Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
unaondolewa na nani ?Mashabaki wakianzisha yowe umeondoka aiseh
Vikao huwa vinafanyikia wapi ?Kamati ya ufundi ikishirikiana na bodi ya timu!
Kasome katiba ya Simba utaelewa na huta uliza uliza, acha uvivu, jipange na pena kujisomea .Wakuu swali limejieleza vizuri sana , sasa naomba kufahamishwa mwenye mamlaka ya kuleta kocha na kutimua , na huwa wanatumia vigezo gani ?
Taarifa nyingi za kutimuliwa kwa makocha wa vilabu hivi tunazipata bila hata kusikia vikao vya uongozi wa vilabu husika , Baada ya Kishingo kuachia ngazi baadhi ya viongozi wa Simba akiwemo Mwina Kaduguda walipoulizwa walidai kwamba hawajui chochote , sasa kama hawa viongozi hawajui chochote ni nani anayefanya maamuzi ?
Hongera Simba kwa kufuata katiba , bila shaka ndio taasisi ya kwanza na ya mwisho kufanya hivyo nchini Tanzania , Vipi kuhusu Katiba ya YangaKasome katiba ya Simba utaelewa na huta uliza uliza, acha uvivu, jipange na pena kujisomea .
Mkuu Pira biliani hujaliona ?Bongo hamna mpira
Simba na yanga ni timu mbili tofauti kabisa katika mfumo wa uendeshaji na utofauti huo ndo unaleta nani ana nguvu ya kumfukuza kocha.Wakuu swali limejieleza vizuri sana , sasa naomba kufahamishwa mwenye mamlaka ya kuleta kocha na kutimua , na huwa wanatumia vigezo gani ?
Taarifa nyingi za kutimuliwa kwa makocha wa vilabu hivi tunazipata bila hata kusikia vikao vya uongozi wa vilabu husika , Baada ya Kishingo kuachia ngazi baadhi ya viongozi wa Simba akiwemo Mwina Kaduguda walipoulizwa walidai kwamba hawajui chochote , sasa kama hawa viongozi hawajui chochote ni nani anayefanya maamuzi ?
fafanua basi mjombaSimba na yanga ni timu mbili tofauti kabisa katika mfumo wa uendeshaji na utofauti huo ndo unaleta nani ana nguvu ya kumfukuza kocha.
Wanaokulipa mshahara ni mashabiki tukiamua tusijihusishe kwenye chochote muwekezaji awezi pata faida au hata kurudisha hasaraunaondolewa na nani ?
Ee bhana mkuu hili uliloandika hapa lina ukweli wowote ?Kwa simba mgangaa akisema kocha aondoke hakuna wakupiinga
Ukweli mtupu mkuu. Kama nadanganya fuatilia sakata la Sven. Mganga wa simba kwasasa kasema anataka kocha mweusi na sio mzunguEe bhana mkuu hili uliloandika hapa lina ukweli wowote ?
DuhUkweli mtupu mkuu. Kama nadanganya fuatilia sakata la Sven. Mganga wa simba kwasasa kasema anataka kocha mweusi na sio mzungu