Kwenye ndoa watu wanaviziana

Kwenye ndoa watu wanaviziana

Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
Waviziaji wengi ni wanawake.Halina ubishi.Wanafanya ndoa ni mradi wa kujinufaisha tu.
 
Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
Dunia ni uwanja wa mateso kila mmoja atachagua wapi atesekee
 
Mume alioa mpumbavu na pia mume hakuwa akijitambua,huu ujinga wa 50/50 unabomoa sana ndoa za vijana wa siku hizi

Mwanaume ndiye unaeoa ukitegemea unaemuoa atazaa watoto sasa kwanini uanze kutegeana na mkeo namna ya kuiletea mafanikio familia yako?mwanaume unatakiwa kila kitu ukifanye wewe kiwanja nyumba ada za watoto etc vyote ni juu yako.
Swadakta!
 
Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
Haya mambo yapo kwa wanawake zaidi.
 
Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.

Ki uhalisia hapo ilitakiwa iweje????

Haya mambo mkiwa wote hizo mali na bla bla wala sio ishu.....ishu inakujaga pale mmoja akitangulia tena especially mwanaume. Na una watoto.....kiukweli hili hata tukijifanya hatuongelei ila huwa linaclick kichwani.

Ndugu wanakujaga kudai hadi miswaki. Baba angu alitangulia mapicha picha niliyaona kwa mama angu.
 
Back
Top Bottom