Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Nimefungua uzi na njaa imenikaba kinoma, Kitu ya sangara na sato huku Mwanza mimi huwa napenda kula kichwa na ile sehemu ya nyama chini ya tumbo ni balaa aseee.
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..

Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
samaki gani tena dada? au unamaanisha samaki!!
BTW

mkia ndo napenda namaliza najicho
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚m napenda nimle samaki wote jmn nibakishe miba sijui mifupa πŸ˜‚πŸ˜‚na kama ni yule anaetafunika adi miba nala kila kitu
Dada umenishinda kwa tabia😳😳unakula hadi mibaπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺunadhulumu haki za paka ujue🀩🀩🀩
Tupe sifa za hiyo miba..kwa nn unapenda kutafuna miba??
 
Upo aise..

Wanasemaga nyama iliyo karibu na mfupa ni tamu mno..
Kwanini wewe unapenda mnofu??
we siumenichunia hutaki tena kunipa hints πŸ˜₯

meno mabovu mm nataka vitu simple mifupa hapana siwezi nawwchia nyie wenye sharp teeth.
 
Dada umenishinda kwa tabia😳😳unakula hadi mibaπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺunadhulumu haki za paka ujue🀩🀩🀩
Tupe sifa za hiyo miba..kwa nn unapenda kutafuna miba??
wee sasa wale samaki wadogo ata miba aijakomaa inatafunika vizuri kwanini nisitafune πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom