Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Hizo ni fikra mufu.
Na ndizo zinavyoeleweka na kuaminiwa na wanachi wa kawaida,kwao ni mpambano ni wa Mwakyembe against Mwakipesile+RA+EL, hii ngoma kwa Mwakalinga ni kujiangamiza kifo cha kisiasa moja kwa moja.
 
Hili daraja Mwakipesile alishindwa kabisa kulijenga na alileta chuki za ajabu wkt JWTZ wanajenga daraja hilo na wananchi wanajua hilo sasa kama Mwakalinga anapigiwa chapuo na mtu ambae ni Mwakipesile aandike maumivu wananchi wanajua kabisa kidonda walichopata toka kwa Mwakipesile sasa kama Mwakalinga atoneshe kidonda hicho aende kwa mgongo wa Mwakipesile.
Kama anania ya kuendeleza Demokrasia aachane na misaada ya akina mzee mvi-nyeupe hata Mwakipesile watamuharibia.

Fidel,

BAK aliandika kwa ujumla. Mwakalinga na Mwakipesile wapi na wapi? Kumbuka kuwa Mwakalinga na nduguze walihusika kwa karibu sana kumuangusha Mwakipesile kwenye uchaguzi uliopita.

BAK, Mwakalinga anakuja kwa nguvu yake ambayo kaanza kuijenga tangu yuko Secondary. Kwa nini mnafikiri Kyela ni mali ya Mwakyembe? Kama yeye ni Mbunge wa Taifa, si agombee majimbo ya Dar es Salaam? Nina imani itakuwa kwake rahisi kushinda.

Ona Watu walivyomkalia kooni Mwakalinga utafikiri kavunja katiba. Mwakyembe ana haki ya kugombea Kyela. Mwakalinga ana haki ya kugombea Kyela. Let the best WIN. Sasa huu kwa nini watu wanaweweseka na Mwakalinga? Jibu ni moja tu : Mwakalinga ni kama Watusi wa Rwanda. Wale hawaendi vitani kabla hawajajipanga vya kutosha. Ndiyo maana kila vita yao hushinda.

Kama Mwakyembe kaleta maendeleo, watu wanaona. Kama Mwakalinga kaleta maendeleo, watu wanaona. JF haitapiga kura ila ni wananchi. Magazeti wataandika kile wanachokitaka. Manafyale, Kanda2, Mwafrica, Nsesi, Mtindi, Shalom nk nao wataandika wanachokitaka....

BTW: Shalom, kama wewe una RISASI za kummaliza MWAKALINGA, basi wengine pia wanajua MAKOMBORA yalipo ya kummaliza Mwakyembe. Hivyo, usitishe watu kwa vijirisasi vyako. Unajua hizo risasi unaweza zificha wapi.
Unapokuja kwa akina Lowassa na RA, hawa wao sijui wana nini. Ila watakuwa wanafahamu zaidi. Hivyo BAK, Mwakyembe na ushujaa wake, anaishi nyumba ya VIOO, na kibaya ni kuwa alisharusha mawe (Very good 4 Tz) ila na yeye wakianza kumuopolea uchafu wake, asilie MAFISADI.
 
sio mwanzilishi tu bali pia ni mdhamini.mfuko wake uko wazi kuichangia JF ili wewe uje kutumia huduma ya bure.elimu yake ya Computer ndio iliyotuletea starehe hii JF.

akitajwa Mwakyembe mnakuja juu nyinyi nani aliyewapa authority ya kumtaja mh.Mwakalinga kwa ID yake?

ama kweli binadamu hatuna shukrani tuko kwenye jamvi la Mwakalinga na kupitia jamvi lake tunamtukana. unafikiri JF mwanzilishi wake ni Mwakyembe? ama kweli wewe huna adabu kabisa unakula matunda ya Mheshimiwa Mwakalinga na unatumia platform aliyoiasisi kwa manufaa ya watanzania kumtukana. ingekuwa JF tunalipa membership fee wewe usingekuwepo hapa.

Hongera Mheshimiwa Mwakalinga kazi ulizotufanyia JF na ulizowafanyia wana Kyela tunalazimika kukuita Mheshimiwa Mbunge hata kabla ya 2010 kutinga rasmi Dodoma.

ni fahari kwetu sisi wa
na Jamii Forums kuona mwenzetu anatuwakilisha bungeni wenye wivu mnaweza kula sumu maana kamba inachelewesha kifo.

asante Kanda2, ingawa nimekuwa nikitofautiana nawe ktk hoja mbali mbali, lakini leo nakuunga mkono. Mimi simpigii debe Mwakalinga kuwa Mbunge wa Kyela (kwakuwa tayari yupo mpiganaji Mwakyembe at least kwasasa). Bali ninakubaliana nawe ktk mambo haya: -

i) Ni vibaya na ni utovu wa nidhamu kuiweka wazi ID ya mtu pasipo ridhaa yake. Without excuse lazima mods wapitishe rungu japo mvua moja.

ii) Nampongeza sana Ndg. Mwakalinga kuwa moja wa waanzilishi na mfadhili wa JF. Anastahili pongezi kwa kuona mbali na kujitolea ktk mpango mzima wa kutuwezesha kupigania nchi yetu kwa njia ya mijadala na uhamasishaji. Ni ukosefu wa fadhila kumtukana na kumsema vibaya Ndg. Mwakalinga kwa jitihada anazofanya juu ya JF.

iii) WanaJF tuheshimiane na tushauriane pale panapohitaji ushauri siyo kutukanana na kusemana vibaya.

At all JF founders wana-deserve heshma toka kwetu sote.
 
Fidel,

BAK aliandika kwa ujumla. Mwakalinga na Mwakipesile wapi na wapi? Kumbuka kuwa Mwakalinga na nduguze walihusika kwa karibu sana kumuangusha Mwakipesile kwenye uchaguzi uliopita.

BAK, Mwakalinga anakuja kwa nguvu yake ambayo kaanza kuijenga tangu yuko Secondary. Kwa nini mnafikiri Kyela ni mali ya Mwakyembe? Kama yeye ni Mbunge wa Taifa, si agombee majimbo ya Dar es Salaam? Nina imani itakuwa kwake rahisi kushinda.

Mwakalinga na Mwakipesile ni damu damu. Ushahidi upo kwenye hiyo story ya uchangiaji pesa wa UVCCM ambao ulibuma baada ya wanakyela kujua the story behind trip ya fisadi Ridhiwani Kikwete.

Ona Watu walivyomkalia kooni Mwakalinga utafikiri kavunja katiba. Mwakyembe ana haki ya kugombea Kyela. Mwakalinga ana haki ya kugombea Kyela. Let the best WIN. Sasa huu kwa nini watu wanaweweseka na Mwakalinga? Jibu ni moja tu : Mwakalinga ni kama Watusi wa Rwanda. Wale hawaendi vitani kabla hawajajipanga vya kutosha. Ndiyo maana kila vita yao hushinda.

Mwakalinga amekaliwa kooni kama mwanasiasa yoyote yule Tanzania. Kilichoongeza moto kwenye mafuta (oooppppsss) ni kujihusisha kwake na mafisadi - Lowasa, ROstam na RIdhiwani.

Kama Mwakyembe kaleta maendeleo, watu wanaona. Kama Mwakalinga kaleta maendeleo, watu wanaona. JF haitapiga kura ila ni wananchi. Magazeti wataandika kile wanachokitaka. Manafyale, Kanda2, Mwafrica, Nsesi, Mtindi, Shalom nk nao wataandika wanachokitaka....

Na ndio maana mimi naweka wazi hapa kuwa Mwakalinga aachane na mafisadi ambao wanafadhili kampeni zake ili awaache wana kyela wachague mtu wanayempenda. Wewe unasemaje?

BTW: Shalom, kama wewe una RISASI za kummaliza MWAKALINGA, basi wengine pia wanajua MAKOMBORA yalipo ya kummaliza Mwakyembe. Hivyo, usitishe watu kwa vijirisasi vyako. Unajua hizo risasi unaweza zificha wapi.

Sikonge, negative kampeni ziko kila mara. Marekani sasa hivi kuna watu wanadai kuwa Obama anataka kuuuwa vizee vikongwe na wanaaminiwa. Chochote kambi ya Mwakalinga itakachokuja nacho sio kipya kwenye lingo la siasa.

Unapokuja kwa akina Lowassa na RA, hawa wao sijui wana nini. Ila watakuwa wanafahamu zaidi. Hivyo BAK, Mwakyembe na ushujaa wake, anaishi nyumba ya VIOO, na kibaya ni kuwa alisharusha mawe (Very good 4 Tz) ila na yeye wakianza kumuopolea uchafu wake, asilie MAFISADI.

Ya Lowasa na RA, Mwakalinga ndiye aliyaleta mwenyewe kwa kwenda monduli kupata baraka za fisadi Lowasa. Hayo mengine ni ya kwako mkuu.
 
Jimbo la Kyela lina kata 21 za CCM na Mpaka sasa hivi Mwakalinga ana uhakika na Kata 12 ,Mwakyembe 6 na 3 hazijulikani,Haba.. haba...ndo hiyo.Kambi ya mwakyembe matumbo moto,muulizeni mama clinton naye alikuwa anasemaga hivyohivyo Obama kafanya nini,hizi ni siasa zina wakati mbalimbali
Najua unajua unachokifanya Msauzi,ndio hawa ooh ukiniona mimi tu umeshamaliza kata hii...,na hii... na hii...., duh....Msauzi endeleeni kumpiga mwenzenu changa la macho na hii financial crisis........,akili ku mukichwa!!!
 
ii) Nampongeza sana Ndg. Mwakalinga kuwa moja wa waanzilishi na mfadhili wa JF. Anastahili pongezi kwa kuona mbali na kujitolea ktk mpango mzima wa kutuwezesha kupigania nchi yetu kwa njia ya mijadala na uhamasishaji. Ni ukosefu wa fadhila kumtukana na kumsema vibaya Ndg. Mwakalinga kwa jitihada anazofanya juu ya JF.

Hizi tunaita ni pumba Mwakalinga hahusiki kabisa na uanzishaji wa JF msimpe sifa zisizo zake, nyie wapambe wake mnaharibu mataniao ya kisiasa ya Mtanzania kule Kyela

Kwa kukusaidia

Tanzania's leading bloggers' home known as JamiiForums (The Home of Great Thinkers) launched by Maxence Melo and Mike Mushi in 2006[35] gets more than 35 million hits a month from all over the world.[citation needed] It is the only source which revealed all corruption deals in Tanzania that led the two (Mike and Maxence) into a one week detention. It is currently Tanzania's source of news that journalists interact with the world to feed news in time. They fall under a slogan "Where we Dare To Talk Openly!"
Hii nimeitoa kwenye wikipedia

[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania[/ame]
 
Haha haaa ,


Kwa hiyo sasa hii ndio new spin ambayo inatoka kwa fisadi Mwakalinga. Anajaribu kutafuta huruma ya wanabodi kwa vile tu alifiwa na mdogo wake?

Na hiyo ya kumleta Ridhiwani mtasemaje? alikuwa anakuja kutoa pole?

Mie nimekuandikia alifiwa na kaka yake. Wee kwanza UNACHEKA. Halafu mwisho unasema MDOGO WAKE. Duuu, mikono inaanguka. Yaani mtu anachekelea kusikia mwenzake alifiwa na kaka yake?

Hayo ya RIDHIWAN wee shambulia. Huko mie sijasema hata neno moja.

Ila hili la kucheka jamaa kafiwa na kaka yake, tena jamaa alikuwa masomoni URUSI? Na hii habari waweza ithibitisha kwani UBALOZI/Wizara ilishughulikia kuuleta mwili Tanzania na yeye akawa amepewa jukumu la kusafiri na mwili wa Marehemu Tanzania kwa Mazishi. Kama hili unaona ni SPIN, basi nenda wizarani na uulize kama kuna mwanafunzi alifariki Urusi miaka ya 90. Ukipata jibu, njoo NIKUOMBE msahama kwa ku-SPIN kifo ya kaka yake Mwakalinga.
Siku ukifiwa, ukiona watu wanakucheka, kumbuka wee kicheko chako cha leo. Na uzuri wa dunia yetu, Mungu si Athman. Kila la kheri.
 
Mie nimekuandikia alifiwa na kaka yake. Wee kwanza UNACHEKA. Halafu mwisho unasema MDOGO WAKE. Duuu, mikono inaanguka. Yaani mtu anachekelea kusikia mwenzake alifiwa na kaka yake?

Hayo ya RIDHIWAN wee shambulia. Huko mie sijasema hata neno moja.

Ila hili la kucheka jamaa kafiwa na kaka yake, tena jamaa alikuwa masomoni URUSI? Na hii habari waweza ithibitisha kwani UBALOZI/Wizara ilishughulikia kuuleta mwili Tanzania na yeye akawa amepewa jukumu la kusafiri na mwili wa Marehemu Tanzania kwa Mazishi. Kama hili unaona ni SPIN, basi nenda wizarani na uulize kama kuna mwanafunzi alifariki Urusi miaka ya 90. Ukipata jibu, njoo NIKUOMBE msahama kwa ku-SPIN kifo ya kaka yake Mwakalinga.
Siku ukifiwa, ukiona watu wanakucheka, kumbuka wee kicheko chako cha leo. Na uzuri wa dunia yetu, Mungu si Athman. Kila la kheri.

Sikonge,

Huwa nakuona kama analyst mzuri sana wa mambo ya kisiasa hapa JF (kwa vipimo vyangu). Kitu kimoja naomba nikukumbushe, kifo kwenye familia sio silaha nzuri kwenye mpambano wa kisiasa.

MImi nimefiwa na ndugu zangu wengi tu lakini sitahitaji huruma ya mtu siku nikiingia kwenye siasa. Life ya Mwakalinga sasa hivi ni fair game kwa vile ameingia kwenye siasa. Hayo ya kufiwa umeyaleta wewe na sidhani kama yana sababu za kutosha za kunizuia nisicheke au kuchambua ufisadi wa Mwakalinga.

Asante
 
Hizi tunaita ni pumba Mwakalinga hahusiki kabisa na uanzishaji wa JF msimpe sifa zisizo zake, nyie wapambe wake mnaharibu mataniao ya kisiasa ya Mtanzania kule Kyela

Kwa kukusaidia

Hii nimeitoa kwenye wikipedia

http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzaniahttp://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania

Asante Masanilo,

Kumbe huyu Mwakalinga sio mwanzilishi wa JF?! Wakome na walegee wale waliokuwa wanajaribu kuipaka hii forum matope kwa maneno yao ya uongo na kizushi kuwa Mwakalinga ni mwanzilishi wa JF.
 
Sikonge, negative kampeni ziko kila mara. Marekani sasa hivi kuna watu wanadai kuwa Obama anataka kuuuwa vizee vikongwe na wanaaminiwa. Chochote kambi ya Mwakalinga itakachokuja nacho sio kipya kwenye lingo la siasa.

Ya Lowasa na RA, Mwakalinga ndiye aliyaleta mwenyewe kwa kwenda monduli kupata baraka za fisadi Lowasa. Hayo mengine ni ya kwako mkuu.

Sikonge,

Huwa nakuona kama analyst mzuri sana wa mambo ya kisiasa hapa JF (kwa vipimo vyangu). Kitu kimoja naomba nikukumbushe, kifo kwenye familia sio silaha nzuri kwenye mpambano wa kisiasa.

MImi nimefiwa na ndugu zangu wengi tu lakini sitahitaji huruma ya mtu siku nikiingia kwenye siasa. Life ya Mwakalinga sasa hivi ni fair game kwa vile ameingia kwenye siasa. Hayo ya kufiwa umeyaleta wewe na sidhani kama yana sababu za kutosha za kunizuia nisicheke au kuchambua ufisadi wa Mwakalinga.

Asante

OK,

Kumbe mambo ni kama SIASA za USA siyo?

OK, nilifikiri watu wanaelewashana kumbe ni KUFURAHISHA GENGE?
 
OK,

Kumbe mambo ni kama SIASA za USA siyo?

OK, nilifikiri watu wanaelewashana kumbe ni KUFURAHISHA GENGE?

Ekzaktli -- hivyo ndivyo nilivyohitiimisha uliposema kuwa kambi ya Mwakalinga ina mambo mengi sana ya Mwakyembe (ninayaita negative campaign) itakayoyaleta wakati wa uchaguzi.

Katika hili, wao wayalete tu kwani hawatakuwa wa kwanza kufanya hivyo na wala hawatakuwa wanafurahisha genge lolote lile - zaidi ya genge la mafisadi - EL, RA na Mwakipesile.
 
Kuna ban zaidi ya 20 zinakuja tokana na name calling katika topic hii.

Sheria hii imezingatiwa katika kufanya maamuzi haya:

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

Nasikitika kwa watakaoathirika na mamauzi haya.

Atakayeendelea kukiuka atapata Server ban and that will be a permanent one.
 
Sikonge

Wakati mwingine waniacha hoi sana, ama ni Laptop kutoka kwa mweka hazina wa Tanzanet na mtaalamu wa IT? Aliyeishi miaka 18 ughaibuni. Hata basics unasahau mkubwa wangu? Hivi hujui kutoka UK kama yeye hana passport ya GB anahitaji visa kwenda Deutchland? Kule Monduli hahitaji taratibu za uhamiaji kuonana na Mamvi. Naona hili linawakera sana mara kaenda kuona mke wa marehemu shemejie mara sijui nini bla bla bla tu...anafadhiliwa na RA, EL na Mwakipesile full stop.

Ndugu yangu waachie wanaKyela wewe njoo tule asali ,matobolwa, na masangu ila nasikia umegele mwaka huu haukuwa mwingi.

Masanilo,
Sijui umeandika kwa kutaka kujua au unatania. Maadamu wee ndugu yangu na hatuna utani basi nitakueleza. Kwa sasa jamaa anafanya kazi kampuni moja kubwa sana la electronics na mambo ya simu. Mapema kabla ya hapo alikuwa Lucent. Sasa basi hizi kazi zao mara nyingi unaweza kuwa UK ila unashughulika na mitambo ya simu ya Australia, Argentina, Russia, German nk. Kutokana na uzoefu wake kikazi, amekuwa akipelekwa nchi tofauti za Ulaya ili kwenda kuchukua VIZA, hasa hii viza ya SCHENGEN. Mwezi wa tano aliniambia alikuwa anatakiwa kwenda kuchukua tena VIZA. Hivyo wakati Lowassa yupo German, tayari alikuwa na viza ya mwaka mzima. Huwa wanampatia ya muda mrefu kutoka na safari zake za mara kwa mara ndani na nje ya Europe.

Pia kwa Mtu mkali wa IT, hivi anahitaji kwenda hadi Monduli ili kumuona Lowassa? Kumbuka Lowassa sasa anajenga sijui TV? Inamshinda Laptop moja na Internet ya high speed ili aongee na Mwakalinga? Kama ni pesa si wangelienda kuchukua wapambe? Au Lowasa angelikwenda kumuona UK.

Na wee Mwafrika, acha ushama wako. Nenda kwa Michuzi, utaona picha ya Lowassa akiwa German kwa matibabu. Alienda na kurudi salama. Nani ampige mawe Richmonduli?
 
Kuna ban zaidi ya 20 zinakuja tokana na name calling katika topic hii.

Sheria hii imezingatiwa katika kufanya maamuzi haya:



Nasikitika kwa watakaoathirika na mamauzi haya.

Atakayeendelea kukiuka atapata Server ban and that will be a permanent one.
Nimesema Nsesi aka mwakyembe kwanini anamlaumu mwezake kupiga siasa jf ilihiali yeye anapiga hapa siasa.?
....naona mboko haram keshakula chake....
 
Masanilo,
Sijui umeandika kwa kutaka kujua au unatania. Maadamu wee ndugu yangu na hatuna utani basi nitakueleza. Kwa sasa jamaa anafanya kazi kampuni moja kubwa sana la electronics na mambo ya simu. Mapema kabla ya hapo alikuwa Lucent. Sasa basi hizi kazi zao mara nyingi unaweza kuwa UK ila unashughulika na mitambo ya simu ya Australia, Argentina, Russia, German nk. Kutokana na uzoefu wake kikazi, amekuwa akipelekwa nchi tofauti za Ulaya ili kwenda kuchukua VIZA, hasa hii viza ya SCHENGEN. Mwezi wa tano aliniambia alikuwa anatakiwa kwenda kuchukua tena VIZA. Hivyo wakati Lowassa yupo German, tayari alikuwa na viza ya mwaka mzima. Huwa wanampatia ya muda mrefu kutoka na safari zake za mara kwa mara ndani na nje ya Europe.

SIkonge,

Chenge anabrag sana kuwa kasoma Havard. Ufisadi haujali elimu wala uzoefu wa kuishi nje ya nchi. Kama kambi ya Mwakalinga inataka kutumia haya kama kigezo cha kushinda ubunge basi inabidi wajipange upya.

Pia kwa Mtu mkali wa IT, hivi anahitaji kwenda hadi Monduli ili kumuona Lowassa? Kumbuka Lowassa sasa anajenga sijui TV? Inamshinda Laptop moja na Internet ya high speed ili aongee na Mwakalinga? Kama ni pesa si wangelienda kuchukua wapambe? Au Lowasa angelikwenda kumuona UK.

Tatizo halikuwa kwa Mwakalinga .... h aha haha ... Tatizo lilikuwa kwa fisadi Lowasa ambaye hana clue ya mambo ya IT.

Na wee Mwafrika, acha ushama wako. Nenda kwa Michuzi, utaona picha ya Lowassa akiwa German kwa matibabu. Alienda na kurudi salama. Nani ampige mawe Richmonduli?

Natumaini hapo ulitaka kumaanisha ushamba? Suala la Lowasa kuwa German kwa matibabu lingezuia wapopoaji (wa mawe) wasitimize azma yao maana hata wajerumani wasingefurahi kuona mtu mwenye mvi na mgonjwa akipipopolewa mawe.

Kupitia Monduli ndiyo ilikuwa njia pekee kwa Mwakalinga na Lowasa kukutana bila hofu wala shaka yoyote.
 
Hivi hamjui Mwakyembe ni BABA SUKARI? Hebu oneni hapa.

(TANGAZO LA BIASHARA).

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=dp4_Xdsl050"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
 
Back
Top Bottom