Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Huyo Mwakalinga asifikiri wana Kyela wamelala kama huko nyuma, la, sasa hivi tumeamka tunawajua wale3 wote wenye thati ya kweli na wale wanaotumwa kuja kutuvuruga wana Kyela na wana Mbeya kwa ujumla kama walivyokuwa wamemtuma Mwang'onda kumg'oa Mwandosya. Waliomtuma huyu Bwana tunawajua lengo lao ni kutaka kutuchonganisha sisi wanyakyusa tusishughulike na maendeleo yetu kwa kupambana wenyewe kwa wenyewe. Na huyo Mwakalinga ni mdau mkubwa wa JF na mara nyingi amekuwa akitumia nafasi yake hii kumchafua Mwakyembe katika mtandao huu wa JF nasikia ni mmojawapo wa wanzilishi kama siyo wamiliki. Kama kweli anaenda Kyela kwa kukerwa na maendeleo basi tunamtakia la heri ila kama anaenda kuvuruga ambalo ndiyo mipango ya mafisadi basi ajiandae kukabiliana na wanaKyela popote tulipo katika sayari hii.
 
Last edited:
Teh teh teh teh am not that cheap mpwa wangu! sijaanzisha JF wala kuwa mweka hazina wa Tanzanet, sina supermarket, One star hotel kifupi sina mafanikio na siwezi gawa laputopu hahahahahah mwaka 2010 balaa

Masanilo,

Hayo ndiyo muliyokimbilia kuandika gazetini ili baadaye muje JF na kusema Mwakalinga kasema hivi.

Mwakalinga hakusema kaanzisha JF. Alichosema kwenye mikutano yake ni kwamba hata yeye anapinga ufisadi na yuko kwenye mapambano ya fikra kupitia mawasiliano ya kompyuta kwa muda mrefu. Alikuwa anasema kuna mitandao miwili ya Watanzania ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikishiriki kupambana na matatizo mbalimbali yanayowakabili Watanzania. Alikuwa anaitaja JF na kusema yeye ni miongoni mwa wanachama wa mwanzo na pia Tanzanet ambako alisema amewahi kuwa mwekahazina kwa miaka minne.

Hii hoja ilikuwa inatokea pale alipokuwa anaulizwa kwamba wanasikia yeye ametumwa na mafisadi ambao Mwakyembe aliwaangusha kwenye Richmond.

Kwa maelezo ya Mwakalinga alikuwa akisema yeye anathamini mchango wa Mwakyembe kwenye kamati ya Richmond na ndio maana hata yeye alimwandikia email na kumpa pongezi kwa kazi hiyo. Lakini pia alikuwa naeleza kwamba Richmond iliibuliwa kwanza kwenye mitandao ya kompyuta ya Watanzania ambayo yeye ni mwanachama. Na kwamba mwanzoni bunge walikuwa wanaiita hiyo mitandao kama inazusha lakini baadaye wakaunda tume na ikaja thibitisha kwamba ni kweli Richmond walikuwa fake.

Lakini nyie kwa propaganda zenu mkakimbilia kusema Mwakalinga anasema kaanzisha JF, kazi kweli kweli.

Kwa taarifa yako Mwakalinga alikuwa kiongozo wa serikali ya Wanafunzi Poland kwa zaidi ya miaka mitatu. Alipohamia UK akachaguliwa kuwa kiongozi kwenye jumuia ya Watanzania UK kwa zaidi ya miaka miwili mpaka alipojitoa yeye mwenyewe. Sasa kama ni sifa za uongozi si angzitaja hizo ambazo ni muhimu zaidi kuliko hata hizo za JF?

Njia ya mwongo fupi na itafika mahali uongo wenu na propaganda zenu zitajulikana tu.
 
Ebana Mtanzania eeeh wewe si ukubali kuwa wewe ndio George Mwakalinga...

Usitufanye sisi watoto wadogo hapa na kutudanganye kuwa wewe si yeye. Unadhani hatukujui? Ebo
 
Sikonge,

Ukiwa kama mmoja wa wale wanaodai kuitakia hii forum mafanikio (hata kuwa na thread inayoomba watu wachangie hii forum), inakuwa kinyume na tija kwa wewe kutoa maneno yanayodhalilisha watu, au kutumia matusi na lugha moja au nyingine ambayo inadhalilisha forum hii ambayo unadai kuipenda na kuijali sana.

Suleiman,

Huyo dada wa Kikwapa ukweli ni kwamba HAYUPO. Mie huyo Mwafrika wala simfahamu. Na zaidi ya hapo hata yeye alijua ni UTANI kama ambavyo jumbe zilizofuata nimeandika. Sasa hili la kikwapa cha dada yake Mwafrika wala lisikupe shida. Inawezekana jamaa hana hata dada, sasa wee haya maneno yanakuuma ya nini?

Nafahamu kuwa kweli Kikwapa kipo. Kingine kilisharushwa hapa na Nyani Ngabu akatuonyesha kikwapa kimeloana. Na hii inaweza kuwa kwa wanaume au wanawake. Mie nilishawahi kushuhudia kikwapa (true story) nikiwa mdogo, hadi mmoja wetu akasema hiki kikwapa (kwa Kinyamwezi tunasema kaniengi) ni kikali kiasi kwamba chaweza kutumika kama dawa ya mbu. Sasa haba hii gender inatoka wapi?

Suleiman, kumbuka hii JF kama forum ni kama dunia yetu kwa sasa. Tupo hapa tunacheka pamoja, tunalia pamoja, tunataniana, tunagombana, tunapatana, watu wanaowa, kuolewa, kusaidia kwenye magonjwa na raha nk nk. Sasa huwezi kuvunja baadhi ya vitu kwa sababu tu hadhi ya JF iko juu. Kinachokataliwa hapa ni MATUSI. Na kama ningelikuwa nimetukana, amini nakuambia tangu jana ningelikuwa nimefungiwa. Please, tofautisha utani na matusi.

JF inapata umaarufu kwa vitu vingi. Hata utani (ambao umejaa kibao humu ndani) unafanya watu wengine waje kusoma. Wengine wanakuja kupata ushauri wa mdrs, kuomba kazi, kuuza vitu, kutafuta mke/mme, marafaiki, kutaka ushauri, kutoa ushuhuda nk. Mfano wa vitu hivi ni Barua ya Pascal Mayala au tangazo la ndoa la nani sijui? Yep yep, ndiyo dunia yetu sasa watanzania. Mungu ibariki JF.
 
Now you are talking, Mwakalinga!Kumbuka sina bifu na wewe ila sipendi wewe na jamaa zako mnapojifanya wajanja na kuona sisi wapiga kura ni majuha na tunababaika na watoka majuu. Hujawahi kuanzisha JF wala kuwa mfadhili, asante uko mkweli hapa.

Kinachowashinda ni kwamba huwezi kukuta au kuona mahali popote ambapo Mwakalinga amefanya kitu chochote ambacho ni kinyume na maadili. Amejenga biashara zake Kyela zinazokaribia bilioni kwa sasa
Hizo bilioni sijui Shs ama Zimbabwean Dollars? ni investment kubwa hongera lakini usitumie kama ni kigezo cha kuonekana wewe ni bora hata kama huna sera nyuma yako kuna watu wanaajenda ya siri.

Kwa taarifa yako Mwakalinga alikuwa kiongozo wa serikali ya Wanafunzi Poland kwa zaidi ya miaka mitatu. Alipohamia UK akachaguliwa kuwa kiongozi kwenye jumuia ya Watanzania UK kwa zaidi ya miaka miwili mpaka alipojitoa yeye mwenyewe
Huu ni upupu, uongozi wa serikali ya wanafunzi Poland....unamaana watanzania ama presidaa wa hicho chuo? Kuwa makini dogo! Jumuia ya watanzania UK hizi ni kamba sisi tulikuwa miaka hiyo Northern Ireland na Uscotishi hatujawahi msikia Mwakalinga, hizi ni habari za kwenye kucheza draft na vijiwe vya kahawa. Hizi si sifa za kusaidia siasa za Kyela na taifa kwa jumla!

Mzee Masa
 
Ebana Mtanzania eeeh wewe si ukubali kuwa wewe ndio George Mwakalinga...

Usitufanye sisi watoto wadogo hapa na kutudanganye kuwa wewe si yeye. Unadhani hatukujui? Ebo

Nyani,
kwani akikubali nini kitabadilika? Mwanamalundi atarudi kuwa hai na kutenganisha maji ya Baharini kama Musa? Au dunia itageuka kuwa meza?

Nashindwa kufahamu hiki kulazimisha mtu kutumia jina asilopenda.

Nilishasikia kijana aliyegoma kuitwa PITA baada ya kutokka USA. Yeye akawa anadai "Call me PIRA (Peter)". Ilibidi waanze tu kumwita Pira.

Ni vema kuheshimu maamuzi ya mtu na kumwita anavyotaka. kwa mfano mie naitwa Kilya Ndoto (usiulize lilitoka wapi), ila hapa niite SIKONGE (Tamka Saikong).
 
Wakuu,

Naomba kwa wale ambao mna mtetea au ni wapambe wa Mwakalinga, muache hasira na andikeni hoja. Jino kwa jino wote tutageuka kuwa na ngeu.

Hilo ndilo ombi la Mwakalinga mwenyewe. Kwa mfano kuna sehemu nimeona mtu kaandika Mwakalinga atamwaga laptop kila shule. Jamani, Mwakalinga hajasema hivyo na naamini hata siku moja hawezi kusema hivyo maana huwa haahidi mambo asiyoweza kuyafanya.

Tubaki kwenye hoja.

Kule Kyela watu wameelemika na kufarijika, tusiwachanganye na kuwaangusha kwa habari ambazo sio kweli. Mtu anaweza akaja hapa JF akasoma na akafikiri ni kweli mwakalinga ameahidi hivyo; baadaye akiona hakuna laptop akaanza kusema jamaa alidanganya.



Wewe si ndiyo Mwakalinga mwenyewe? Wewe Bwana hueleweki. Mara useme hivi mara vile. Nakuomba kama kweli umekuja kwa wana kyela kwa nia njema ya maendeleo ujibu maswali yafuatayo:

1.Ni kweli ulifika kyela?
2.Umetangaza kwa wana kyela kwamba utagombea ubunge next year?
3.Ni kweli ulienda Monduli kabla ya kwenda kyela?
4.Wewe ni kibaraka wa Lowassa na washirika wake?
5.Kama ndiyo unadhani ni njia sahihi ya kupatia ubunge kyela?
6.Kama siyo, unajua watu wanakuhusisha na Lowassa na kundi lake?
7.Unajua madhara ya kisiasa ya kuhusishwa na kundi la akina Lowassa?(nachelea kuwaita mafisadi)
8.Ulifuatilia kwa umakini uchaguzi wa NEC wa mkoa wa mbeya kati ya Mwandosya na Thom Mwang'onda?
9.Unajua kilichomfanya Mwang'onda ashindwe ni kundi aliloambatana nalo japo alikuwa akiungwa mkono na viongozi wa CCM mkoa na taifa?
10.Unajua kuwa Mwang'onda aliungwa mkono na nguvu kubwa sana kuliko hata yako ndani ya chama kitaifa paka ungozi wa mkoa lakini hakuungwa mkono na wana Mbeya?

Ndug yangu nikushauri uusome kwa makini upumbavu wangu hapo juu na ujue unatakiwa kuchagua fungu jema. Kundi linalokuunga mkono halina upepo mzuri kisiasa,unaweza ukawa na malengo mazuri sana na wana Kyela lakini wakakuchukia kwa watu unaoambatana nao.

Kumbuka Obama alipohusishwa na wanaharakati weusi au Mchungaji wake alipoanza kuponda race zingine kwamba zilikuwa zinawanyanyasa weusi, aliwakana si kwamba aliukana weusi bali alijua kuwa yeye ni mmarekani na anaomba kura kwa wamarekani wote.

Kama Obama angekuwa ni kizazi cha wanaharakati weusi wa marekani asingeweza kupewa kura na watu wengi kiasi kile. Kumbuka akina Jesse Jackson waligombea miaka ya 80 lakini hawakufika mbali kwani walikuwa wanahisishwa direct na kundi fulani.

Soma alama za majira na nyakati,tafuta washauri wazuri otherwise umeukosa ubunge kabla ya uchaguzi.
 
MWAKALINGA ALIENDA MONDULI KUONANA NA LOWASSA:

Ha haa!!! wacha nijibu hili kwanza:

Lowassa alikuwa Ujerumani kutibiwa na ilikuwa inajulikana na watu wengi tu. Baada ya kutoka Ujerumani alipitia hapa UK na kama sikosei alikuwa hapa UK kwa muda kama wa wiki moja.

Sasa huyu Mwakalinga mjinga kweli kweli, anashindwa kumwona Lowassa hapa Ulaya ili amfuate mpaka Monduli?

Kama hiyo haitoshi; Mwakalinga na familia yake walienda Arusha siku ya Jumapili na kulala hapo ikiwa ni pamoja na kuhani misiba iliyokuwepo upande wa mke wake. Kesho yake Jumatatu wakaenda manyara na Jumanne Ngorongoro. Jumatano usiku wakarudi Dar.

Kuna picha za Lowassa Jumatatu yuko bungeni Dodoma wakati Mwakyembe anachangia hoja baada ya kurudi bungeni. ITV wakamwonyesha na Lowassa. sasa huko alikokuwa anakutana na Mwakalinga ilikuwa lini?

Hizi propaganda za akina Masanilo hata hazi make sense.

Ukweli ni kwamba Mwakalinga alikuwa likizo na familia yale. Alijua kule Kyela kutakuwa na kazi nzito hivyo akafanya makubaliano na familia yake kwamba atawapatia likizo nzuri kule kaskazini ambayo itaongozana na kuhani misiba na wiki ya mwisho wamwachie afanye kazi zake kule Kyela.

Unajua fadhila inaanzia nyumbani, anaijali familia yake na ndio wanampa baraka zote mpaka kufanya yote anayoyafanya.
 
Nyani,
kwani akikubali nini kitabadilika? Mwanamalundi atarudi kuwa hai na kutenganisha maji ya Baharini kama Musa? Au dunia itageuka kuwa meza?

Nashindwa kufahamu hiki kulazimisha mtu kutumia jina asilopenda.

Nilishasikia kijana aliyegoma kuitwa PITA baada ya kutokka USA. Yeye akawa anadai "Call me PIRA (Peter)". Ilibidi waanze tu kumwita Pira.

Ni vema kuheshimu maamuzi ya mtu na kumwita anavyotaka. kwa mfano mie naitwa Kilya Ndoto (usiulize lilitoka wapi), ila hapa niite SIKONGE (Tamka Saikong).

Kama ni yeye kwa nini anakataa? Ni bora asiseme kitu kuhusu yeye kuwa au kutokuwa George. Unaokataa jina lako mwenyewe ni tantamount na kudanganya. Ni bora aseme "I neither deny nor confirm" kuliko ku deny huku akijua anadanganya.
 
Wewe si ndiyo Mwakalinga mwenyewe? Wewe Bwana hueleweki. Mara useme hivi mara vile. Nakuomba kama kweli umekuja kwa wana kyela kwa nia njema ya maendeleo ujibu maswali yafuatayo:

1.Ni kweli ulifika kyela?
2.Umetangaza kwa wana kyela kwamba utagombea ubunge next year?
3.Ni kweli ulienda Monduli kabla ya kwenda kyela?
4.Wewe ni kibaraka wa Lowassa na washirika wake?
5.Kama ndiyo unadhani ni njia sahihi ya kupatia ubunge kyela?
6.Kama siyo, unajua watu wanakuhusisha na Lowassa na kundi lake?
7.Unajua madhara ya kisiasa ya kuhusishwa na kundi la akina Lowassa?(nachelea kuwaita mafisadi)
8.Ulifuatilia kwa umakini uchaguzi wa NEC wa mkoa wa mbeya kati ya Mwandosya na Thom Mwang'onda?
9.Unajua kilichomfanya Mwang'onda ashindwe ni kundi aliloambatana nalo japo alikuwa akiungwa mkono na viongozi wa CCM mkoa na taifa?
10.Unajua kuwa Mwang'onda aliungwa mkono na nguvu kubwa sana kuliko hata yako ndani ya chama kitaifa paka ungozi wa mkoa lakini hakuungwa mkono na wana Mbeya?

Ndug yangu nikushauri uusome kwa makini upumbavu wangu hapo juu na ujue unatakiwa kuchagua fungu jema. Kundi linalokuunga mkono halina upepo mzuri kisiasa,unaweza ukawa na malengo mazuri sana na wana Kyela lakini wakakuchukia kwa watu unaoambatana nao.

Kumbuka Obama alipohusishwa na wanaharakati weusi au Mchungaji wake alipoanza kuponda race zingine kwamba zilikuwa zinawanyanyasa weusi, aliwakana si kwamba aliukana weusi bali alijua kuwa yeye ni mmarekani na anaomba kura kwa wamarekani wote.

Kama Obama angekuwa ni kizazi cha wanaharakati weusi wa marekani asingeweza kupewa kura na watu wengi kiasi kile. Kumbuka akina Jesse Jackson waligombea miaka ya 80 lakini hawakufika mbali kwani walikuwa wanahisishwa direct na kundi fulani.

Soma alama za majira na nyakati,tafuta washauri wazuri otherwise umeukosa ubunge kabla ya uchaguzi.

Solomon,

Mkuu sasa nikuulize. Ujumbe kama huu unaweza kuujibu vipi?

Wengine twashinda na wabeba zege. Majibu yetu kwa maswali kama haya huwa yanakuwa kwenye mstari wa pembeni wa uwanja. Inabidi ujibu ukiwa pale maana kwa kawaida wabeba zege ukiwambia "hebu lete ile compaction machine - Vibrator" ataanza kusuasua. Ila ukiwambia wee **** lete hiyo M***, utaona ataruka na kuileta mara moja.

Ndiyo maana wakati mwingine unaona wengine tunavua suti na kuvaa majeans na helmet na hapo lugha zinabadilika.

Anyway, kwa makala zote za Mwakalinga, sintatumia tena utani maadamu mwenyewe kaja. Ila kwengine nitabaki kuwa "mwenyewe".
 
Hii thread ni kiboko,true colours za wapenda maendeleo,democracy etc etc zimejitokeza,and out of all this SLEEPER CELLS za ccm na vyama vya upinzani zote zimekuwa activated-god bless JF
 
Kama ni yeye kwa nini anakataa? Ni bora asiseme kitu kuhusu yeye kuwa au kutokuwa George. Unaokataa jina lako mwenyewe ni tantamount na kudanganya. Ni bora aseme "I neither deny nor confirm" kuliko ku deny huku akijua anadanganya.

Nyani Ngabu,

Je unaufahamu huu wimbo? Mbona jibu ni rahisi? Hata Beyonce anafahamu hilo. Kila mtu ana watu watatu. Yaani kuna ME, MY SELF na kuna I.

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=e7PAkrbQScw"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
 
Nitakupigia simu weekend nikupe michapo ya Kyela.

Ulikuwa Kyela na Mwakalinga? Vp ishu ya harambee kwa nini iliingia nyongo?
Kwanini usimshauri akagombea sehemu ingine kama vile Mbeya mjini kuliko kujenga uhasama na Dr.?
 
Wewe si ndiyo Mwakalinga mwenyewe? Wewe Bwana hueleweki. Mara useme hivi mara vile. Nakuomba kama kweli umekuja kwa wana kyela kwa nia njema ya maendeleo ujibu maswali yafuatayo:

1.Ni kweli ulifika kyela?
2.Umetangaza kwa wana kyela kwamba utagombea ubunge next year?
3.Ni kweli ulienda Monduli kabla ya kwenda kyela?
4.Wewe ni kibaraka wa Lowassa na washirika wake?
5.Kama ndiyo unadhani ni njia sahihi ya kupatia ubunge kyela?
6.Kama siyo, unajua watu wanakuhusisha na Lowassa na kundi lake?
7.Unajua madhara ya kisiasa ya kuhusishwa na kundi la akina Lowassa?(nachelea kuwaita mafisadi)
8.Ulifuatilia kwa umakini uchaguzi wa NEC wa mkoa wa mbeya kati ya Mwandosya na Thom Mwang'onda?
9.Unajua kilichomfanya Mwang'onda ashindwe ni kundi aliloambatana nalo japo alikuwa akiungwa mkono na viongozi wa CCM mkoa na taifa?
10.Unajua kuwa Mwang'onda aliungwa mkono na nguvu kubwa sana kuliko hata yako ndani ya chama kitaifa paka ungozi wa mkoa lakini hakuungwa mkono na wana Mbeya?

Ndug yangu nikushauri uusome kwa makini upumbavu wangu hapo juu na ujue unatakiwa kuchagua fungu jema. Kundi linalokuunga mkono halina upepo mzuri kisiasa,unaweza ukawa na malengo mazuri sana na wana Kyela lakini wakakuchukia kwa watu unaoambatana nao.

Kumbuka Obama alipohusishwa na wanaharakati weusi au Mchungaji wake alipoanza kuponda race zingine kwamba zilikuwa zinawanyanyasa weusi, aliwakana si kwamba aliukana weusi bali alijua kuwa yeye ni mmarekani na anaomba kura kwa wamarekani wote.

Kama Obama angekuwa ni kizazi cha wanaharakati weusi wa marekani asingeweza kupewa kura na watu wengi kiasi kile. Kumbuka akina Jesse Jackson waligombea miaka ya 80 lakini hawakufika mbali kwani walikuwa wanahisishwa direct na kundi fulani.

Soma alama za majira na nyakati,tafuta washauri wazuri otherwise umeukosa ubunge kabla ya uchaguzi.

Wee Mshamba wacha siasa za akina Jesse.Maswali yako kumi hapo pumba tu,Kwani unataka kupewa jibu ili likusaidie vip?
 
Ulikuwa Kyela na Mwakalinga? Vp ishu ya harambee kwa nini iliingia nyongo?
Kwanini usimshauri akagombea sehemu ingine kama vile Mbeya mjini kuliko kujenga uhasama na Dr.?

DR. Sasa ameanza kuwa Menghi au 6?Kulia lia tu ..wameniletea mtu jimbo langu,wanataka kunitoa. DR.amekuwa mpole sasa hivi..ananikumbusha ule wimbo mwisho wa mwezi ukifika lugha ubadilika..Majivuno kwisha,Sikonge ule mwimbo nani alimbaga vile mwanawane
 
Wewe si ndiyo Mwakalinga mwenyewe? Wewe Bwana hueleweki. Mara useme hivi mara vile. Nakuomba kama kweli umekuja kwa wana kyela kwa nia njema ya maendeleo ujibu maswali yafuatayo:

1.Ni kweli ulifika kyela?
2.Umetangaza kwa wana kyela kwamba utagombea ubunge next year?
3.Ni kweli ulienda Monduli kabla ya kwenda kyela?
4.Wewe ni kibaraka wa Lowassa na washirika wake?
5.Kama ndiyo unadhani ni njia sahihi ya kupatia ubunge kyela?
6.Kama siyo, unajua watu wanakuhusisha na Lowassa na kundi lake?
7.Unajua madhara ya kisiasa ya kuhusishwa na kundi la akina Lowassa?(nachelea kuwaita mafisadi)
8.Ulifuatilia kwa umakini uchaguzi wa NEC wa mkoa wa mbeya kati ya Mwandosya na Thom Mwang'onda?
9.Unajua kilichomfanya Mwang'onda ashindwe ni kundi aliloambatana nalo japo alikuwa akiungwa mkono na viongozi wa CCM mkoa na taifa?
10.Unajua kuwa Mwang'onda aliungwa mkono na nguvu kubwa sana kuliko hata yako ndani ya chama kitaifa paka ungozi wa mkoa lakini hakuungwa mkono na wana Mbeya?

Ndug yangu nikushauri uusome kwa makini upumbavu wangu hapo juu na ujue unatakiwa kuchagua fungu jema. Kundi linalokuunga mkono halina upepo mzuri kisiasa,unaweza ukawa na malengo mazuri sana na wana Kyela lakini wakakuchukia kwa watu unaoambatana nao.

Kumbuka Obama alipohusishwa na wanaharakati weusi au Mchungaji wake alipoanza kuponda race zingine kwamba zilikuwa zinawanyanyasa weusi, aliwakana si kwamba aliukana weusi bali alijua kuwa yeye ni mmarekani na anaomba kura kwa wamarekani wote.

Kama Obama angekuwa ni kizazi cha wanaharakati weusi wa marekani asingeweza kupewa kura na watu wengi kiasi kile. Kumbuka akina Jesse Jackson waligombea miaka ya 80 lakini hawakufika mbali kwani walikuwa wanahisishwa direct na kundi fulani.

Soma alama za majira na nyakati,tafuta washauri wazuri otherwise umeukosa ubunge kabla ya uchaguzi.
Mponjoli,

Kama umesoma maandishi yangu ya leo utakuta nimejibu maswali yako mengi ingawaje mengine naendelea kuyajibu.

Wala hutakiwi hata kwenda mbali, uliza hapa hapa JF je Mtanzania ana uhusiano gani na profesa Mwandosya? Ninaamini utapata majibu maana nikikujibu mimi utasema nadanganya. Mimi ni mpenzi mkubwa wa Mwandosya na hata uki search hapa JF utakuta yote.

Mimi simjui Lowassa na wala sijawahi hata kukutana naye, kupeana naye mkono au kuwa naye chumba kimoja. Ninamwona kwenye magazeti na television tu.

Ukweli ni kwamba kuna kundi Kyela wamepanic baada ya kusikia Mwakalinga anagombea. Wanaona chance yao pekee ni kumhusisha yeye na ufisadi, kumhusisha yeye na Lowassa na kumhusisha yeye na Mwakipesile.

Lakini bahati mbaya wanashindwa kwasababu mtu hageuki kuwa fisadi kwa siku moja.

Kinachowatisha Kyela ni kwamba michango ya Mwakalinga kule Kyela haijaanza jana wala juzi. Kwa miaka karibu ishirini sasa anasaidi shule hasa kwenye majengo na vitabu. Mfano tu, mwaka 1987 akiwa chuoni, yeye na vijana wenzake wachache wa Kyela walichanga pesa ili walimu wanafunzi pale mlimani waende Kyela kufundisha shule za sekondari mbili ambazo zilikuwa hazina walimu. Walikata posho yao ya field ili kuwasaidia wale walimu. Waliendelea hivyo mpaka yeye alipoondoka kwenda kusoma nje.

Wakati wao wanawekeza Dar, Mwakalinga miradi yake yote iko Kyela tena sio ya kuanza jana kwamba wanaweza kusema ni kwasababu ya ubunge.

Mwakalinga ana interests nyingi sana kwenye masuala ya elimu. Sio tu kawasaidia wadogo zake wote kusoma mpaka vyuo vikuu, lakini pia kuna vijana ambao wala sio ndugu ila aliwaona wana uwezo na akawasaidia na sasa wanasoma vyuo vikuu.

Hayo ndio mambo yanayowatisha kwasababu anaweza kuonyesha kuna hili na lile wakati wao hakuna kitu walichofanya kule Kyela.

Hata mwaka huu Kyela walitaka kuanzisha A-level lakini ikaonekana hawana uwezo wa kujenga hostel. Mwakalinga alikuwa tayari kujenga hostel ili wanafunzi wapange kwa bei nafuu na waanze masomo. Wanasiasa uchwara wakasema anafanya hivyo kwasababu ya siasa na wakazuia. Leo hii Kyela haina A-level hata moja pamoja na kuwa na shule za sekondari zaidi ya 20.
 
DR. Sasa ameanza kuwa Menghi au 6?Kulia lia tu ..wameniletea mtu jimbo langu,wanataka kunitoa. DR.amekuwa mpole sasa hivi..ananikumbusha ule wimbo mwisho wa mwezi ukifika lugha ubadilika..Majivuno kwisha,Sikonge ule mwimbo nani alimbaga vile mwanawane

Mkuu nyamaza imradi kaja mwenyewe aliye kuwa nae kule nyie wapambe nyamazeni sasa kwani na bungeni akipita mtaingia nae? Si mtaishia kwenye lango kuu na hapa nyamazeni mnamwaribia sasa kuna baadhi ya mambo amesha wakatalia kuhusu la laptop ni nyie wenyewe wapambe mlio vumisha.
 
Back
Top Bottom