Kwenye Utawala wa awamu ya 5 Bashiru Ally na wateule wengine wa Rais walijipa Utukufu kuliko hata Mitume wa Mungu

Hivi kuna kiongozi wa kisiasa mbinafsi kama mbowe? Lema , lisu na mbowe ndio wamejivika Uungu watu pale CDM. Ukitaka yakupate ya kukupata basi nenda ukagombee au uwe na nia na kiti cha Mbowe pale CDM
 
Ni kweli kabisa, Waraka ule ulikua ni Upumbavu wa wapumbavu


Habari njema ni kwamba, Mfumo upo unaishi.


Ipo Siku Dr Bashiru atainuliwa juuuuuu juuuuuu sana.
 
Dkt Bashiru Ally Kakubwa Wa Kemondo Bay Bunazi
 
kuna yule mnyanganyi alie okoka, wa kule arachuga anajifanyanga yesu dah πŸ’
 
kuna yule mnyanganyi alie okoka, wa kule arachuga anajifanyanga yesu dah πŸ’
Jambo moja ambalo wengi hawajajua ni kwamba , Hizi mada hazitoki Chadema , naziandika mimi ambaye pia si Msemaji wa Chadema , kwahiyo mnapowahusisha akina Mbowe huwa nawashangaa sana
 
Watu wakipata vyeo hujisahau sana,kiburi,madharau vinakuwa juu mmno hasa hizi nchi zenye katiba mbovu ambamo viongozi huwa watawala badala ya kubaki viongozi!!
Ubabe wa kijinga,vitisho kujidai miungu watu Leo wamepatara wanaishi Kwa huruma ya walio madarakani.
Tujifunze uungwama tutafit kufanya kazi na aina tofautii za watu...
 
πŸ‘‡
Kwa Mfano ukiacha Bashiru Ally ambaye kiburi chake na ukosefu wake wa Adabu kwa Wazee akina Makamba na Kinana hakuna aliyeusahau.
Kama unajua kiswahili , hapo namuelezea Bashiru Ally alivyo , tena niliandika huku nikitabasamu , aliyechukizwa hawezi kutabasamu
 
Hasa wakidanganywa kwamba aliyewateua atatawala milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…