Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Kitu kimoja nilichogundua kutoka kwako ni hiki , Unajua sana kiingereza , yaani !none sense 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu kimoja nilichogundua kutoka kwako ni hiki , Unajua sana kiingereza , yaani !none sense 🐒
useless kabisa 🐒Kitu kimoja nilichogundua kutoka kwako ni hiki , Unajua sana kiingereza , yaani !
Wacha weeee !!!useless kabisa 🐒
Mkuu heko sana, tena unavyokoleza na picha unafikisha ujumbe vizuri. Upatapo nafasi weka na video ili tuwe tunakumbushana vizuri na kuelimishana zaidi!Bado tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa Mungu .
Dkt Bashiru Ally Kakurwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa ccm na wateule waliojiona wako karibu na Mamlaka ya Uteuzi , walijipa utukufu ambao hakuna kiongozi yoyote aliyewahi kujipa Tangu Nchi hii ipate uhuru wake .
View attachment 2937182
Yaani ilifikia Mkuu wa Wilaya anamvimbia mtu yeyote akiwemo hata Mkuu wa Mkoa wake , kwa vile tu yeye yuko karibu na Rais , haifahamiki kama walikuwa wanatumwa na aliyewateua au la
Kwa Mfano ukiacha Bashiru Ally ambaye kiburi chake na ukosefu wake wa Adabu kwa Wazee akina Makamba na Kinana hakuna aliyeusahau , DC Sabaya , Ally Happy , Alexander Mnyeti pamoja na Paulo Makonda walikuwa Jamhuri huru ndani ya Jamhuri ya Tanzania .
View attachment 2937183
Waliopiga U Turn na kurudi kwenye ubinadamu , japo nao walitaka kuingia kwenye Utukufu huo ni Amos Makalla , Chalamila na Mongela , hawa walianza kama wenzao lakini baadaye wakashikwa masikio .
Mara nyingi tumeonya na kufundisha sana hapa jf na kwingineko kuhusu hizi kazi za Kuteuliwa , kwamba hizi kazi ni Dhamana ya muda mfupi sana , ni vema tukazifanya kwa weledi maana hatujui kesho kutwa.
mwangalie Hapa Bashiru Ally baada ya kupigwa chini na kuteuliwa Mbunge wa viti maalum , Picha hii ikupe somo la kazi za kuteuliwa
View attachment 2937187
Kiburi na dharau za wateule wa awamu ya 5 hakijawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kila mteule mwenye kiburi cha madaraka ajaribu kumchukulia Salmin Amour , kama Mfano , Salmin alifikia kuitwa Komando kwa kejeli , matusi na dharau kwa wakubwa zake na wadogo , lakini mnafahu kilichomkuta leo ? hana ukomando wowote tena , hawezi kufika hata Kisiwandui , Kibanda maiti wala Mchamba wima , Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
🙄🤔💭🤐Utuambie miaka 21 ya Mbowe mbona vit maalumu ni mahawara wa viongozi tu wewe na yule hilda Newton hamchaguliwi!
clueless and rudderless is mentally and spiritual slavery 🐒Wacha weeee !!!
sasa hapo mimi wa shule za udongo nitaelewa kweli ?clueless and rudderless is mentally and spiritual slavery 🐒
Kumbe huelewi hata tofauti kati ya mada na jukwaa!!Mada ndio hiyo hiyo ya kisiasa!
tulisoma na chairman public administration kule uingereza, chairman ana confidence ila ana misamiati michache 🐒sasa hapo mimi wa shule za udongo nitaelewa kweli ?
kwa maana umechukia Bashiru Ally kuwadharau wazee wa CCM Kinana na Makamba.Kama unajua kiswahili , hapo namuelezea Bashiru Ally alivyo , tena niliandika huku nikitabasamu , aliyechukizwa hawezi kutabasamu
Duuuhkwa maana umechukia Bashiru Ally kuwadharau wazee wa CCM Kinana na Makamba.
Dunia😅Duuuh
wewe ndio hujui umevamia tu!Kumbe huelewi hata tofauti kati ya mada na jukwaa!!
Wee jamaa unatia aibu kwa hisani ya nani ?wewe ndio hujui umevamia tu!
Kwa hisani yako!Wee jamaa unatia aibu kwa hisani ya nani ?