Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Nakumbuka wakati naongea na Mwakalinga alisema haya:

  1. Si kweli kuwa nimekuja Tanzania rasmi kugombea Ubunge, ikiwa hivyo nitawafahamisha watu wazi bila kificho.
  2. Mwakyembe anajaribu kunimaliza hata kabla sijafikiria kupambana naye kwa kutumia gazeti la Majira. {Mwezi Machi aliwahi kunipigia simu akinieleza kuwa Mwakyembe (ambaye pia ni member wa JF) alikuwa akimsumbua sana kwenye PM na alidai kuwa anatumia gazeti la Majira kuendeleza propaganda dhidi yake.}
  3. Hata kama nikigombea Kyela kwani jimbo hilo Mwakyembe ana hati miliki nalo?
Sasa sitashangaa kama kaamua kugombea rasmi, yaelekea ndo maana hata SteveD hajatia neno katika topic hii, atakuwa alipata kanusho toka kwa Mwakalinga na anashtushwa na habari hizi!

Kushitushwa wapi?
alichokanusha Mwakalinga ni kwamba wakati huo hakuwa Kyela bali Arusha na alichokanusha wakati huo ni kwamba kishaanza kampeni huko kelya vijijini .

Na alichofanya saizi ni kuonesha nia yake ya kuutaka kutumia haki yake kikatiba kama atakavyoitumia Mwakyembe.

Kwanini tunashindwa kutofautisha kitu hicho jamani? Yani mfano wewe uko hapo Dar harafu mimi nakuja nauvumi wa kwamba uko London ,nikikupigia simu kukuuliza uko wapi ukanijibu nipo Dar na wala siko London na sitegemei kuja ,harafu baada ya week kadhaa ukapata safari ya kwenda london eti nitashangaa? na kukuuliza kwanini upo london?

Mimi binafsi nitashangaa tu kama ungesema kamwe sitokaa nifike london maishani kwangu ama ndani ya miaka 2,5.
 
Pamoja na maoni mazuri ya Watanzania wenzangu katika thread hii, sijaona maoni ya mwana JF mmoja rafiki yangu anayekwenda kwa jina la MTANZANIA. Ningependa kujua maoni yake kuhusu Mwakalinga kugombea Ubunge mwakani katika jimbo la Kyela.
Mtanzania, pls popote ulipo tunaomba maoni yako, kwa sababu unazijua vema siasa za Kyela na Mbeya kwa ujumla, kama sie wengine.
 
Pamoja na maoni mazuri ya Watanzania wenzangu katika thread hii, sijaona maoni ya mwana JF mmoja rafiki yangu anayekwenda kwa jina la MTANZANIA. Ningependa kujua maoni yake kuhusu Mwakalinga kugombea Ubunge mwakani katika jimbo la Kyela.
Mtanzania, pls popote ulipo tunaomba maoni yako, kwa sababu unazijua vema siasa za Kyela na Mbeya kwa ujumla, kama sie wengine.

Mkuu Idimi Mtanzania yupo busy sana.
 
mkuu msubiri SteveD yuko page ya 8 MS word anaandaa waraka kukujibu...btw mhazini wa tanzanet sidhani kama ana jipya.......

JFkatchillin.gif


Nakumbuka wakati naongea na Mwakalinga alisema haya:

  1. Si kweli kuwa nimekuja Tanzania rasmi kugombea Ubunge, ikiwa hivyo nitawafahamisha watu wazi bila kificho.
  2. Mwakyembe anajaribu kunimaliza hata kabla sijafikiria kupambana naye kwa kutumia gazeti la Majira. {Mwezi Machi aliwahi kunipigia simu akinieleza kuwa Mwakyembe (ambaye pia ni member wa JF) alikuwa akimsumbua sana kwenye PM na alidai kuwa anatumia gazeti la Majira kuendeleza propaganda dhidi yake.}
  3. Hata kama nikigombea Kyela kwani jimbo hilo Mwakyembe ana hati miliki nalo?
Sasa sitashangaa kama kaamua kugombea rasmi, yaelekea ndo maana hata SteveD hajatia neno katika topic hii, atakuwa alipata kanusho toka kwa Mwakalinga na anashtushwa na habari hizi!

538npqh.gif
 
Kushitushwa wapi?
alichokanusha Mwakalinga ni kwamba wakati huo hakuwa Kyela bali Arusha na alichokanusha wakati huo ni kwamba kishaanza kampeni huko kelya vijijini .

Na alichofanya saizi ni kuonesha nia yake ya kuutaka kutumia haki yake kikatiba kama atakavyoitumia Mwakyembe.

Kwanini tunashindwa kutofautisha kitu hicho jamani? Yani mfano wewe uko hapo Dar harafu mimi nakuja nauvumi wa kwamba uko London ,nikikupigia simu kukuuliza uko wapi ukanijibu nipo Dar na wala siko London na sitegemei kuja ,harafu baada ya week kadhaa ukapata safari ya kwenda london eti nitashangaa? na kukuuliza kwanini upo london?

Mimi binafsi nitashangaa tu kama ungesema kamwe sitokaa nifike london maishani kwangu ama ndani ya miaka 2,5.

12537j4.gif
 
Mkuu ni hivi, ukiongea na Mwakalinga anakataa katakata kuwa ana dhamira ya kugombea ubunge na anasema ni kwakuwa ana urafiki na Mwakipesile basi Mwakyembe anakuwa na wasiwasi hivyo kuanza kutafuta kila namna ya kummaliza hata kabla hajatangaza azma yake (kama ipo).

Mkuu, siasa za Mbeya zinafurahisha sana! Hivi wewe hurudi kujipima na wakuu hawa?
eeh basi mwakalL atakuwa msanii sanii tu.....hivi zile habari za majira ina maana wamezibuni? maana keshaanza kusema ati mwakeY analitumia majira kumchafua.....hivi kwani mwakaL msafi?
 
nasubiri comments za mtalaam wa siasa za Kyela, mkuu Mtanzania.
 
Mkuu ni hivi, ukiongea na Mwakalinga anakataa katakata kuwa ana dhamira ya kugombea ubunge na anasema ni kwakuwa ana urafiki na Mwakipesile basi Mwakyembe anakuwa na wasiwasi hivyo kuanza kutafuta kila namna ya kummaliza hata kabla hajatangaza azma yake (kama ipo).

Mkuu, siasa za Mbeya zinafurahisha sana! Hivi wewe hurudi kujipima na wakuu hawa?

Max,heshima yako mkuu!

Kwa siasa za Kyela za sasa kurudi kugombea ubunge ni lzm ukubalike na"wenye wilaya",na hawa "wanyambala wawili kwa kweli watavurugana mno wilayani hapa!

Kuna wazawa Kyela wana nguvu sana ndani ya siasa za pale na ukiwakamata na kuwa upande wako kupata ubunge ni rahisi sana;kwa tafiti zangu rahisi inabidi uungwe mkono atleast na nusu ya watu hawa kama vile,Mzee Arthur Mwaitenda(aliyewahi kuwa DCI wa tz),Jeneral Mwamunyange(mkuu wa majeshi ya tz),Mzee Mwamunyange(aliyekuwa afisa mwandamizi wa jeshi la polisi-TZ),Francis Kifukwe,Mzee Mwanjala,Mzee Mwaikambo,Ally Mwaiposa,Askofu wa KKKT jimbo la Kyela-Ipyana na wengineo !

Mimi sina ubavu hata wa kuongea na wazee hawa waandamizi!
 
Nilitaka nimalize kusoma post zote ndipo nichangie, lakini hii ya Msauzi naona ni vema nikairekebisha kwanza. Mwaisaka sio mpambe wa Mwakyembe, huyo ni mlamba viatu wa Mwakalinga aka Mtanzania!!! Anaeleweka na kila mtu pale Kyela, anamsujudia Mwakalinga baada ya kuahidiwa ajira kwenye radio anayotaka kuanzisha!!!!

Kwani kuwa mwanzilishi wa JF kunatoa free pass ya ubunge TZ


Mwafrika

Hiyo ya mwanzilishi wa JF na Mtunza Fweza imechomwekwa na mwandishi,Israel ni Mwandishi mpambe wa mwakyembe,Watu wa kyela tunajua hivyo..Lakini wapiga kura hawako JF wala majira
 
du nimekubali kuwa una data mzee. Hebu tupe wengine basi ambao hawangombei ili tupime basi kama form zinachukulika

......
umeanza tena matatizo yako? Angalia sana, ukifuata fuata watu utaishia kuumbuka maana data zote tunazo!

....
masanilo,

sitashangaa akibadilika, ila pia anajua kura zake hazitatimia 2010 kwasababu kyela wakikutema mara moja sahau hiyo ya kurudi tena.

Mwaka kwenye politics ni muda mrefu sana, anaweza kuja na visingizio kibao vya kugombea, ndio siasa hizo, wanafikiri sisi wananchi ni wajinga na hatufikiri.
 
Mimi wote Mwakyembe na Mwakalinga najua ni JF members ambao wanatumia Pen names, lakini kwa aliyeenda Kyela na kujionea hali halisi hawezi kusema Mwakyembe kafanya kitu cha ajabu kwa wana Kyela mpaka mawe yaongee.

Juu ya Richmond: Hivi Mwakyembe ndiye aliifumua Richmond? Nadhani nimepoteza memories.

The bottom line ninadhani wale wanaosema mtu kugombea ubunge ni kuwa umefulia na unafukuzia 12m ni kutaka kuwakatisha watanzania wenzetu ambao wanaamua kuchukua hatua za kuona namna ya kulinusuru bunge letu ambalo tumekuwa tukilipigia kelele kuwa limekaa kisanii sana. Heri ziingie sura mpya tuone kama kutakuwa na mabadiliko ya kuleta tija.

Hii tabia ya kukatishana tamaa ndo inasababisha tuendelee kulalamika ati wazee hawaachii ngazi ilhali sisi wenyewe tunakatishana tamaa kwa madai ati tunaweza kubadili system tukiwa nje ya system yenyewe.

Wakuu Next Level, Kinyamana etc, ingieni kilingeni, tutawaunga mkono na mkienda kombo huko bungeni hatutasita kuwakosoa.

Au kutoa upinzani kwa Mwakyembe ndio dhambi? Bahati mbaya/nzuri Mwakalinga anapinga kwa nguvu zake zote kuwa hana mpango na kugombea Kyela na hizi zote ni propaganda za watu, anasema akimaliza vacation yake anarudi UK na family yake na mtamwona JF soon.

Mkulu Maxence, mimi ni mkazi wa kyela na kauli niliyoitoa ni ya kishabiki tu kama kauli za mashabiki wa yanga na simba. Mimi namshabikia Mwakyembe period kwasababu nzuri tu nilizonazo.

Napenda kuchangia katika maendeleo ya nchi yangu kwa namna nyingine na si hiyo ya kuwa kiongozi wa kuchaguliwa.

Nafikiri nimeweka record sawasawa.
 
......


....

Mwakyembe kisha weweseka .? Sasa kama yeye ni figure la taifa na amefanya mambo mengi si asubiri kampeni akawaambie hayo wananchi wa kelya kama wao hawayaoni.

tulichonacho ktk meza sasa ni kuwa Mwakalinga kisha onesha nia ya kuingia ktk kinyang'anyiro cha kupambana na mwakyembe kwa fikra chanya na si kupambana kwa mabavu na fikra hasi.
 
Pamoja na maoni mazuri ya Watanzania wenzangu katika thread hii, sijaona maoni ya mwana JF mmoja rafiki yangu anayekwenda kwa jina la MTANZANIA. Ningependa kujua maoni yake kuhusu Mwakalinga kugombea Ubunge mwakani katika jimbo la Kyela.
Mtanzania, pls popote ulipo tunaomba maoni yako, kwa sababu unazijua vema siasa za Kyela na Mbeya kwa ujumla, kama sie wengine.

Ama ndiye? si unajua mwendo wa nyuma ya keyboard?
 
Wakuu Next Level, Kinyamana etc, ingieni kilingeni, tutawaunga mkono na mkienda kombo huko bungeni hatutasita kuwakosoa.

Ha!ha!ha!ha!ha! mkuu Max siasa za bongo lazima ujipange vizuri sana vinginevyo unaweza fulia weye pamoja na family yako aisee!

Kama nilivyosema awali hii mambo ya Dr. na Mwakalinga pamoja na siasa za Kyela kwa ujumla I like them....zinatoa changamoto na upinzani wa hali ya juu sana! Isipokuwa sipendi hii tabia ya kuchomekea siasa za visasi na visa kibao.....eti kama mmoja kamshinda mwenzie basi hakuna kutoa ushirikiano baada ya uchaguzi...tabia hii inapoteza hata maana ya siasa zenye uishindani tunazosifia huko Kyela. Kinachotakiwa kama mmoja kashinda basi aungwe mkono katika kuleta maendeleo jimboni sio kumwekea zengwe ashindwe kudeliver...hii inawacost wananchi wote!

Ukiangalia kwa haraka mazingira aliyonayo Dr. Kyela mi naweza sema ni vigumu kwa mbunge yeyote akiwa katika mzingira hayo kudeliver kwa kweli, amekuwa na wapinzani karibia kipindi chake chote ubunge so inakuwa vigumu sana kwake kuonyesha impact yake kule! Kwa mtindo huo, hata Mwakalinga akishinda wananchi wa Kyela hawatakaa waone maendeleo coz wale wa upande wa Dr. wanaweza kujoin forces kupinga jitihada zake!

Suala la muhimu ni kuendesha siasa ambazo zinatakuwa na maslahi kwa Kyela na Taifa kwa ujumla!

Mkuu Max don't worry wacha tujipange vizuri.....lakini kwa mimi 2010 ni mapema sana....but nakuhakikishia I am planning for this coming 2015 (earliest) but 2020 MUST!Ngoja mama yetu Makinda amalize muda wake in piece mkuu.....asije ondoka kwa pressure ...ha!ha!ha!
 
1.MWANA JF mWENZETU HIYO NI SIFA YA MSINGI KAMA NYERERE ALIVYOMUUNGA MKONO MTOTO WAKE INGAWA ALIKUWA CHAMA KINGINE.MIE SIO CHADEMA ILA NIKISIKIA KITILA MKUMBO ANAGOMBEA NITAMUUNGA MKONO KWA UJF KWANZA.

2.AMEISHI ULAYA KWA ZAIDI YA MIAKA 18 ANA EXPOSURE KUBWA KAMA ALIVYO RAIS WA LIBERIA ALIYEKAA MUDA MREFU MAREKANI.

3.AMEJIFUNZA DEMOKRASIA KWANI ALIKUWA AKISHIRIKI SIASA ZA ULAYA AMBAKO KWA KIASI KIKUBWA WAMETUZIDI KITU AMBACHO MWAKYEMBE HANA.

4.AMEJADILI MIJADARA MINGI HAPA JF,AMESOMA MIJADALA MINGI HAPA TOFAUTI NA MWAKYEMBE AMBAYE TUME YAKE INAWEZA KWA KIASI KIKUBWA ILICHUKUA MICHANGO YA JF KAMA KAZI YA MWANAKIJIJI KUFUATILIA SUALA LA RICHMOND.ZAIDI YA RICHMOND MWAKYEMBE HAKUNA ALILOFANYA.

5.MWAKALINGA ANA CONNECTION NA TAASISI NYINGI ULAYA HIVYO KUPELEKA MAENDELEO JIMBONI KWAKE HAITAKUWA TATIZO KUBWA.TOFAUTI NA MWAKYEMBE.

6.MWAKALINGA AMEISHI NA MATAIFA MBALI MBALI YAMEONGEZA UWEZO WAKE WA MAARIFA NA UFAHAMU KULIKO MWAKYEMBE AMBAYE MAISHA YAKE YOTE NI KWENYE KOTA ZA UDSM.
Kama ndani ya Kisima Cha Fikra sifa kuu za mgombea kuwa ndio hizi za kusadikika zisizo na mashiko,BASI TANZANIA YENYE NEEMA HAITAWEZEKANA!!!
 
kwa kigezo cha Mwakyembe sio Mwakalinga.
Na kama kigezo cha ubora wa hoja zako ndio kigezo cha washauri wa Mwakalinga basi tofauti ya Mwakalinga na Mwakyembe ni kama kichuguu na mlima kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom