Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kama ni samaki wa kike wa pale samakisamaki namla kote masikioni mpaka jichoni tena bila huruma hata kama ananiangalia kwa huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You’re missing a lot my dear.
We mama uko sawa kweli🤣🤣
Kwanini hupendi samaki??
Simlaumu najaribu kupata majibuKubet kunamharibu Joanah jirani usimlaumu
That was a joke, dont take things seriousInawezekana manake wachawi tunajuana
Kumbe unapenda lakini unamachaguzi sio!!sawa mama nitakununulia hao kamba siku moja ule mpaka uchokeI don't think so...hawanivutii hasa hasa kina kambale,sijui sato na sangara
Mie aina ya samaki nayopenda ni wale kamba wale wekundu,ngisi,pweza na kaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]samaki gani tena dada? au unamaanisha samaki!!
BTW
mkia ndo napenda namaliza najicho
😂😂😂😂Wewe ninakupoteza very soon🤣🤣🤣
mimi nashindwa kuelewa mkuu kwann aseme hivyoKwahiyo mkuu unamuunga mkono sio..