Amka uondolewe mwikoMechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76
Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba Kwa kipigo cha 5 mfululizo
Hahaha,Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana
Zinatuliwaza we unasema zinaleta changamoto ya afya ya akili!!..siasa ndiyo zinaleta changamoto ya afya ya akili,jua kali watu wana makotiYanga na Simba ni moja ya chanzo cha tatizo la afya ya akili 🤣🤣🤣
Kwenye goli.Hilo goli watafungia wapi?
Hujui tu Mkuu Mwaka jana kuna sister Mume wake aliuwawa kwa sababu ya hizi timu, yaani ushabiki wa Simba na Yanga ni zaidi ya Vita vya Urusi na UkraineZinatuliwaza we unasema zinaleta changamoto ya afya ya akili!!..siasa ndiyo zinaleta changamoto ya afya ya akili,jua kali watu wana makoti
Mimi nimeona Simba 3 amphibia 0Mechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Watu huuwana bar,wivu wa mapenzi,pesa ndogo tu jero nkHujui tu Mkuu Mwaka jana kuna sister Mume wake aliuwawa kwa sababu ya hizi timu, yaani ushabiki wa Simba na Yanga ni zaidi ya Vita vya Urusi na Ukraine
Simba 19+19=38/2=19 na Yana 25+19=44/2=22Mechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Kesho sio mbaliMimi sibahatishi
Hiyo mechi imeisha na matokeo ndo hayo hayatabadilika
Waulize wazee wa Simba wanalia sana Kwa kipigo hicho