ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo