Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha ha samaki umle mkia mbele na nyuma.Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
Duh!Moja ya vyakula nisivyovipenda ni samaki
Nisije paliwa mifupa buree hheheMwandiko wako umenionyesha huoendagi kasheshe la kuchosha vidole😅😅
Mbona kuna wadau wanasema samaki hageuzwi😅Mimi nafurahia ule mda wa kumgeuza upande wa pili[emoji39], raha sana kumgeuza samaki.
Hao watu hamna kituMbona kuna wadau wanasema samaki hageuzwi[emoji28]
Yeah somehow na improve lakini ulinipa moja tu nakusubiria uniongeze na nyingine nifanye vurugu 🤪🤪 tena leo nipo free na kesho.Naimani pia umekuwa ukijifunza zaidi ili kupata ujuzi!!
Niko vizuri namshukuru Mungu sna
Napenda mkia, supu ya mkia ni balaa.Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
[emoji23][emoji23] sasa minofu ya upande wa pili unaifikiaje? Wengine tunapenda samaki mwenye minofu..Mbona kuna wadau wanasema samaki hageuzwi[emoji28]
Unatoa tu ule uti wa mgongo na mifupa yake, kazi inaendelea[emoji23][emoji23] sasa minofu ya upande wa pili unaifikiaje? Wengine tunapenda samaki mwenye minofu..
Shurti mifupa ibaki vile vile, unacheza na minofu tu!Unatoa tu ule uti wa mgongo na mifupa yake, kazi inaendelea
Kichwa hadi mkia [emoji39][emoji39][emoji39]Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]