Kwenye vilabu vya Simba na Yanga ni nani mwenye mamlaka ya kufukuza kocha au kuleta kocha mpya?

Kwenye vilabu vya Simba na Yanga ni nani mwenye mamlaka ya kufukuza kocha au kuleta kocha mpya?

Wakuu swali limejieleza vizuri sana , sasa naomba kufahamishwa mwenye mamlaka ya kuleta kocha na kutimua , na huwa wanatumia vigezo gani ?

Taarifa nyingi za kutimuliwa kwa makocha wa vilabu hivi tunazipata bila hata kusikia vikao vya uongozi wa vilabu husika , Baada ya Kishingo kuachia ngazi baadhi ya viongozi wa Simba akiwemo Mwina Kaduguda walipoulizwa walidai kwamba hawajui chochote , sasa kama hawa viongozi hawajui chochote ni nani anayefanya maamuzi ?
labda ng'ombe.akilia tuu moooo ndio kaamua.
 
Unaweza kuta nae anauzwa kama wachezaji tu. Watu wanapiga hela kisha wanamruhusu kuachana na mkataba wake.
 
Kama unalipa wewe mshahara unamfukuza muda wowote tu
 
Watanzania kwa ujuaji, mtu kapata malisho mazuri kaomba kuvunja mkataba wake, sisi tumekazania ooh kocha kafukuzwa.
 
Back
Top Bottom