Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba

Pole sana kuna mjomba wangu aliumwa na ugonjwa huo, dah ugonjwa mbaya sana, tafuta specialist, ukikosa huko ulipo, nenda zanzibar mnazi mmoja hospital
 
Na ushauri niliopata ni kumuekea kauzi kwenye paji la uso .

Eenye uzoefu Tafadhari na masuala haya.
Dawa ya kutibu Kwikwi Chukua mua mweusi Kamua upate maji yake Uchanganye na asali safi ya nyuki unywe inshallah utapona. Tumia kisha uje unipe maendeleo ya Dawa yangu Give me a feedback mkuu.@Kifimboplayer



Black Sugarcane


Muwa Mweusi
 
Mwanangu alisumbuka sana na kwikwi kila amalizapo kunyonya, nilipata shule kidogo humu ikanisaidia.
 
Asante sana umenifunza kitu ingawa huu uzi una muda ila umenipa somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…