Mkuu hakukuwa na wagonjwa ndani??CCM imeidhalilisha Kyela kwa miaka yote , wananchi wamechoka mno ! Hospitali inaungua gari ya zima moto inaagizwa Mbeya Mjini ! uliona wapi umasikini kama huu ?
Wamekimbia na dripu mkononiMkuu hakukuwa na wagonjwa ndani??
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake , basi nenda kanywe naye chai - JK NYEREREMgombea aliyeletwa na Chadema kyela this tyme hana mvuto wa kumzidi kinanasi kabisa.
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake , basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE
Sasa Kinanasi ana mvuto gani ? huyu sisi tunampiga kwa hoja , huyu akishirikiana na Hunter Mwakifuna ndio waliopora soko la halmashauri na kulimilikisha kwa ccm , kumbuka pia kwamba chanzo kikuu cha mapato ya halmashauri ya kyela ni hili soko lililoporwa .Mkuu mtu akiongelea mvuto sio uzuri wa sura acha ushamba malafyale
Sasa Kinanasi ana mvuto gani ? huyu sisi tunampiga kwa hoja , huyu akishirikiana na Hunter Mwakifuna ndio waliopora soko la halmashauri na kulimilikisha kwa ccm , kumbuka pia kwamba chanzo kikuu cha mapato ya halmashauri ya kyela ni hili soko lililoporwa .
Sema tuu CCM wanapenda vigobole pale Kyela kuna mCCM moja anaitwa Gabriel Mwakalinga(Kipija) wa KEIFO very smart but ling'ang'ania kikongwe Harrison sijuwi maana ake nini??Mkuu Ni Habari Nzuri Ila Ina Ushabiki Uliopitiliza...
Kwa Hiyo Huyo "Kinanasi" Aliyemwangusha Msomi Dr.Mwakyembe ana Wiki Moja tu baada ya KUJUA kusoma na Kuandika?!!!
Loooh Unajua Kuna Wakati Hatuchangii Hata Post Za UVCCM wenzangu Kwa kule kujaa "UWEPESI NA USHABIKI KOKO"....
Hayaa Banaa😁😁😁
Samahani sie tuliagiza tukuyu ilo la mbeya jiji mliaagiza CHADEMA?CCM imeidhalilisha Kyela kwa miaka yote , wananchi wamechoka mno ! Hospitali inaungua gari ya zima moto inaagizwa Mbeya Mjini ! uliona wapi umasikini kama huu ?
Samahani Hii unayo zungumzia ni Kyerwa au Kyela?Sasa Kinanasi ana mvuto gani ? huyu sisi tunampiga kwa hoja , huyu akishirikiana na Hunter Mwakifuna ndio waliopora soko la halmashauri na kulimilikisha kwa ccm , kumbuka pia kwamba chanzo kikuu cha mapato ya halmashauri ya kyela ni hili soko lililoporwa .
sasa wewe ndio mhasibu wa halmashauri ?Samahani Hii unayo zungumzia ni Kyerwa au Kyela?
Chanzo kikuu Cha mapato huku Kyela ni Kokoa soko kuu si kitu kabisa
Unataka ujue Mimi nani uniteke?sasa wewe ndio mhasibu wa halmashauri ?
Wilaya na jimbo la Kyela lililokuwa
chini ya Mwakyembe zaidi ya miaka 15 halina hata gari ya zimamoto.
kweli CCM Haina maendeleo.
unaumia roho !Mgombea ubunge wa CDM anaishi kwenye hoteri ya kifahari hapa mjini ya king Solomon, kwa siku zote za kampeni hata firisika?
Akichaguliwa tutaishi nae kitaa kweli?
Kwanini asije ishi na sisi Masebe huku, Mpunguti, kabanga, lupembe, ilondo, lugombo ngonga huku maana tunampenda
Amen......, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu,