Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikupe anuani piemuNiambie ni wapi nianze kufunga safari mkuu...hakuna namna aise[emoji6][emoji6][emoji6][emoji41][emoji41][emoji41]
Pole hiyo inatokea sana hata mim sipendelei kwa sana samaki ya kibambalaAsante mkuu..sasa unaweza amini sipendi supu ya samaki!!😔😔ni maajabu kwa kweli
Inaelekea hupendi usumbufu wa kuchambua miiba sio!!ugali moto,mboga moto na pilipili juu shiiiii😋😋😋...njaa ishaanza kuniuma🤪🤪Napendelea mnofu hasa wa Sangara ulio kaangwa,ukila kwa ugali na mboga ya majani kama mchicha au mboga ya maboga...
Sijajua ni nini sababu lakini nikipewa kuchagua nitaangukia kwa samaki wa fresh/kukaanga ulimi wangu unaitafsir ladha ya kibambala si tamu Zaidi ya samaki fresh.Kwanini hupendelei??
Ulimi wako kiboko ais lo!!Sijajua ni nini sababu lakini nikipewa kuchagua nitaangukia kwa samaki wa fresh/kukaanga ulimi wangu unaitafsir ladha ya kibambala si tamu Zaidi ya samaki fresh.
Sangara,satoOhoooo ...oky..samaki yupi unampendelea..red snaper,king,sangara,au yoyote yule..
Hapana sio miba ni ile miguu ya samaki si unaijua ina mifupa fulani na ngozi mkuu😀😀😳😳mkuu si ni miiba hiyo sasa..loh!!
Njoo kwetu unywe naipika kila siku.Ikiwa na pilipili pamoja na limao..ya moootooooo[emoji39][emoji39][emoji39]