Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yazindua kampeni zake kwa nuksi, hospitali ya wilaya yaungua wakiwa mkutanoni, wazee waitabiria anguko kubwa sana

Aliyesema amefurahi ni yupi ? uliwezaje kuwa Platnum member kwa akili zako duni hivyo ?
Unaposema moto huo ni nuksi kwa kampeini za CCM una maana gani? Inawezekana unahitaji vichwa vingi vya aina yako kutoa kilo moja ya ubongo iwapo hayo ndiyo majibu yako.
 
Uchunguzi ukifanyika inawezekana chama cha vurugu kikawa kimehusika na hii unayoiita nuksi...
 
Nipo kyela aisee hao wazee anao wasemea ametype kwenye keyboard tuu na Kinanasi Ali anyigulile Jumbe Mlagila ndie mwamba wa ukanda huu hakuna wa kumuangusha
 
Kinanasi Amesoma Tanzania mpaka kidato Cha sita na masomo yake ya Elimu ya juu amefanyia nchini ujerumani, huo uongo unao andika mnufaika ni Nani?
 
Kinanasi Amesoma Tanzania mpaka kidato Cha sita na masomo yake ya Elimu ya juu amefanyia nchini ujerumani, huo uongo unao andika mnufaika ni Nani?
Habari ya kusoma na kuandika iliibuliwa kwenye kura zenu za maoni , mbona huko hamkusema alisoma Ujerumani ?
 
Kwani hiyo hospital iliyoungua inawahudumia wana ccm peke yao?
 
Hapo ndio unapoonekana mtu uliyekosa busara unapoanza kutoa lugha zisizofaa kwa mtu usiyemfahamu wala umri wake, jifunze kuwa busara inaonesha taswira ya mtu.
 
Hapo ndio unapoonekana mtu uliyekosa busara unapoanza kutoa lugha zisizofaa kwa mtu usiyemfahamu wala umri wake, jifunze kuwa busara inaonesha taswira ya mtu.
Jf hatulei uozo mkuu , umri wako humu hauna msaada wowote
 
Digrii 4 alafu tulia 3

Hizo digrii zinafaa kuzitundika ukutani; digrii 4 zilikuwa Kyela kwa zaidi ya miaka kumi lakini bado wananchi hawana huduma muhimu!!! Elimu isiyosaidia jamii haina faida yoyote.
 
Hivi mnandoto ya kumuangusha Kinanasi? Tusubiri tuone
CCM imeidhalilisha Kyela kwa miaka yote , wananchi wamechoka mno ! Hospitali inaungua gari ya zima moto inaagizwa Mbeya Mjini ! uliona wapi umasikini kama huu ?
 
Mgombea aliyeletwa na Chadema kyela this tyme hana mvuto wa kumzidi kinanasi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…