipindi hiki, kila mtu huwa anaona haja ya kumpa furaha mwenziwe, kipindi hiki wanandoa huwa wanakumbuka vilivyo vile viapo vya kanisa au mbele ya ustadh.
Hiki kipindi, wanandoa huwa wanajaribu sana kuficha madhaifu yao, kwani ni kipindi ambacho ndio matokeo ya ndoa (mtoto)hutarajiwa.
Hivyo hakuna mtu huwa anataka kuweka ndoa hatarini, kwani macho ya wanajamii na wazazi huwa bado yapo karibu na wanandoa hawa.
Miaka mitatu ya ndoa, hapa wanandoa wengi huwa wanakuwa washapata mtoto, sasa hapa ndio kimbembe huwa kinaanza, kwanza mwanaume kawaida yetu huwa hatuwezi kukaa na mwanamke mmoja kwa zaidi ya miaka 2.
Sasa hapa michepuko huanza kutafutwa, kama kuna ma x, basi huanza kupangwa ili tupashe viporo vyetu kwa raha zetu.
Michepuko inaposhamiri huwa tunaanza kuwaona wanawake zetu kuwa ni wamama wa kulea tu familia, wapishi, madobi na walinzi wa nyumba zetu tu.
Hapa sasa hata sex, huwa haipewi kimbaumbele, sababu kwa kiasi kikubwa haja zetu huwa zinakatwa na michepuko yetu huko nje.
Wake zetu wakiomba haki yao, huwa tunapiga kimoja cha kuondoa tu lawama then tunalala.
Ila kikawaida mwanamke awapo kwenye umri kuanzia 30 na kuendelea hamu ya kufanya mapenzi huwa inakuwa kubwa kuliko akiwa kwenye 20's.
Sasa unapomgusa tu mara moja kwa wiki mkeo, kisa wewe unae mchepuko wa kumalizia haja zako, unataka mkeo nani amtimizie haja yake?
Kwenye hali hii, wanawake wengi huwa wanakaa kimya sana, ni wachache ndio huwa na ujasiri wa kumwambia mumewe kuwa hajamridhisha.
Nadhani ni kutokana na hii hali inayoitwa mila na desturi za kiafrika, mtoto wa kike haruhusiwi kudai haki ya ndoa, na hata akipewa asiporidhika avunge tu.
Hali ikifikia huku basi ujue ni suala la muda tu mkeo anaanza kuwa mama huruma kwa wauza genge.
Kuna mtu aliwahi kunambia hakuna wanawake rahisi kama wake za watu, nadhani alimaanisha hichi nilichoandika hapa.
Suluhisho ni moja tu kataa ndoa, sababu hutakuwa na uhuru wa kula mbususu nyingi kama asili yetu wanaume. Ukijaribu kula nyingi mkeo lazima uchapiwe tu.
kuchapiwa kwa sisi wanaume huwa kunaanza na hatua zifuatazo.
Miaka miwili ya wanandoa kuwa pamoja, huwa ni yenye furaha sana, hususani kwa wanandoa walio oana baada ya kipindi kifupi cha uchumba.
Kipindi hiki, kila mtu huwa anaona haja ya kumpa furaha mwenziwe, kipindi hiki wanandoa huwa wanakumbuka vilivyo vile viapo vya kanisa au mbele ya ustadh.
Hiki kipindi, wanandoa huwa wanajaribu sana kuficha madhaifu yao, kwani ni kipindi ambacho ndio matokeo ya ndoa (mtoto)hutarajiwa.
Hivyo hakuna mtu huwa anataka kuweka ndoa hatarini, kwani macho ya wanajamii na wazazi huwa bado yapo karibu na wanandoa hawa.
Miaka mitatu ya ndoa, hapa wanandoa wengi huwa wanakuwa washapata mtoto, sasa hapa ndio kimbembe huwa kinaanza, kwanza mwanaume kawaida yetu huwa hatuwezi kukaa na mwanamke mmoja kwa zaidi ya miaka 2.
Sasa hapa michepuko huanza kutafutwa, kama kuna ma x, basi huanza kupangwa ili tupashe viporo vyetu kwa raha zetu.
Michepuko inaposhamiri huwa tunaanza kuwaona wanawake zetu kuwa ni wamama wa kulea tu familia, wapishi, madobi na walinzi wa nyumba zetu tu.
Hapa sasa hata sex, huwa haipewi kimbaumbele, sababu kwa kiasi kikubwa haja zetu huwa zinakatwa na michepuko yetu huko nje.
Wake zetu wakiomba haki yao, huwa tunapiga kimoja cha kuondoa tu lawama then tunalala.
Ila kikawaida mwanamke awapo kwenye umri kuanzia 30 na kuendelea hamu ya kufanya mapenzi huwa inakuwa kubwa kuliko akiwa kwenye 20's.
Sasa unapomgusa tu mara moja kwa wiki mkeo, kisa wewe unae mchepuko wa kumalizia haja zako, unataka mkeo nani amtimizie haja yake?
Kwenye hali hii, wanawake wengi huwa wanakaa kimya sana, ni wachache ndio huwa na ujasiri wa kumwambia mumewe kuwa hajamridhisha.
Nadhani ni kutokana na hii hali inayoitwa mila na desturi za kiafrika, mtoto wa kike haruhusiwi kudai haki ya ndoa, na hata akipewa asiporidhika avunge tu.
Hali ikifikia huku basi ujue ni suala la muda tu mkeo anaanza kuwa mama huruma kwa wauza genge.
Kuna mtu aliwahi kunambia hakuna wanawake rahisi kama wake za watu, nadhani alimaanisha hichi nilichoandika hapa.
Suluhisho ni moja tu kataa ndoa, sababu hutakuwa na uhuru wa kula mbususu nyingi kama asili yetu wanaume. Ukijaribu kula nyingi mkeo lazima uchapiwe tu.