Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

BWT: Haya meneno ya Kanda2 (quoted below) yanatoka wapi?.....i.e Mwakalinga, Mwanzilishi, Mdhamini, Mmiliki, IT expert wa JF ......and lots of bla blas yanatoka wapi sasa!

Kama Robot yupo sahihi (which I believe he is) we Kanda2 unaimong'onyoa sana credibility ya Mwakalinga coz unamsemea uwongo hapa....vinginevyo bishana na Robot!

Mbona hii habari inauchanganya sana.....mara oooh alienda Arusha kutalii mbugani....tena we unakuja na mambo ya kuona mjane Monduli.......?????? what a coincidence?

NL,

Sikutegemea utakuwa mtu wa kununua habari za Kanda2. Maelezo ya Kanda2 anayemaliza na Mwakalinga Oyeeeee!!!!! yanatosha kabisa kujua UPUPU ulioko ndani. Na bado mtu unasoma na kujichanganya humo?

Mbona mie nimeandika kuwa Mwakalinga ndiyo mie na sijakuchanganya?

Juu ya kwenda Monduli/Arusha. Je unafikiri Mwakalinga alipokuwa Arusha aliishia kutembelea mbuga za wanyama tu? Hakula, hakulala, hakununua ticket? Hakuongea na watu? Mbona hapa imeandikwa kuwa alienda hadi Karatu na hakuna mtu aliyelifuatilia hilo? Ila hilo haulioni?

Kama alikuwa na gari (siku hizi yakukodisha mengi tu) si angeliweza kwa siku moja kutembelea sehemu kibao? Kupitia kuiona familia, kwenda mbuga za wanyama, kwenda Karatu nk. What's the big deal.

Kwani wee unapokuwa kwenu kuwatembelea wazee huwa unaishia hapo tu? Si unaanza kupepesa macho vibinti vya majirani? Nasikia kamoja huwa ukifika tu, lazima ukatafute, si ukaowe tu?
 
Keep ur eyes and ears open, time will tell. tell me ur friends and i will tell ur character. do u get that.


Sasa Kinepi_nepi,

Mbona na mimi Mwakalinga ni rafiki yangu?, kwahiyo na mimi ni FISADI?.

Mwakalinga amekuwa nje muda kidogo sasa huo ufisadi kamfanyia nani? Kamuibiaje Mtanzania?

Kawaibia watanzania kwa kuwapa AJIRA ktk Hotel, Supermarket (duka kubwa) au Radio?

Kuchuma nje na kuja kuwekeza nchini ndo UFISADI?.

Jamani mnyonge mnyongeni ila sifa zake mpeni, ni wachache sana waliochumia nje na wakaja kula na sisi walalahoi hapa Tanzania!!

Big up JOJI, na lazima nije Kyela kukusapoti.
 
Sasa Kinepi_nepi,

Mbona na mimi Mwakalinga ni rafiki yangu?, kwahiyo na mimi ni FISADI?.

Mwakalinga amekuwa nje muda kidogo sasa huo ufisadi kamfanyia nani? Kamuibiaje Mtanzania?

Kawaibia watanzania kwa kuwapa AJIRA ktk Hotel, Supermarket (duka kubwa) au Radio?

Kuchuma nje na kuja kuwekeza nchini ndo UFISADI?.

Jamani mnyonge mnyongeni ila sifa zake mpeni, ni wachache sana waliochumia nje na wakaja kula na sisi walalahoi hapa Tanzania!!

Big up JOJI, na lazima nije Kyela kukusapoti.

FP,
Achana na Mbeba Mabox huyo. Kwanza hata hamfahamu Mwakalinga. Jamaa kaondoka Tanzania hata kazi hajafanya. Mali zote kachuma nje na kuleta Tanzania. Leo Kinepi-nepi anakuja na maneno kuwa jamaa ni FISADI.

Kinepi-nepi, unafikiri wee hakutukufahamu? Mtu umechoka na waya mkali. Piga miayo tu hapo na njaa yako. Kitumbua mwakani ndiyo kinaishia.. Boss wenu akirudi kushika chaki, nyie ni waya mkali.

Mtapaka mnavyoweza. Mtamsingizia jamaa mambo kibao ila utake usitake, jamaa mwakani ni mbunge wa Kyela. Una tatizo na hilo? Ukitaka unaweza kuikimbia wilaya, Mkoa, Nchi, bara la Africa na hata Dunia ili uwe mbalimbali na Mwakalinga atapokuwa Mbunge wa Kyela.

Mama Miyaaaaaa!!!!!!! Kinepi-nepi kwa kwaa kwaaaa e-bwana weeee hahahaa haaaa.....
 
kwani fisadi ni kumjua au ni tabia yake. wengi hawamjui Rostam, Chenge , Mgonja, manji, Yona, mramba, Dr. Idrisa, balali, Mwanyika, Lowasa, Hosea, Karamag nk ila hilo halitufanyi tusijue ufisadi wao. Ufisadi ni tabia na matendo pamoja na mwelekeo, mtoto wa nyoka ana matendo ya kinyoka.

Ukiingizwa kwenye siasa na mafisadi unakwenda kuwa fisadi na una-serve mafisadi, tusitetee mtu tuwaache wajitetee wenyewe kwani wako hai.

Kwani wee unawajua? Kama unawajua HONGERA. Wengine twawafahamu. Haya weee unayejua jua wanaume.
Jibu la swali lako la mwanzo: FISADI ni KUMJUA.

Najua wee una jibu la FISADI NI TABIA YAKE.

Haya Maswali mengine bana. Sijui watu wanawaza kilugha wakati wanaandika?
 
Washikaji nipo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere kumsindikiza mwana JF mwenzetu, George Ambwene Mwakalinga, ambaye alikuwa Kyela kufanya vitu vyake vya kisiasa. Anaondoka sasa hivi na ndege ya Shirika la Ndege la Qatar kwenda London kupitia Doha. Ndege inaondoka sasa hivi(yaani saa saba na nusu).
Hivi majuzi jina la Mwakalinga lilitawala vyombo vya habari nchini kwa kuwania kiti cha ubunge cha Kyela kinachoshikiliwa na Mbunge maarufu nchini, Dk. Harrison Mwakyembe. Anatarajiwa kufika Doha jioni na boarding pass yake inasema ataondoka Doha saa sita usiku hadi Heathrow, London ambapo mshikaji ataingia mapema alfajiri kesho.
Mimi nilimpokea Mwakalinga alipoingia nchini wiki mbili zilizopita na nilikuwa miongoni mwa wale waliomsindikiza katika kujinadi kwa viongozi na wananchi wa Kyela. Ni wajibu wangu vilevile kuwaeleza kuwa anaondoka!
Kalengama
 
kalengamab Junior Member
Join Date: Fri May 2009
Posts: 3
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 2 Posts

Haya mkuu tuwekee na picha basi ....!
 
kalengamab
Junior Member
Join Date: Fri May 2009
Posts: 3
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 2 Posts

Maajabu ya Mussa wasalimie Doha waambie watakula paund zako buuuree
 
Washikaji nipo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere kumsindikiza mwana JF mwenzetu, George Ambwene Mwakalinga, ambaye alikuwa Kyela kufanya vitu vyake vya kisiasa. Anaondoka sasa hivi na ndege ya Shirika la Ndege la Qatar kwenda London kupitia Doha. Ndege inaondoka sasa hivi(yaani saa saba na nusu).
Hivi majuzi jina la Mwakalinga lilitawala vyombo vya habari nchini kwa kuwania kiti cha ubunge cha Kyela kinachoshikiliwa na Mbunge maarufu nchini, Dk. Harrison Mwakyembe. Anatarajiwa kufika Doha jioni na boarding pass yake inasema ataondoka Doha saa sita usiku hadi Heathrow, London ambapo mshikaji ataingia mapema alfajiri kesho.
Mimi nilimpokea Mwakalinga alipoingia nchini wiki mbili zilizopita na nilikuwa miongoni mwa wale waliomsindikiza katika kujinadi kwa viongozi na wananchi wa Kyela. Ni wajibu wangu vilevile kuwaeleza kuwa anaondoka!
Kalengama
lol sasa mbona mwanatuchanganya? si alikataa kuwa hakuwa huko kyela kwa ajili ya kuanza kampeni za chini chini? SteveD nafikiri atakuwepo eapoti...steveD say some dude...
 
Kwani wee unawajua? Kama unawajua HONGERA. Wengine twawafahamu. Haya weee unayejua jua wanaume.
Jibu la swali lako la mwanzo: FISADI ni KUMJUA.

Najua wee una jibu la FISADI NI TABIA YAKE.

Haya Maswali mengine bana. Sijui watu wanawaza kilugha wakati wanaandika?

Nimeuliza UFISADI wa Mwakalinga naona jamaa nimewakimbiza.

Leteni jipya.
 
Subiri tu mara utasikia presha imepanda presha imeshuka

Chombo kipi cha habari tuweke wazi
 
Tunashukuru kwa taarifa wanakyela na tukushukuru kwa kuja na kuonyesha dhamira yako ya kugombea ubunge na tunakuombea kila la kheri katika harakati zako hizo.
 
- Haya hayahusu kabisa mkuu, JF huwa tunachambua dataz George, alipokuwa Arusha, Lowassa alikuwa Dodoma bungeni, hilo ninalikataa kwa 100%, DK ana watu wengi makini sana na ninawajua kwa karibu sana hasa wawili anaowamini sana kuliko wengine wote na nimekua kwenye mazungumzo nao sana recently, mmojawapo alifunga hata safari kwenda UK, kukutana uso kwa uso na George na wanajua kila move ya DK, na ya George, lakini hakuna aliyetamka any of this below the belt accusations, na wote wamekuwa impressed sana na George,

- Naona haya ya kumiliki au kutomiliki dataz na ukweli, huwa ni ya kawaida sana hapa JF, wewe umerushiwa mara nyingi sana na sio ajabu wewe kunirushia, lakini siku zote tunasema kwamba pamoja na siasa bado hatuwezi kupoteza utu wetu, tutaendelea kusimamia ukweli tu, kwa sababu DK asingemuondoa Lowassa u-PM, kama sio msaaada wa Muungwana, sasa eti leo Ridhiwani ameenda Kyela kumsaidia George, inahitaji mtu wa hovyo hovyo sana kuamini kwamba Ridhiwani ataenda kumsaidia mtu ambaye hata hamfahamu na wala hajawahi kuzungumza naye hata siku moja, huu ni uongo wa makusudi sana.

- Siku chache sana zilizopita George akiwa Kyela, Mwakipesile, alikuwa akinidadisi kwamba eti George ni nani hasa, leo tayari ameshakuwa mtu wake ana ameshirki naye sana huko Kyela na Mbeya, mkuu ukweli ni kwamba George amesumbuliwa sana na Takukuru na bila hata ya kosa akiwa nyumbani, sasa labda tujiulize hawa walikuwa wanatumwa na nani?

Otherwise, ningekuomba tu mkuu heshima yako hapa JF ni kubwa sana, kulinganisha na hizi below the belt, DK anatakiwa muangalifu sana maana hizi zinaweza kuja kumtokea puani, maana na huko upande wa pili hakuna wajinga na analijua sana hilo. Tutaendelea kusimamia facts na dataz, ingawa hazimilikiwi na anybody hapa JF, ila huwa tunazichambua ipasavyo.

Respect.

FMEs!
Naaam....!
 
Msiwe na wasiwasi,

Mwakalinga ni mie hapa. Kama kuna mtu ana ubavu na aje tuzichape. Kama huna basi nakugambira kufront ya Ru-pabiliki lwa watu - shatapu!!

Niko huru kufanya nilipendalo, so longer sijavunja katiba wala sheria ya UK au Tanzania. Nitaamua lini na wapi niseme nagombea ubunge na si kijitu fulani kianze kunisemea. Nitagawa misaada na kitu chochote kwa wananchi wenye kuhitaji. Wengine wanashangaa mie kugawa Laptop, khaa, Laptop? Unafikiri uwezo wangu uko chini namna hiyo? Mie nitagawa hadi Mbuzi za kukunia NAZI. Eeeee, any problem with this one?
Nitaenda popote pale Tanzania na duniani na kukutana na mtu wa aina yoyote, hata kama ni Yo Yo. Kwani Yo Yo chi Ntu? Kama chi ntu ni ......... tete teteeeteee.

Nawasalimia kutoka kwenye PIPA la QATAR AIR, 10 km from dunia ya MAJUNGU na UFISADI. Tutaonana kesho jioni nikishafika London.

Boss la IT na Telecominications (Mbunge wa Kyela Mtarajiwa)- Ms Eng. Computer Science.
 
lol sasa mbona mwanatuchanganya? si alikataa kuwa hakuwa huko kyela kwa ajili ya kuanza kampeni za chini chini? SteveD nafikiri atakuwepo eapoti...steveD say some dude...

Mkuu, kinachokatazwa ni kufanya kampeni. Tulichokifanya sisi ni kujitambuisha tu kwa wananchi wa Kyela na tumepita kila kata. Kalengama
 
Mkuu, kinachokatazwa ni kufanya kampeni. Tulichokifanya sisi ni kujitambuisha tu kwa wananchi wa Kyela na tumepita kila kata. Kalengama
mbona yeye alikiri wazi kuwa hakuwepo kyela kwa ajili ya huo utambuzi(kampeni ya chini chini)......alafu mkulu wenu msanii sanii eeh? na yale aliosema kwenye gazeti la majira ina waje tena?
 
Subiri tu mara utasikia presha imepanda presha imeshuka

Chombo kipi cha habari tuweke wazi

Pressure ndani ya PIPA la QATAR haipandi wala kushuka. Marubani wake mahiri sana. Pipa linakula kwa sasa 1000km/hrs.
 
Back
Top Bottom