Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Hapa una rap mwenyewe......

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=_rJe2tOS90E"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
 
Mtanzania, tunashukuru kwa kutupa yaliyojili Kyela wakati wa ziara ya Mbunge Mtarajiwa Mwakalinga.

Ni ukweli usiopingika kuwa wanasiasa wanataka sana huruma ya wapiga kura ili kunusuru ulaji wao hata kama hawajafanya chochote kwenye term iliyopita.

Wanazua mambo ambayo kwa msomi yantia kinyaa ili mradi wakombe tena kura katika uchaguzi ulio mbele yao.

Mtu anatumia ajali aliyopata kama mtaji kisiasa, wakati hiyo inamtokea mtu awae yeyote yule. Hata Kasyupa ilimtokea kipindi cha G55, mbona hakulalama?

Tuko nyuma yako na tunakuombea afya njema 2010 iwe mwisho wa wapiga gita na pambio majukwaani.

kgwamaka
 
Mwafrika;

Hujanielewa ndugu yangu, ninaposema undava undava nina maana tumejitahidi kutetea na kuwajibu vizuri sana, ila kwa maksudi kabisa kuna watu kama Masanilo anaendeleza vijembe, Nyani tunamjua yeye ni mzaha siku zote..ok. Undava undava ni kuwa mtu akijibu kwa kejeli naye anajibiwa kwa kejeli. Akiwa serious naye tunamjibu seriously.

Ndo maana nikakwambia kuwa nakuona upo serious, wasikuchanganye ukaishia kukejeli mara laputopu mara shule mara Duka etc.

Na naomba for sure utambue kuwa hakuna hapa aliyetumwa na Mwakalinga, kila mtu anaandika kile anachokijua na anachoamini.

Baadaye ngoja nikatengeneze chai ya bosi.
 
Tunashukuru wananchi ambao tulikutana nao na wengi wakashangaa kuona Mwakalinga mwenyewe kumbe ni kijana, hana umbo kubwa, na hana maringo.

Mijitu mingine bana hebu angalia kituko hiki Mtanzania anamsemea Mwakalinga unategemea impartiality ? Mtanzania leo amekuwa microphone ya Mwakalinga George acheni ujinga bwana kauze sera si kuendeleza chuki
 
may be ndio huyu msela....


SteveD tumwangie data..najua sasa hivi uko page ya 2 kwenye MS word....


MKUU ASANTE KWA HII PICHA, INAKUMBUSHA MENGI YA HUYU JAMAA A.K.A GEORGE BEER, HAPO MJINI READING (UK) NA MANCHESTER, WADAU WENGI WANAMJUA HUYU JAMAA KABLA HAJAENDA SCANDINAVIA COUNTRY NA KUMPATA KIDOSHO .....!!! NA KUMPA MAKARATASI.....Mhhh MIE UDAKU SIPENDI!!!!!, SIO MBAYA WAZUNGU KUMFADHILI LAKINI NA UHAKIKA HIYO KYELA ITAJAA MAKOPO YA BIA ZA STELLA BADALA YA HIZO LAPTOPS, TUJADILI KUHUSU WASIFU WAKE WA KUWA KIONGOZI BORA AMA BORA KIONGOZI, STAY TUNED MORE NEWS TO COME!!!!!
 

Hapana,

Huyu anaishi U**** kwa sasa. Huchukua Wazungu na kupeleka Tanzania kwenda ku-invest. Huyu ndiye hasaa George Mwakalinga. Tunashukuru sana kwa picha na tabia za huyu jamaa, mzee wa Vikopo.
Hawa ndiyo watu wa karibu wa mtu na wetu Tanzania na Kyela.

Wee mwenye picha hapo na jina la George Mwakalinga, tumeshakufahamu sasa habari zako. Wenye data za Mwakalinga hapo U***, tafadali tumwagieni hapa na siku ikifika, tutamfunua mwaaa huyu jamaa ambaye hata kwenye hii makala, ameandika sana kwa kutumia jina la M********.
Sasa naunganisha DOTS kwa nini wakati fulani aliambiwa kuwa anaishi kwa msaada wa mkewe Mzungu na kuwa hubeba wazungu Tanzania eti waende waka-invest, kumbe ni tapeli fulani na Mlevi. Wee Mwakalinga, sasa unaanza kuumbuka kidogokidogo. Siku ikifika tutamuanika mwali.
Next step ni kumchambua Nsesi na huyu Mwafrika.

NB: Kumbukeni hii picha ili kampeni zikianza mlinganishe na ya Mgombea wa Kyela.
 
Last edited:

Umejiandikisha kwa ajili ya Mwakalinga tu!!!

YAAP Mwakalinga yupo juu kweli kumbe
 

Looh! kazi kweli mwaka huu, huyo Mwakalinga wa kwako naona umemtengeneza mwenyewe maana tunayemwongelea sisi hana lolote hata moja katika hayo uliyoweka hapo juu.
 
Topic imepoteza mvuto. Wabeba mabox wote wapo bize na mabox. Vioja vimekwisha
 

Kalengamab,

Mheshimu mungu wako, hii taarifa yako ni ya kupika.

Kuna mambo umechemsha ambayo yananifanya niamini unajifanya unatuunga mkono kumbe lengo lako ni kutuchafua.

Hii habari ya mimi kuondoka umeipata kwa kuulizia ratiba ya Qatar Airline. Kuna watu tuliwaambia tunaondoka na Qatar Airline nahisi mmoja ndio
katoa hii habari upande mwingine na kisha wakachunguza ratiba ya Qatar Airline kwa jana.

Kuna ndege kweli ilikuwa inaondoka jana usiku saa sita Doha kuja Heathrow. Sisi tuliondoka na ndege ya saa nane usiku kuja Gatwick airport. Hapo ndipo ulipochemsha ndugu yangu na bahati njia ya mwongo ni fupi.

Nafikiri najua nani kavujisha hii habari. Shame on you brother! kwa umri wako unatakiwa uwe na busara na sio kuingiza siasa za kijinga kama hizi.
 
Minyakyusa ndivyo ilivyo yote hiyo sababu. Ya unyafu(wali) wa bure kutoka kwa mafisadi jitu jiongo linataka kugombea ubunge kwanza kaongopa hapa jf na mkafunga mjadala leo hii bila soni mnakula matapishi yenu .
 
looh! Kazi kweli mwaka huu, huyo mwakalinga wa kwako naona umemtengeneza mwenyewe maana tunayemwongelea sisi hana lolote hata moja katika hayo uliyoweka hapo juu.

ni yupi unayemwongelea? Na una maana gani ukisema "sisi" labda picha ya huyo jamaa iliwekwa kimakosa!!!!
ama kweli mapenzi ni kama donda!!!
 
KUGOMBEA AU KUTOKUGOMBEA

Tunashukuru wananchi ambao tulikutana nao na wengi wakashangaa kuona Mwakalinga mwenyewe kumbe ni kijana, hana umbo kubwa, na hana maringo.
kumbe umbo dogo ni moja ya sifa za ubunge


"tunataka maendeleo zaidi sio maandamano zaidi." kumbe hii ndio slogan ya mwakalinga

embu tueleze maandamano unamaanisha nini?? au ni kwa ajili wana kyela walivyoandamana kum support DR

embu tueleze maendeleo unamaanisha nini?? au mabilioni binafsi na malaputopu

embu tufafanulie slogan "yako" tafadhali
yako - sisemi kama wewe ni mwakalinga, bali wewe kama mtu wa karibu wa mwakalinga ambaye ulikuwa kwenye msafara wake (haya ni madai yako na sio mimi)
 

Kalengamab,

Kumbe ndiko huku ulikuwa unakuja? Nimekujua mkuu wangu. Namshukuru mungu wangu kwa kuniepusha kukutana na wewe siku ya Jumanne.

Pamoja na kwamba ni mpambe wa Mwakyembe, nilifikiri kwa umri wako umekubali kwamba siasa si uadui lakini kumbe mambo yale ya kwenye mipira ya Yanga na Simba bado unataka kuyatumia kwenye siasa?

Ulipokosea ni pale uliposema umenisindikiza airport. Imebidi nipitie list yangu yote ya kila mtu ambaye nilimwambia naondoka na ndege gani. Kumbe kuniuliza naondoka na ndege gani lengo lilikuwa baadaye utunge habari ukijifanya unaniunga mkono na baadaye kunigeuzia kibao?

Pole sana ndugu yangu na mungu akusamehe sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…