MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
nimeisoma na kuielewa vizuri rasimu mpya ya katiba ni nzuri lakini katika hili inabidi tulitazame tena lakini kama haiwezekani iachwe kwa sababu mtoto akilia wembe......
1. Suala la serikali tatu haliniingii akilini linaweza leta hatari kubwa huko mbele ya safari
a/ ni wazi litavunja muungano
b/ litaongeza migogoro ya kisiasa kijamii na kiuchumi pia
c/ litaongeza matumizi ya bajeti ya rasilimali katika nchi ingawa kila serikali shiriki itatoa mchango katika railimali zake
d/ linaongeza utengano wa tanzania bara na visiwani kwa kasi isivyo kawaida
ushauri wangu;
tanzania bara tuendelee kukataa isipokuwa kama zanzibar wataendelea kuhitaji lets say go ahead.....
1. Suala la serikali tatu haliniingii akilini linaweza leta hatari kubwa huko mbele ya safari
a/ ni wazi litavunja muungano
b/ litaongeza migogoro ya kisiasa kijamii na kiuchumi pia
c/ litaongeza matumizi ya bajeti ya rasilimali katika nchi ingawa kila serikali shiriki itatoa mchango katika railimali zake
d/ linaongeza utengano wa tanzania bara na visiwani kwa kasi isivyo kawaida
ushauri wangu;
tanzania bara tuendelee kukataa isipokuwa kama zanzibar wataendelea kuhitaji lets say go ahead.....