Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwahiyo akiwa na macho ya blue huli mkuu..

[emoji28][emoji28][emoji28]wewe kama upepo sio...
Macho mekundu ni kavuliwa leo leo,

Yakiwa macho ya blue tayari wajana huyo au wale wa mafriji [emoji3]

Walio karibu na ziwa victoria wamenielewa
 
Napenda Sangara,
Upande wa kichwa hasa jicho napenda sana, kuna ute ute flani hivi una ladha amaziiiiiing.
[emoji39]
😋😋😋😋huu mwandiko wako umenifanya leo nile kichwa hapa si kwa utamu ule..loh!tunafanana hapo aise
 
Amina

Nilijua tupo kwenye uzi wetu pendwa eti!!

Samahani mkuu
Hata huu ni pendwa mkuu si unaona nimejua unapenda kichwa cha samaki kama mimi🤪🤪🤪

Siku nikija huko utanipeleka nikale samaki fresh kabisa..😋😋

Take it easy man ni nini mbaya🥂🥂
 
Hata huu ni pendwa mkuu si unaona nimejua unapenda kichwa cha samaki kama mimi[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Siku nikija huko utanipeleka nikale samaki fresh kabisa..[emoji39][emoji39]

Take it easy man ni nini mbaya[emoji1635][emoji1635]
[emoji1][emoji1][emoji1]mwandiko wako unanipa wakati mgumu sana kujua wewe ni she or he?

Enewei!!karibu sana mkuu
 
Back
Top Bottom