Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@LadyRed kaniambia, ilà msimamo wangu uko pale pale mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Haha mkuu nasikia eti kwa baadhi ya makabila kumgeuza samaki ni mwiko
@LadyRed kaniambia, ilà msimamo wangu uko pale pale mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
@Chakorii hajasema ana mashaka na comment yangu, amesema haelewi mwandiko wangu, unajua sisi "madokta" tuna miandiko mibaya mkuu[emoji39][emoji39][emoji23]Nimeona kuna sehemu mtoa mada amesema ana mashaka na comment yako
Nami nikajikuta napata mashaka na huyo samaki uliyemmaanisha [emoji3][emoji3]
Tuko pamoja kwenye kichwa mkuu lkni kwenye jicho labda nitoe kile kiini cheusi hapo sawa..
Nainjoi sana nikikula ubongo wa samaki wallah..
Wewe ni mwenzangu kabisa 😅Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise🙆♀️🙆♀️🙆♀️ Ninaweza nisile ugali aloo🤪🤪..ninakisosomola ni kinouma🤸♀️🤸♀️🤸💃💃💃💃🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa😅😅namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona😅😅 👉🐠🐟🐠🐟🐠🐟
Akili za kuumwa na njaa hizi😅😅😅😅
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto🤣🤣
Imeisha hiyoooo...🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂
@Chakorii hajasema ana mashaka na comment yangu, amesema haelewi mwandiko wangu, unajua sisi "madokta" tuna miandiko mibaya mkuu[emoji39][emoji39][emoji23]
Huyo anaitaji nguvu za kiume! Kula samaki mwenye mibakuna mdau hapa anasema kabla ya kula samaki lazima ale pweza .
sijui ndo nini anamaanisha
Ohooo oky..leo wikend mzeiya nainjoy na shemeji yako😎mambo ni mengi 😅😅 leo na kesho.tutafutane kwanzia jumatatu chiefYeah somehow na improve lakini ulinipa moja tu nakusubiria uniongeze na nyingine nifanye vurugu 🤪🤪 tena leo nipo free na kesho.