I LOVE YOU DUCE
Member
- Mar 21, 2024
- 30
- 135
Kila la heri mke wa mtu mtarajiwa.Sitahitaji kitchen part Wala send-off.
Mwenzio amekubali?Ta-toa mahali kama kawaida, baada ya hapo sita m-sumbua mtu Kwa michago na kadi.
Siku ya ndoa, tamuomba mchungaji na familia ndoa ifanyike ufukweni, tena watu wakiwa wachache.
Ndugu zangu watano, na ndugu upande wa binti wa tano tu.
Baada ya happy tutapata chakula cha pamoja na pic za kumbukizi.
Sitahitaji kitchen part Wala send-off.
Vina muda basi¿???Ta-toa mahali kama kawaida, baada ya hapo sita m-sumbua mtu Kwa michago na kadi.
Siku ya ndoa, tamuomba mchungaji na familia ndoa ifanyike ufukweni, tena watu wakiwa wachache.
Ndugu zangu watano, na ndugu upande wa binti wa tano tu.
Baada ya happy tutapata chakula cha pamoja na pic za kumbukizi.
Sitahitaji kitchen part Wala send-off.
Wazo zuri,nilifanya ya watu 100+ bila kuomba senti kwa mtu.Ta-toa mahali kama kawaida, baada ya hapo sita m-sumbua mtu Kwa michago na kadi.
Siku ya ndoa, tamuomba mchungaji na familia ndoa ifanyike ufukweni, tena watu wakiwa wachache.
Ndugu zangu watano, na ndugu upande wa binti wa tano tu.
Baada ya happy tutapata chakula cha pamoja na pic za kumbukizi.
Sitahitaji kitchen part Wala send-off.
Tena asipokaa sawa atasikia "hautaki sherehe itakuwa una vichenchede vyako vingine hutaki vijue kama unaoa"Mwenzio amekubali?
Unawajua wanawake vizuri?
Hivi unafikiri wanaume wanaoingizwa kingi kwenye sherehe kuuubwa huwa wanataka?