TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Salamu ni Utumwa
Hapa ndugu zangu inapaswa tutofautishe kati ya Fans Engagements na Followers au Subscribers!.
Haiwezekani kila siku mashabiki wa Simba wenzangu tuendelee kuizungumzia Yanga tukidhani tunaipondea kumbe ndo tunaipaisha,mwanzo kabla ya kufahamu na mimi nilikuwa mpondaji Sugu wa UTOPOLIANS lakini baada ya kugundua nawapa Mileage nikaamua kukaa kando.Yanga imefanikiwa huko mitandaoni kwasababu yetu sisi mashabiki wa Simba iwe ni kujua au kutokujua,jamaa wanapata Engagements kubwa kuliko tunavyodhani.
Hebu niwasii wanasimba wenzangu tuigeukie club yetu sasa,hapo miaka 2 iliyopita Utopolians walikuwa wanatafutana lakini cha kushangaza leo sisi ndo tunatafutana,hii ni aibu kubwa sana nikiwa kama mwana lunyasi.
Tusipobadirika naona kabisa hawa Utopolians wanaenda kutake over huko mitandaoni,hebu tuachane na habari za utopolo na kuwapa umaarufu,turudi tusapoti mambo yetu
Hapa ndugu zangu inapaswa tutofautishe kati ya Fans Engagements na Followers au Subscribers!.
Haiwezekani kila siku mashabiki wa Simba wenzangu tuendelee kuizungumzia Yanga tukidhani tunaipondea kumbe ndo tunaipaisha,mwanzo kabla ya kufahamu na mimi nilikuwa mpondaji Sugu wa UTOPOLIANS lakini baada ya kugundua nawapa Mileage nikaamua kukaa kando.Yanga imefanikiwa huko mitandaoni kwasababu yetu sisi mashabiki wa Simba iwe ni kujua au kutokujua,jamaa wanapata Engagements kubwa kuliko tunavyodhani.
Hebu niwasii wanasimba wenzangu tuigeukie club yetu sasa,hapo miaka 2 iliyopita Utopolians walikuwa wanatafutana lakini cha kushangaza leo sisi ndo tunatafutana,hii ni aibu kubwa sana nikiwa kama mwana lunyasi.
Tusipobadirika naona kabisa hawa Utopolians wanaenda kutake over huko mitandaoni,hebu tuachane na habari za utopolo na kuwapa umaarufu,turudi tusapoti mambo yetu