mhogo mtamu3
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 344
- 250
Nazani ulilowa kabisa uko ikulu kwa kelele zaoMimi nimeshawahi kuwa safarini kikazi Songea mjini nikala guest inaitwa NIPO iko pale karibu na stand, chumba cha jirani alikuwepo mpangaji mwenzangu (nasikia alitoka Msumbuji muuza madini) loooo jamani ilikuwa tabu usiku kucha!!! binti akawa analia kwa maumivu sio raha, halafu lijamaa linaongea kwa sauti kubwa SAWA NAKOJOA SASA VUMILIA
Wanapiga mayowe kama rubiiMmmh! some people buana
Wanapiga mayowe kama rubii
Haya ni mateso bila haki. Wee subiri na Mimi Leo narudi na kitu
Kila MTU ana mzuka lakini si kwa style hii aisee hapana kabisa
Nyumba zenyewe hizi za uswazi hazina singlibodi halafu mnatifuana kwa sauti ili mniumize sio
Utaisoma huku Jf mateso uliyonipa subiri zamu ysngu jioni
pole,oa tu mkuu.Haya ni mateso bila haki. Wee subiri na Mimi Leo narudi na kitu
Kila MTU ana mzuka lakini si kwa style hii aisee hapana kabisa
Nyumba zenyewe hizi za uswazi hazina singlibodi halafu mnatifuana kwa sauti ili mniumize sio
Utaisoma huku Jf mateso uliyonipa subiri zamu ysngu jioni
Bana veve nenda TCRA vao patia veve bure burecd za ngono za kibongo wap pata
Hehehehe,mtoa mada kanikumbusha mbali saaaaana..kipindi nimepanga uswahilini kuna lijamaa lilinipa shida sana usiku,ilikuwa haipiti siku lazima limkamue demu wake kuanzia mida ya satano usiku hadi sanane ndo wanalala,mbaya zaidi demu wake pamoja nayeye wote walikuwa wanapiga makelele utadhani maombi ya walokole..lijamaa likikaribia kupiz lilikuwa linalia na sauti lake 'nakojoaaaa nakojoaaa nakojoooo''...nikaona huu ushenzi siku niliwavizia walivoanza mambo yao nikaenda dirishani kwao,lijamaa lilipoanza kulia tu nakojoaa nakojoaaa namimi nikaliambia kwa sauti ''kunyaaa kunyaaaa kunyaaa'' toka siku iyo sikusikia makelele teeeeena.
Mkuu siwezi kudanganya jf,mtoa mada kanikumbusha mbali sanaaa, ila lijamaa toka siku iyo likawa linanikwepa halitaki kukutana namimi kabisaHahahahahahahahahahahahahah Mkuu izi fix haaa
Haaaahaaaa, Jf full burudanHehehehe,mtoa mada kanikumbusha mbali saaaaana..kipindi nimepanga uswahilini kuna lijamaa lilinipa shida sana usiku,ilikuwa haipiti siku lazima limkamue demu wake kuanzia mida ya satano usiku hadi sanane ndo wanalala,mbaya zaidi demu wake pamoja nayeye wote walikuwa wanapiga makelele utadhani maombi ya walokole..lijamaa likikaribia kupiz lilikuwa linalia na sauti lake 'nakojoaaaa nakojoaaa nakojoooo''...nikaona huu ushenzi siku niliwavizia walivoanza mambo yao nikaenda dirishani kwao,lijamaa lilipoanza kulia tu nakojoaa nakojoaaa namimi nikaliambia kwa sauti ''kunyaaa kunyaaaa kunyaaa'' toka siku iyo sikusikia makelele teeeeena.