Vinapatikana bwawa gani mkoa gani jirani.Kuna visamaki vinaitwa macho gololi nivitamuuuu hata kibua sato wanasubiri
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣watu mna mawivu mjue..
Nimekula tembele langu konki mnooo🤣🤣🤣chukuchuku...sasa hivi ndo nakula samaki hapa JF😂😂