Kwenye samaki unapenda kula nini?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£watu mna mawivu mjue..

Nimekula tembele langu konki mnooo🀣🀣🀣chukuchuku...sasa hivi ndo nakula samaki hapa JFπŸ˜‚πŸ˜‚
yna2 hukukosea mama,Hatimae kafunguka mwenyewe πŸ˜‚

Chakorii mambo zako mumieee,et dustbin ya kuweka hii miba iko wapi?
 
Raha ha samaki umle mkia mbele na nyuma.
 
Naimani pia umekuwa ukijifunza zaidi ili kupata ujuzi!!

Niko vizuri namshukuru Mungu sna
Yeah somehow na improve lakini ulinipa moja tu nakusubiria uniongeze na nyingine nifanye vurugu πŸ€ͺπŸ€ͺ tena leo nipo free na kesho.
 
Napenda mkia, supu ya mkia ni balaa.
 
kuna mdau hapa anasema kabla ya kula samaki lazima ale pweza .

sijui ndo nini anamaanisha
 
Kichwa hadi mkia [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…