Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

hahahahaha tembele chuku chuku home samaki JF 😜😜😜
Unafikiri nitafanyaje sasa BAK ..hakuna namna.🤣🤣

Kesho nitakula ugali na mlenda...pilau la kukubwa kienyeji JF😅😅

Maisha ndo haya haya baba
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..

Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.😋😋😋
Hahahahaaaa hatari sana Mkuu,.. Napata supu ya samaki karibu tufaidi wote.
 
Back
Top Bottom