Una uhakika lakini mkuu?
Maana lawama zingine mnawatwisha mods hazina miguu jaribuni kuwa wastraabu.
uhakika gani? mkuu
Zipi ni Fikira hai? ......kuishi ulaya for 18yrs? kutangaza sera za kujipendekeza kutoa laptop kama hongo.... wakati suala la kuboresha miundo mbinu ni la serikali?
Mwakalinga a.k.a Mtanzania kasema sifa yake kubwa ni kukaa Ulaya muda mrefu
hapa atakuambia sifa yake kubwa. Mie nafahamu sifa yake kubwa ni
Duh...kumbe ni njaa tu ndiyo inayokusumbua mnyakyusa mwenzangu,tungebishana sana kume sababu yenyewe ni hii.
Hakika unamawazo tegemezi sana,mnasubiri kubebwa tu,kwanini huyo dada asingegombea mwenyewe mpaka asubiri Dr ambebe?inaonyeshwa huo ushirika wenu mtakatifu hauna nguvu na ndio maana mnakuwa mnalilialilia fadhira,kama alivyoshinda 2005 bila ushirika wenu ndivyo itakavyotokea 2010.
Hahiitaji kuwa na akili saaana kujua kuwa Mwakyembe katimiza wajibu wake vizuri kama Mbunge makini,wenye mawazo ya kimatonya shauri yenu.....
Ni jukumu la Wanakyela kujudge kati ya Mwakyembe na Mwakalinga/Mwakipesile nani mweupe.
Nani kakuambia Rungwe Mashariki kuko kimya?fuatilia tena source zako..
Kwa wapambe wa mtindo wa Gwamaka,kaaazi kwelikweli......
Unao tamka......
Zipi ni Fikira hai? ......kuishi ulaya for 18yrs? kutangaza sera za kujipendekeza kutoa laptop kama hongo.... wakati suala la kuboresha miundo mbinu ni la serikali badala ya kutangaza ni namna gani au ana mbinu gani ya kuibana serikali kuweka miundo mbinu hiyo.......!
Nimesema Nsesi aka mwakyembe kwanini anamlaumu mwezake kupiga siasa jf ilihiali yeye anapiga hapa siasa.?
Nimesema Nsesi aka mwakyembe kwanini anamlaumu mwezake kupiga siasa jf ilihiali yeye anapiga hapa siasa.?
Sasa mbona haujafutwa?
Toa ushahidi kama huyu Nsesi ndo Mwaky lasivyo unastahili adhabu kali.
Sasa mbona haujafutwa?
Toa ushahidi kama huyu Nsesi ndo Mwaky lasivyo unastahili adhabu kali.
Mkuu una Laptop?
Wakati ukisubiria jibu lako, je unaweza kueleza hapa Mwakalinga alifata nini monduli kwa Ma-mvi? hiyo michango ya mtoto wa Kikwete (fisadi wa IMMA) na wengine ina usalama kwa wana Kyela, support ya watu kama Kanda2 ambao wamejaa chuki za kidini dhidi ya wakristo ni mpango safi kwa wana kyela?
Na je, Mwakalinga anatisha (au anatambia) nani kuwa amekaa ulaya miaka 18?
Toa ushahidi kama Mtanzania ndiye Mwakalinga.Nilikuwa nawasubiri nilijuwa mkiguswa lazima muungukie huko
Makosa yaliaanza pale alipopitia kwa mzee wa richmonduli kupokea baraka. Akazidi kuongeza chumvi kwenye kidonda kwa kutaka kumtumia mtoto wa Kikwete (ambaye ni fisadi kubwa tu) kumpigia debe.
Kama kweli huyu Mwakalinga ni mwanzilishi wa JF, basi hii JF ilianzia mguu tofauti.
Ninayo na je wewe unao umeme wa upepo?
Mi wala simjui huyo Mwakalinga wewe umesema Nsesi ni Mwaky tuomba uthibitisho wake lasivyo sheria ichukue mkondo wake.
Sidhani kama atafanya hivyo kwa vile anajiona kama yeye ni mwanzilishi wa JF kwa hiyo sheria hazifanyi kazi kwake.
Ni zile Mtanzania atakazogawa? Mimi natumia solar kaka.....si hitaji umewe wa upepo wala mvua za kutengeneza alizotuambia Lowassa