Niliuliza kwanini hakumaliza hapo SUA?
100% Agreed but lazima tujue ukweli ni upi?
He!he!he!he Mkuu huna experience na elimu ya bongo nini? elimu ya bongo wakati mwingine ni ya kukomoana vile wakati mwingine vitendea kazi (mazingira) ya mwanafunzi yanaweza mfanya akadisco vibaya mno....nina mifano hai hapa!
So si ajabu mtu akafeli bongo akienda majuu kafanya wonders mkuu...it has happened before mkuu!
Hilo swala tumeshasema. Soma page mbili au tatu za nyuma. Hatuwezi kuliongelea hapa maana itakuwa kama vile tunataka HURUMA kwa watu. Ukitaka jibu basi nenda SUA. Mtafute Masanilo muungano kupata jibu. Ukishapata leta hapa na uandike ila ninavyokufahamuni, mtauchuna ili msipandishie jamaa chart. Tafuta tafuta kijana, utapata jibu.
Ila mwataka KUJUA wewe na nani? Mie mwenzio nafahamu siku nyingi, heheeeeeeee... Nafahamu hata ka-Inzi hakajasikia juu ya Mwakalinga. Ukitaka jibu ya hilo swali, NITUMIE $300/- na ntakutumia jibu na password ili uone. Ukisoma tu, ninaamni utainamisha kichwa chako na kuona haya mbele ya "Wacongo".
Huu ujumbe umeandikwa na :-
Mwita Maranya, Semilong, LazarusMtindi, Shalom, Malafyake, Nsensi, Mwaihojo, Mwafrika, Jile79, Mponjoli,Jekyll+Hyde, Omega PS Phi na Kalengamab. Mwandishi ni mie Mtani wao Ngosha wa Sikonge. (Hii ni tume ya kufahamu CV ya Mwakalinga).
.