Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ Ninaweza nisile ugali aloo๐Ÿคช๐Ÿคช..ninakisosomola ni kinouma๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…namaanisha samaki wa baharini kama yule aliemโ€™meza Yona๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐Ÿ‘‰๐Ÿ ๐ŸŸ๐Ÿ ๐ŸŸ๐Ÿ ๐ŸŸ

Akili za kuumwa na njaa hizi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Imeisha hiyoooo...๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚
 
Nimefungua uzi na njaa imenikaba kinoma, Kitu ya sangara na sato huku Mwanza mimi huwa napenda kula kichwa na ile sehemu ya nyama chini ya tumbo ni balaa aseee.
 
Back
Top Bottom