Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Nataka nifahamu offside huwa inakuwaje?
Mchezaji anayeshambulia akiwa peke yake kule mbele?
Je asipogusa mpira?
Kuna wengine wanasema ukipigiwa mpira na upo juu ukaunganisha shuti hata ukiwa mbele siyo offside
Usahihi wa offside ni upi?
Mchezaji anayeshambulia akiwa peke yake kule mbele?
Je asipogusa mpira?
Kuna wengine wanasema ukipigiwa mpira na upo juu ukaunganisha shuti hata ukiwa mbele siyo offside
Usahihi wa offside ni upi?
Last edited by a moderator: