Mkuu yale yale ya kujifanya wanijua! Sawa natokea Mwanza, unajua kama Mzanzibar wangu ana asili na Kyela? Ugali ni chakula cha wanaume tena wa ulezi changanya na Muhogo mboga ikiwa rasta sijui kama wazijua! Nsansa na vitwilo
.Mkuu yale yale ya kujifanya wanijua! Sawa natokea Mwanza, unajua kama Mzanzibar wangu ana asili na Kyela? Ugali ni chakula cha wanaume tena wa ulezi changanya na Muhogo mboga ikiwa rasta sijui kama wazijua! Nsansa na vitwilo
.
Masanilo.
Mimi nimekuelewa sana Mkuu wangu.
Point yangu awali ilikuwa, tatizo la kadi feki,ambalo linaweza kumwalibia mwakyembe.Na nikalinganisha hilo na rushwa.Sasa wewe umeongelea watu kuondoka kwenye mkutano mapema,wakati mimi nilikuwa ninaongelea rushwa na uwezekano wa mwakyembe jina lake kutorudi..
Sasa wewe ndiyo haujanielewa.Mimi sijaongelea kampeni zilikwendaje.nimeongelea rushwa.
.
na ugali wa udaga mbona umesahau?
Masa,
SI unawajua zao hao, wanamjua kila member wa JF (kwenye ndoto zao) na anakotokea.
Ha ha ha ha
.Huwa wananiacha hoi sana! Ile jeshi la ID nadhani Maxence amelidhibiti Mzee AS amekula kobisi
Ngoja nilazimishe kukuelewa
Hii ndugu yangu nje ya ulingo vipi laputopu utairudisha ama mwendo mdundo?
Mwafrika, kuwa macho sana na neno KUJUA. Kitabu cha Mwanzo kwenye Biblia wanaandika "..... Adamu AKAMJUA mkewe Eva akamzaa mtoto wa kwanza akamwita Mwakyembe, mtoto Mwizi wa Kura, AKAMJUA TENA akamzaa Mwakalinga........"
Mwakyembe akamuonea wivu nduguye Mwakalinga kwa mawazo yake na akaamua kutumia TASK FORCE na Kadi za wizi kumuangusha nduguye. Mwakalinga alipolalamika, akaja Malaika Makamba akasema "kadi zote zitahesabiwa na mwenye malalamiko ayapeleke juu...." Mwakalinga akaandika Malalamiko na kusubiri uamuzi wa mwisho huku akijiandaa kubeba Box za British Telecomunications.
Tumia neno -KUFAHAMU-.
hizo laptop mnazijua wenyewe hukohuko.Kama na wewe unakuwa na majungu,basi endelea.
Na wapongeza sana wanakyela.Kwa kuipenda sana ccm.Wapiga kura 20,000 si mchezo. Na nasikia wwengine walizuiwa.mhh good combination
Huwa wananiacha hoi sana! Lile jeshi la ID nadhani Maxence amelidhibiti Mzee AS amekula kobisi
Haya mkuu, nitaacha mambo ya kujua watu ... wasijepata mimba bureee?
Hon Katabazi
You can put as much lipstick on a pig as you like, but it still Mwakyembe knows how to deal with Fisadis. Welcome back, again.
Hahahaaaa, umenikumbusha miaka ya 80 pale Taboja Mjini shule ya Secondary Uyui. Alikupo Mhindi mmoja kama HM wa shule. Msichana akipata mimba basi anamwita na kuanza kumwuuliza bibie "........ amekumimba-mimba je?"
Hapo ndiyo itakuwa kasheshe, dume kuulizwa "wamelimimbamimbaje?"
Swala la kadi lilikuwa na UTATA hadi mwisho. Anyway, ngoja tuliache.
NitaMPINGA waziwazi Mwakalinga kama atapendekewa na CC au NEC. Labda hiyo iende kwa KUMUONDOA na KUMSHITAKI Mwakyembe kwa wizi wa KADI. Vinginevyo uongozi wake hautakuwa tofauti na Mwakyembe ambaye aliingia kwa wizi na kufungia wajumbe kwa vitisho kwenye hoteli na gharama zote kulipwa na Mwanjala aka Mpwa.
Kuna binti mdogo alishawahi kupelekwa mahakamani kama shahidi. Mama yake akamwambia aseme kila kitu jinsi baba yake alivyokuwa akimpiga. Binti akasema naam, atasema.
Kufika Mahakamani binti kweli akasema:
"......... baba huwa anampiga makofi mama, mateke na ngumi. Mama analia baba anampiga tu. Na siku nyingine hata usiku, baba anamlalia mama na kuanza kumpiga na kiuno. Mama analia, lakini baba anampiga tu.........."
Hapo kwenye Bluu, kunaweza kuwa tatizo kubwa sana kwa Mwakyembe. Nina wasiwasi anaweza kuwa kama yule mama na hizo kadi zikawa binti. Inaonekana wazi kabisa kuwa Mwakyembe angeliweza kushinda bila kadi FEKI. Sasa kwa nini alienda kuzoa hiyo mikadi kama alikuwa na uhakika wa kushinda? Na kibaya zaidi ni kuwa inaonekana waliiba bila ya kukubaliana waibe kiasi gani.
Kijana wangu mmoja alishindwa uongozi kwa sababu hiyohiyo akiwa secondary. Alikuwa akipendwa sana na wapambe walitaka ashinde kwa nguvu. Wakampigia kura mara tatutatu na walipokuja kuheseabu kura, kura zikawa zaidi ya idadi ya Wanafunzi na Waalimu na familia zao.
Wanachama 20,000 Kyela wamepiga kura, teteteteee hii inaweza kuwa ile story ya ".... baba anampiga mama kitandani na kiuno."
Sawa watani zangu Wanyakyusa. Kama kuna mtu nilimtibua katika mijadala ya Mwakalinga, Mwakyembe na Kyela basi anisamehe. Kama kuna mtu nilimshambulia humu basi afahamu kuwa nilimuweka gunia moja la Wanyakyusa. Kama wee si Mnyakyusa na nimekupitia na utani ulio karibu na matusi, tusameheane. Ila kama wee ni Mnyakyusa, hihiihiiiiiii Msula eve!!! hahahahahahaaaa Mnyamwezi najikata.
Bye bye.
Mwafrika,
Gia mliotumia kushinda ni kubwa sana. Yaani kura 17,000???? Mhhh Nyie wakali. Naona Kyela inaongoza kwa kuwa na CCM wengi kuzidi hata Dar es Salaam. Nina imani hata wewe moyoni unafahamu kabisa KALUFUNDI Kamechezwa.
Hapa nipo nimejichimbia saafi kabisa nikijiandaa kuanza kampeni kwa ajili ya Dr. Slaa. Akitangaza kipenga basi nitaenda ARDHINI. Uchaguzi haufanyiki JF mkuu. Malecela alisema "ushindi unapatikana ardhini" na siyo angani au kwenye MITANDAO. Hivyo, nikifungiwa kwa kumwaga mboga, haitakuwa hasara sana. Kifungo hicho ntakiomba mwenyewe kabisa. IP BAN FOR LIFE.
.
Mbona uko kyela mko wengi sana, sasa kwani msigawe jimbo?.
Let say wana ccm mliopiga kura ni 20,000 na kata ziko 23.
Mwakyembe kwa sababu ni mkubwa,anachukua kata 13 na wanachama wake 11,000 na Mwakalinga kwasababu ni mdogo,yeye anabakiwa na wanachama 9,000 na kata zake 10.Hapo mtakuwa ummepunguza ugomvi huu.Sidhani kama kundi la mwakalinga, litaendelea kuliheshimu kundi la mwakyembe kwa jinsi ninavyoona hapa.
Kama wasomi kama nyie baado mnamshambulia mwakalinga kwa kushindwa kwake,je yule ambaye hakwenda darasani?
Mnafikiri haya makundi yenu mtayamaliza kweli?
Mkuu!!katika uchaguzi wa 2005, wananchi 63, 939 walipiga kura katika Jimbo la Kyela, hivyo kuwepo na wanachama wa CCM 17,000 it's not a big deal ukizingatia kuwa maeneo ya vijijini asilimia kubwa ya wananchi ni wanachama wa CCM.
Na hii sio Kyela tu, majimbo mengi ya Vijijini yana wapiga kura zaidi ya hao wa Kyela, ila Kyela imetokea tu kuwa Mgombea aliyepigiwa kura kwa wingi ni mmoja tu.
Check majimbo haya...
Katika jimbo la Arumeru Magharibi, Goodluck Joseph ole Medeye aliibuka mshindi dhidi ya wagombea wenzake wanane katika kinyang'anyiro hicho, kwa mujibu wa mkurugenzi wa uchaguzi huo, Lightness Mweteni. Ole Medeye alipata kura 7,481, Loy Thomas Ole Sabaya (6,715) na aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Elisa David Mollel alimbulia kura 2,603.
JUMLA: Atleast 16, 799
Jimbo la Arumeru Mashariki mtetezi wa nafasi hiyo, Jeremiah Sumari ndiye anayeongoza kwa kura 11,377, akifuatiwa na Wiliam Sarakikya (1,371), Elirehema Kaaya (1,349) na Anthony Amos (1,026).
JUMLA: 15,123
Manyara Mbunge anayemaliza muda wake jimboni Mbulu Philip Marmo ameibuka mshindi baada ya kupata kura 20,927 na akimbwaga katibu tawala wa Wilaya ya Simanjiro, Michael Lowry (15,446).
JUMLA: 36,373
Jimbo la Hanang Dk Mary Nagu ameshinda kwa kishindo kwa kupata kura 19,700 dhidi ya Rose Kamili mke wa Dk Wilbroad Slaa aliyepata kura 5,430.
JUMLA: 25,130
Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amepata ridhaa ya wanachama kugombea tena ubunge wa Simanjiro baada ya kuzoa kura 18,070 wakati James Ole Millya aliambulia kura 4,907, kwa mujibu wa katibu wa CCM mkoani Manyara, Avelin Mushi.
JUMLA: Atleast 22,977
Tanga Jimbo la Handeni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (Taifa), Dk Abdallah Kigoda ameibuka kidedea baada ya kupata jumla ya kura 11,227, wakati Mohamed Mhita akishika nafasi ya pili kwa kuambulia kura 4,318, kwa mujibu wa mkurugenzi wa uchaguzi huo, David Mkude.
JUMLA: Atleast 15,545
Jimbo la Mkinga Dunstan Kitandula aliibuka mshindi kwa kupata kura 10,867 na kumbwaga Naibu Wazir wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwantumu Mahiza (9,114).
JUMLA: Atleast 19,981
Source: Vigogo wengi CCM watoswa ubunge