Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Noma sana !Vina muda basi ,sasa kwishnery pateli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana !Vina muda basi ,sasa kwishnery pateli.
Chadema tunawajua kwa kazi yenu ya kusafisha majizi.Wameiba nini ?
Huyu hapa enzi zileDkt Bashiru Ally Kakubwa Wa Kemondo Bay Bunazi
Wapi nilipochukizwa ?leo hii Erythrocyte anaonyesha kuchukizwa kwa katazo la waraka wa vigogo wa CCM Kinana na mzee Makamba,kweli siasa za bongo ni papatu papatu.
kuna yule mnyanganyi alie okoka, wa kule arachuga anajifanyanga yesu dah 🐒Bado tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa Mungu .
Dkt Bashiru Ally Kakurwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa ccm na wateule waliojiona wako karibu na Mamlaka ya Uteuzi , walijipa utukufu ambao hakuna kiongozi yoyote aliyewahi kujipa Tangu Nchi hii ipate uhuru wake .
View attachment 2937182
Yaani ilifikia Mkuu wa Wilaya anamvimbia mtu yeyote akiwemo hata Mkuu wa Mkoa wake , kwa vile tu yeye yuko karibu na Rais , haifahamiki kama walikuwa wanatumwa na aliyewateua au la
Kwa Mfano ukiacha Bashiru Ally ambaye kiburi chake na ukosefu wake wa Adabu kwa Wazee akina Makamba na Kinana hakuna aliyeusahau , DC Sabaya , Ally Happy , Alexander Mnyeti pamoja na Paulo Makonda walikuwa Jamhuri huru ndani ya Jamhuri ya Tanzania .
View attachment 2937183
Waliopiga U Turn na kurudi kwenye ubinadamu , japo nao walitaka kuingia kwenye Utukufu huo ni Amos Makalla , Chalamila na Mongela , hawa walianza kama wenzao lakini baadaye wakashikwa masikio .
Mara nyingi tumeonya na kufundisha sana hapa jf na kwingineko kuhusu hizi kazi za Kuteuliwa , kwamba hizi kazi ni Dhamana ya muda mfupi sana , ni vema tukazifanya kwa weledi maana hatujui kesho kutwa.
mwangalie Hapa Bashiru Ally baada ya kupigwa chini na kuteuliwa Mbunge wa viti maalum , Picha hii ikupe somo la kazi za kuteuliwa
View attachment 2937187
Kiburi na dharau za wateule wa awamu ya 5 hakijawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kila mteule mwenye kiburi cha madaraka ajaribu kumchukulia Salmin Amour , kama Mfano , Salmin alifikia kuitwa Komando kwa kejeli , matusi na dharau kwa wakubwa zake na wadogo , lakini mnafahu kilichomkuta leo ? hana ukomando wowote tena , hawezi kufika hata Kisiwandui , Kibanda maiti wala Mchamba wima , Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
kuna sehemu unaonyesha madhaifu makubwa sana kwenye hizi mada zako za mwezi wa Mungu.Huyu hapa enzi zile
View attachment 2937274
Hapa ndipo alipotangaza kwamba CCM ITASHINDA KWA KUTUMIA DOLA
Mimi si malaika lakini nina uhakika kwa almost 99.99% maelezo yangu ni ukweli mtupu , labda nikosee kumbukumbu tukuna sehemu unaonyesha madhaifu makubwa sana kwenye hizi mada zako za mwezi wa Mungu.
Tulisikia kuna watu alipewa vyeo kuwa ajili ya weupe wao.Utuambie miaka 21 ya Mbowe mbona vit maalumu ni mahawara wa viongozi tu wewe na yule hilda Newton hamchaguliwi!
Jambo moja ambalo wengi hawajajua ni kwamba , Hizi mada hazitoki Chadema , naziandika mimi ambaye pia si Msemaji wa Chadema , kwahiyo mnapowahusisha akina Mbowe huwa nawashangaa sanakuna yule mnyanganyi alie okoka, wa kule arachuga anajifanyanga yesu dah 🐒
akiwemo mbunge wa TemekeTulisikia kuna watu alipewa vyeo kuwa ajili ya weupe wao.
👇Wapi nilipochukizwa ?
HayaHuna hoja
Kama unajua kiswahili , hapo namuelezea Bashiru Ally alivyo , tena niliandika huku nikitabasamu , aliyechukizwa hawezi kutabasamu👇
Kwa Mfano ukiacha Bashiru Ally ambaye kiburi chake na ukosefu wake wa Adabu kwa Wazee akina Makamba na Kinana hakuna aliyeusahau.
none sense 🐒Jambo moja ambalo wengi hawajajua ni kwamba , Hizi mada hazitoki Chadema , naziandika mimi ambaye pia si Msemaji wa Chadema , kwahiyo mnapowahusisha akina Mbowe huwa nawashangaa sana
Hasa wakidanganywa kwamba aliyewateua atatawala mileleWatu wakipata vyeo hujisahau sana,kiburi,madharau vinakuwa juu mmno hasa hizi nchi zenye katiba mbovu ambamo viongozi huwa watawala badala ya kubaki viongozi!!
Ubabe wa kijinga,vitisho kujidai miungu watu Leo wamepatara wanaishi Kwa huruma ya walio madarakani.
Tujifunze uungwama tutafit kufanya kazi na aina tofautii za watu...