Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yazindua kampeni zake kwa nuksi, hospitali ya wilaya yaungua wakiwa mkutanoni, wazee waitabiria anguko kubwa sana

Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yazindua kampeni zake kwa nuksi, hospitali ya wilaya yaungua wakiwa mkutanoni, wazee waitabiria anguko kubwa sana

Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6 iliyopita alikuwa hajui kusoma wala kuandika angetambulishwa rasmi akiwa pamoja na wagombea udiwani wa kata zote.

Hata hivyo, wakiwa katikati ya uzinduzi wao zikaletwa habari za kuungua moto kwa hospitali ya Wilaya hiyo, ambapo baadhi ya wagonjwa walikimbia wakiwa na dripu zao mikononi huku wakiwa wamevaa mashuka ya hospitali, jambo hili halijashangaza sana maana ni wazi kwamba ajali haina kinga, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu, wanaamini kwamba safari ya CCM imeanza kwa mguu wa kushoto kitu ambacho si ishara nzuri.

Sisi wengine tunayachukulia kwa umakini mkubwa uliojaa tahadhari sana maono ya Wazee, maana iko wazi kwamba Wazee ni hazina na wameona mengi sana.
Kinanasi amepigwa kipapai
 
Wilaya na jimbo la Kyela lililokuwa
chini ya Mwakyembe zaidi ya miaka 15 halina hata gari ya zimamoto.

kweli CCM Haina maendeleo.

Maendeleo hayana chama.... Usichague upinzani hatutoleta maendeleo mkichagua upinzani... Alisikika kiongozi mmoja akiongea..

Ukweli ht ktk hayo majimbo ya CCM maendeleo hakuna.. CCM hawana jipya..
 
Hizo figisu figisu huko Kyela zinafanywa na huyo aliyepigwa spana na madigri yake manne!!! Je alikuwepo wakati kampeni inazinduliwa? Kama hakuwepo vyombo vya dola vimfuatilie wajue alikuwa wapi yeye au wapambe wake wakati hospitali inaungua!!! Ni mnafiki hamtakii mema "KINANASI"!!

CCM Hali sio shwari wajumbe bado Wana hasira kwa kuchaguliwa Wagombea kinyume na maamuzi yao... Na Wagombea walioshindwa kihalali na wale walikatwa kwa figisu nao hasira zimejaa moyoni...
 
Fanya uchunguzi ujiridhishe mwenyewe , inasemakana hata cheti cha darasa la 7 hana , kingine unachopaswa kujua ni kwamba Mwakyembe haitwi msomi tu , bali anaitwa msomi mwenye digrii 4
Digrii 4 alafu tulia 3
 
Chama cha Mapinduzi ni wazi kuwa kimejawa ama na ushirikina uliopitiliza au ni dharau kwa Wapiga kura. Jimboni Karatu kuna mwingine aitwae "Awakii" naye vivyo hivyo inasemekana hajui kusoma wala kuandika. Cha ajabu form yake eti kujua kujaza vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6 iliyopita alikuwa hajui kusoma wala kuandika angetambulishwa rasmi akiwa pamoja na wagombea udiwani wa kata zote.

Hata hivyo, wakiwa katikati ya uzinduzi wao zikaletwa habari za kuungua moto kwa hospitali ya Wilaya hiyo, ambapo baadhi ya wagonjwa walikimbia wakiwa na dripu zao mikononi huku wakiwa wamevaa mashuka ya hospitali, jambo hili halijashangaza sana maana ni wazi kwamba ajali haina kinga, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu, wanaamini kwamba safari ya CCM imeanza kwa mguu wa kushoto kitu ambacho si ishara nzuri.

Sisi wengine tunayachukulia kwa umakini mkubwa uliojaa tahadhari sana maono ya Wazee, maana iko wazi kwamba Wazee ni hazina na wameona mengi sana.
Mmeichoma moto nyie wahuni
 
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6 iliyopita alikuwa hajui kusoma wala kuandika angetambulishwa rasmi akiwa pamoja na wagombea udiwani wa kata zote.

Hata hivyo, wakiwa katikati ya uzinduzi wao zikaletwa habari za kuungua moto kwa hospitali ya Wilaya hiyo, ambapo baadhi ya wagonjwa walikimbia wakiwa na dripu zao mikononi huku wakiwa wamevaa mashuka ya hospitali, jambo hili halijashangaza sana maana ni wazi kwamba ajali haina kinga, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu, wanaamini kwamba safari ya CCM imeanza kwa mguu wa kushoto kitu ambacho si ishara nzuri.

Sisi wengine tunayachukulia kwa umakini mkubwa uliojaa tahadhari sana maono ya Wazee, maana iko wazi kwamba Wazee ni hazina na wameona mengi sana.
Hivi mgombea ubunge wa Kyela Chadema ni nani ?
 
Mkuu Ni Habari Nzuri Ila Ina Ushabiki Uliopitiliza...

Kwa Hiyo Huyo "Kinanasi" Aliyemwangusha Msomi Dr.Mwakyembe ana Wiki Moja tu baada ya KUJUA kusoma na Kuandika?!!!

Loooh Unajua Kuna Wakati Hatuchangii Hata Post Za UVCCM wenzangu Kwa kule kujaa "UWEPESI NA USHABIKI KOKO"....

Hayaa Banaa😁😁😁
😂😂😂
 
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6 iliyopita alikuwa hajui kusoma wala kuandika angetambulishwa rasmi akiwa pamoja na wagombea udiwani wa kata zote.

Hata hivyo, wakiwa katikati ya uzinduzi wao zikaletwa habari za kuungua moto kwa hospitali ya Wilaya hiyo, ambapo baadhi ya wagonjwa walikimbia wakiwa na dripu zao mikononi huku wakiwa wamevaa mashuka ya hospitali, jambo hili halijashangaza sana maana ni wazi kwamba ajali haina kinga, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu, wanaamini kwamba safari ya CCM imeanza kwa mguu wa kushoto kitu ambacho si ishara nzuri.

Sisi wengine tunayachukulia kwa umakini mkubwa uliojaa tahadhari sana maono ya Wazee, maana iko wazi kwamba Wazee ni hazina na wameona mengi sana.
Moto kuunguza hospitali ni ajali ambayo inaathiri sana wagonjwa na wanachi ambao hupata huduma hospitalini hapo; nashindwa kuelewa mtu mwenye akili timamu kufurahia tukio hilo na kulifanya la kisisa. Ni kama CHADEMNA inafurahia sana hospitali zetu kuungua tubaki hatuna hospitali ili tuanze zile trip za kwenda India tena
 
Moto kuunguza hospitali ni ajali ambayo inaathiri sana wagonjwa na wanachi ambao hupata huduma hospitalini hapo; nashindwa kuelewa mtu mwenye akili timamu kufurahia tukio hilo na kulifanya la kisisa. Ni kama CHADEMNA inafurahia sana hospitali zetu kuungua tubaki hatuna hospitali ili tuanze zile trip za kwenda India tena
Aliyesema amefurahi ni yupi ? uliwezaje kuwa Platnum member kwa akili zako duni hivyo ?
 
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6 iliyopita alikuwa hajui kusoma wala kuandika angetambulishwa rasmi akiwa pamoja na wagombea udiwani wa kata zote.

Hata hivyo, wakiwa katikati ya uzinduzi wao zikaletwa habari za kuungua moto kwa hospitali ya Wilaya hiyo, ambapo baadhi ya wagonjwa walikimbia wakiwa na dripu zao mikononi huku wakiwa wamevaa mashuka ya hospitali, jambo hili halijashangaza sana maana ni wazi kwamba ajali haina kinga, lakini wazee wengi wa Kyela wanatafsiri hali hii kama Mkosi mkubwa kwa chama hicho na wengi wamekitabiria kuangukia pua kwenye uchaguzi huu, wanaamini kwamba safari ya CCM imeanza kwa mguu wa kushoto kitu ambacho si ishara nzuri.

Sisi wengine tunayachukulia kwa umakini mkubwa uliojaa tahadhari sana maono ya Wazee, maana iko wazi kwamba Wazee ni hazina na wameona mengi sana.
Ccm INA gundu gani?



CCM ina gundu gani?
 
Back
Top Bottom