Hili daraja Mwakipesile alishindwa kabisa kulijenga na alileta chuki za ajabu wkt JWTZ wanajenga daraja hilo na wananchi wanajua hilo sasa kama Mwakalinga anapigiwa chapuo na mtu ambae ni Mwakipesile aandike maumivu wananchi wanajua kabisa kidonda walichopata toka kwa Mwakipesile sasa kama Mwakalinga atoneshe kidonda hicho aende kwa mgongo wa Mwakipesile.
Kama anania ya kuendeleza Demokrasia aachane na misaada ya akina mzee mvi-nyeupe hata Mwakipesile watamuharibia.
Fidel,
BAK aliandika kwa ujumla. Mwakalinga na Mwakipesile wapi na wapi? Kumbuka kuwa Mwakalinga na nduguze walihusika kwa karibu sana kumuangusha Mwakipesile kwenye uchaguzi uliopita.
BAK, Mwakalinga anakuja kwa nguvu yake ambayo kaanza kuijenga tangu yuko Secondary. Kwa nini mnafikiri Kyela ni mali ya Mwakyembe? Kama yeye ni Mbunge wa Taifa, si agombee majimbo ya Dar es Salaam? Nina imani itakuwa kwake rahisi kushinda.
Ona Watu walivyomkalia kooni Mwakalinga utafikiri kavunja katiba. Mwakyembe ana haki ya kugombea Kyela. Mwakalinga ana haki ya kugombea Kyela. Let the best WIN. Sasa huu kwa nini watu wanaweweseka na Mwakalinga? Jibu ni moja tu : Mwakalinga ni kama Watusi wa Rwanda. Wale hawaendi vitani kabla hawajajipanga vya kutosha. Ndiyo maana kila vita yao hushinda.
Kama Mwakyembe kaleta maendeleo, watu wanaona. Kama Mwakalinga kaleta maendeleo, watu wanaona. JF haitapiga kura ila ni wananchi. Magazeti wataandika kile wanachokitaka. Manafyale, Kanda2, Mwafrica, Nsesi, Mtindi, Shalom nk nao wataandika wanachokitaka....
BTW: Shalom, kama wewe una RISASI za kummaliza MWAKALINGA, basi wengine pia wanajua MAKOMBORA yalipo ya kummaliza Mwakyembe. Hivyo, usitishe watu kwa vijirisasi vyako. Unajua hizo risasi unaweza zificha wapi.
Unapokuja kwa akina Lowassa na RA, hawa wao sijui wana nini. Ila watakuwa wanafahamu zaidi. Hivyo BAK, Mwakyembe na ushujaa wake, anaishi nyumba ya VIOO, na kibaya ni kuwa alisharusha mawe (Very good 4 Tz) ila na yeye wakianza kumuopolea uchafu wake, asilie MAFISADI.