Kwetu tunachukulia poa ila wamalawi wanazungumzia kila siku Ziwa Malawi / Nyasa, Wanataka ziwa lote la nini ?

Kwetu tunachukulia poa ila wamalawi wanazungumzia kila siku Ziwa Malawi / Nyasa, Wanataka ziwa lote la nini ?

Mpaka wa kusini wa Ziwa Nyasa na Msumbiji uliwekwa kupitia mikataba kati ya Uingereza na Ureno, ambayo iligawa mpaka wa ziwa katikati.

Hata hivyo, mpaka kati ya Tanzania na Malawi ulitokana na mkataba kati ya Uingereza na Ujerumani 1890 enzi hizo Tanganyika ikiwa koloni la Ujerumani, ambao uliweka ziwa lote chini ya himaya ya Uingereza (baadaye likarithiwa na Malawi).

Lakini sheria hizo ni za zamani, kwani kwa mujibu wa sheria za sasa za kimataifa, mipaka ya maziwa kwa kawaida hugawanywa katikati (kama ilivyofanyika kati ya Malawi na Msumbiji).

Malawi haitaki kukubali sheria za kisasa za kimataifa, badala yake inasisitiza kufuata sheria za zamani.
Suala ni complex zaidi ya hivyo.

Soma andiko uone complexity.

The Nyerere Doctrine of State Succession inazipa nchi mpya wakati fulani baada ya uhuru kukataa mipaka yake ya kikoloni kama haijaridhika nayo, muda huo ukipita bila nchi hiyo kukataa mipaka yake hiyo, inachukuliwa kuwa nchi hiyo imeikubali mipaka hiyo.

Tanganyika haikuikataa mipaka ikiyokuwepo, licha ya kupewa nafasi ya kufanya hivyo.

Zaidi, Rais Nyerere na Waziri Mkuu Kawawa walishakubaki kwamba mpaka halali wa Tanzania na Malawi upo katika pwani ya mashariki ya ziwa Nyasa/Malawi.

Soma andiko hilo utaona mambo yote yameelezwa wazi.

NEGAN
 
Umeisoma mkuu?

Mimi nimeisoma kurasa zote sijaruka hata paragraph moja.

Hata mimi imenifumbua macho mambo mengi sana nilikuwa sijui.

Mfano, nilikuwa sijui kuwa Nyerere na Kawawa walishakubali tangu miaka ya 1960s kuwa mpaka halali wa Tanzania na Malawi upo katika ufukwe wa mashariki wa ziwa Nyasa/Malawi.

Hili jambo lilishakubaliwa zaidi ya mara moja, tena mara nyingine jambo limeelezewa kama jibu la swali la bungeni Tanzania lililo katika Hansard.

Tatizo watu hawasomi.

Hili andiko la kiuanazuoni limeonesha suala hili lilivyo tata kuliko watu wengi wanavyofikiri.
Nyerere na Kawawa waliikubali mipaka ya 1890 kabla ya sheria mpya ya kimataifa

Mwaka 1967 kwa mujibu wa sheria mpya za kimataifa, mipaka ya maziwa inagawanywa katikati, Nyerere na Kawawa hawakutambua tena mipaka ya zamani

Hakuna complexity yoyote, hata sheria yakimataifa ilivyopiga marufuku utumwa waarabu nao walilazimika kuacha sheria za zamani
 
Mwaka 1962 Nyerere na Kawawa waliikubali mipaka ya 1890

Mwaka 1967 kwa mujibu wa sheria mpya za kimataifa, mipaka ya maziwa inagawanywa katikati, Nyerere na Kawawa hawakutambua tena mipaka ya zamani

Hakuna complexity yoyote, hata sheria yakimataifa ilivyopiga marufuku utumwa waarabu nao walilazimika kuacha sheria za zamani
Sheria gani ya kimataifa ya mwaka 1967 ilisema mipaka ya maziwa inagawanywa katikati?

Unaweza kuiweka sheria hiyo hapa tuisome neno kwa neno?

Sheria hiyo ilipitishwa na chombo gani?

Sheria hiyo inakuwa enforced vipi?

Unaelewa umuhimu wa kanuni ya sheria kutotumika retrospectively?

Hebu iweke hapa hiyo sheria.
 
Naomba kuuliza swali moja je upande wa mpaka wa malawi na Mozambique upoje na huko wamegawana ziwa au wamalawi wamepewa ziwa lote.?
huwa wamegawana ziwa tangu zamani kwa makubaliano kati ya Wareno walipokuwa wakoloni wa Msumbiji na Waingereza walipokuwa wakoloni wa Malawi.

Shida ilkuja Tz, 1890wajeremani na waingereza walikubaliana ziwe liwe chini ya Muingereza

Wamalawi wanataka sheria za 1890 wakati sheria mpya za kimataifa zinagawanya ziwa katikati
 
Sheria gani ya kimataifa ya mwaka 1967 ilisema mipaka ya maziwa inagawanywa katikati?

Unaweza kuiweka sheria hiyo hapa tuisome neno kwa neno?

Sheria hiyo ilipitishwa na chombo gani?

Sheria hiyo inakuwa enforced vipi?

Unaelewa umuhimu wa kanuni ya sheria kutotumika retrospectively?

Hebu iweke hapa hiyo sheria.
Kulikuwa na vuguvugu la kuleta sheria ndio maana ikatambulika rasmi,

Kifupi kwa sheria za kimataifa mipaka ya 1890 haina tena uzito.

Nyerere alikuwa na sources zake za uhakika hakukurupuka ndio maana unaona leo kuna sheria hio
 
kwa mujibu wa sheria za sasa za kimataifa, mipaka ya maziwa kwa kawaida hugawanywa katikati
Hii sio kweli. Angalia Tz ina miliki karibia asilimia 50 ya ziwa Victoria, wakati Uganda wanamiliki sehemu ndogo, na Kenya wanamiliki sehemu ndogo sana.
 
Hii sio kweli. Angalia Tz ina miliki karibia asilimia 50 ya ziwa Victoria, wakati Uganda wanamiliki sehemu ndogo, na Kenya wanamiliki sehemu ndogo sana.
Ni kwasababu karibia nusu ya ziwa lipo ndani ya Tanzania, nao wakenya wamepewa kwa usawa kulingana na eneo lao lilivyoingia ziwani

1738353486718.png
 
Kulikuwa na vuguvugu la kuleta sheria ndio maana ikatambulika rasmi,

Kifupi kwa sheria za kimataifa mipaka ya 1890 haina tena uzito.

Nyerere alikuwa na sources zake za uhakika hakukurupuka ndio maana unaona leo kuna sheria hio
Hujajibu maswali niliyokuuliza. Kwa nini?

Narudia maswali.

Sheria gani ya kimataifa ya mwaka 1967 ilisema mipaka ya maziwa inagawanywa katikati?

Unaweza kuiweka sheria hiyo hapa tuisome neno kwa neno?

Sheria hiyo ilipitishwa na chombo gani?

Sheria hiyo inakuwa enforced vipi?

Unaelewa umuhimu wa kanuni ya sheria kutotumika retrospectively?

Hebu iweke hapa hiyo sheria.
 
Hujajibu maswali niliyokuuliza. Kwa nini?

Narudia maswali.

Sheria gani ya kimataifa ya mwaka 1967 ilisema mipaka ya maziwa inagawanywa katikati?

Unaweza kuiweka sheria hiyo hapa tuisome neno kwa neno?

Sheria hiyo ilipitishwa na chombo gani?

Sheria hiyo inakuwa enforced vipi?

Unaelewa umuhimu wa kanuni ya sheria kutotumika retrospectively?

Hebu iweke hapa hiyo sheria.
Na fikiri ni kutoka na Sheria ya Bahari
 
Na fikiri ni kutoka na Sheria ya Bahari
Sheria gani ya bahari? Iwekeni hapa tuichambue.

Na sheria gani ina operate retrospectively? Im most jurisdictions the concept of retrospective laws is controversial and frowned upon.

Mkuu,

Yani tutunge sheria leo ya kukamata watu wote waliovaa mashati meusi juzi, wakati juzi kuvaa shati jeusi haikuwa kinyume cha sheria, hiyo sheria itakuwa sawa kweli?
 
Hiyo inayosemekana kuwa shèria ya kimataifa, ambayo bado haijawekwa hapa, jee ilitungwa kwa lengo la kuzinyanganya baadhi ya nchi maeneo yao kwa mujibu wa sheria ya kale? Bila malipo yoyote? Kama ndivyo huo si ujambazi?
 
Sheria gani ya bahari? Iwekeni hapa tuichambue.

Na sheria gani ina operate retrospectively? Im most jurisdictions the concept of retrospective laws is controversial and frowned upon.

Mkuu,

Yani tutunge sheria leo ya kukamata watu wote waliovaa mashati meusi juzi, wakati juzi kuvaa shati jeusi haikuwa kinyume cha sheria, hiyo sheria itakuwa sawa kweli?
ICC Legal Tools
The Malawi-Tanzania Boundary Dispute
1 Feb 2014 — A Tanzanian claim under Article 15 is undermined by explicit UNCLOS application to
 
ICC Legal Tools
The Malawi-Tanzania Boundary Dispute
1 Feb 2014 — A Tanzanian claim under Article 15 is undermined by explicit UNCLOS application to
Hiyo link ya site umekosea kuiweka na haifunguki.

ICC haina jurisdiction over border disputes.

"The ICC is a criminal court that only has jurisdiction over four specific crimes. However, the ICC can exercise its jurisdiction over crimes that occur in the territory of a state party to the Rome Statute.
Explanation

The ICC's jurisdiction is limited to the four crimes listed in the Rome Statute: genocide, war crimes, crimes against humanity, and aggression.

The ICC's jurisdiction depends on the nationality of the alleged offender, the location of the crime, and how the case was initiated.
The ICC can only exercise jurisdiction over crimes committed in the territory of a state party to the Rome Statute.

The ICC can also exercise jurisdiction over crimes that occur anywhere in the world if the UN security council requests it.
The ICC is different from the International Court of Justice (ICJ), which is the main judicial body of the United Nations for settling disputes between states. The ICJ can handle disputes over border disputes, diplomatic immunity, and environmental protection. "
 
Kwahiyo hiyo mito inayomwaga humo tuizuie ili watafute mito mingine au !
 
Hiyo link ya site umekosea kuiweka na haifunguki.

ICC haina jurisdiction over border disputes.

"The ICC is a criminal court that only has jurisdiction over four specific crimes. However, the ICC can exercise its jurisdiction over crimes that occur in the territory of a state party to the Rome Statute.
Explanation

The ICC's jurisdiction is limited to the four crimes listed in the Rome Statute: genocide, war crimes, crimes against humanity, and aggression.

The ICC's jurisdiction depends on the nationality of the alleged offender, the location of the crime, and how the case was initiated.
The ICC can only exercise jurisdiction over crimes committed in the territory of a state party to the Rome Statute.

The ICC can also exercise jurisdiction over crimes that occur anywhere in the world if the UN security council requests it.
The ICC is different from the International Court of Justice (ICJ), which is the main judicial body of the United Nations for settling disputes between states. The ICJ can handle disputes over border disputes, diplomatic immunity, and environmental protection. "


Article 15 of the United Nations Convention on the Law of the Sea (UNCLOS) of 1982 outlines how to determine the boundaries of a state's territorial sea when it shares a coast with another state.
Explanation
Article 15 of the UNCLOS is about the delimitation of territorial seas between states with adjacent or opposite coasts.
The delimitation of territorial seas is generally considered to be uncontroversial.
However, the interpretation and application of Article 15 can be challenging.
The UNCLOS is a legally binding rule of conduct that can result in state responsibility if breached.
Related concepts
The high seas are all parts of the ocean that are not part of a state's territorial sea, internal waters, archipelagic waters, or exclusive economic zone.
The high seas are open to all states, and they have freedoms like freedom of navigation, overflight, and laying submarine cables.
 
Back
Top Bottom