Kwenye samaki unapenda kula nini?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aiseπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ Ninaweza nisile ugali alooπŸ€ͺπŸ€ͺ..ninakisosomola ni kinoumaπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€ΈπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasaπŸ˜…πŸ˜…namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza YonaπŸ˜…πŸ˜… πŸ‘‰πŸ πŸŸπŸ πŸŸπŸ πŸŸ

Akili za kuumwa na njaa hiziπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto🀣🀣

Imeisha hiyoooo...πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ₯‚πŸ₯‚
 
Nimefungua uzi na njaa imenikaba kinoma, Kitu ya sangara na sato huku Mwanza mimi huwa napenda kula kichwa na ile sehemu ya nyama chini ya tumbo ni balaa aseee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…