Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Jicho hili hili ambalo ni jicho au JICHO JICHO? [emoji12][emoji12][emoji12]

ila ugali samaki wa kukaanga, mchicha wa nazi au chuku chuku na kachumbari bomba sana [emoji39][emoji39][emoji39]
Sheikh wangu samaki aliwa pande zote, hasa mwenye mkia mkubwa ukimla na JICHO bhasi naiinjoooy sheikh wangu [emoji104][emoji7]
 
Kwa taarifa nilizonazo ntaleta ushahidi kama sikosei kwenye kitabu cha Genius Food wanasema samaki usimle kichwa mpaka Leo siamini na nilikuwa mjumbe mzuri tu...
 
Jicho hili hili ambalo ni jicho au JICHO JICHO? 😜😜😜

ila ugali samaki wa kukaanga, mchicha wa nazi au chuku chuku na kachumbari bomba sana 😋😋😋
Jicho la samaki mkuu..😂😂

Hilo chukuchuku ukiwa na pilipili na likao kwa mbaaaali😋😋😋😋😋🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Minyoo yangu jamani😅😅

Mkuu wewe unapenda sehemu gani ya samaki BAK
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mie nakula samaki mzima kuanzia kichwa hadi mkia na shurti kuwepo pili-pili kichaa au mbuzi 😋😋😋😋

Jicho la samaki mkuu..😂😂

Hilo chukuchuku ukiwa na pilipili na likao kwa mbaaaali😋😋😋😋😋🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Minyoo yangu jamani😅😅

Mkuu wewe unapenda sehemu gani ya samaki BAK
 
we siumenichunia hutaki tena kunipa hints 😥

meno mabovu mm nataka vitu simple mifupa hapana siwezi nawwchia nyie wenye sharp teeth.
Hapa katikati nilikuwa buzy kiaina chief..

Nitakucheki tu usijali ngoja nitulie.

Unaendeleaje lkni
 
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]

Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]

Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
Leo umekula samaki ndiyo maana unatusumbua huku jirani

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom