Jamani wataalamu wa mambo ya afya, nimevumilia mpaka nimechoka sasa nazidi kuumia tu.
Kuanzia kwenye saa tisa usiku napiga kwikwi mpaka muda huu, ikitulia kidogo ni kama nusu saa inaanza tena. Hii inasababishwa na nini? na nifanyeje iweze kuacha kabisa?
Nisaidieni wanajamvi
Kuanzia kwenye saa tisa usiku napiga kwikwi mpaka muda huu, ikitulia kidogo ni kama nusu saa inaanza tena. Hii inasababishwa na nini? na nifanyeje iweze kuacha kabisa?
Nisaidieni wanajamvi
