Tunaomba kwenye sherehe za kitaifa kuwepo na mashindano sababu sisi ni wa hapa hapa, si mnaona tunavyofanya vizuri kwenye mabonanza! Michezo ya kimataifa tuwaachie hakina Azam na Yanga.
Wewe siomtanzania?, mbona huna uruma kwa watanzania ,yani watu wanazimia, wana kufa, kwenye hayo unayoita mabonanza alafu bado unataka yaendelee!!!!. Simba ni wauwaji, we bado unaomba mashindano kama hayo, Kuwa mzalendo.