Elections 2010 Kyela elections!

Elections 2010 Kyela elections!

Status
Not open for further replies.
Kuhusu wimbo huo, nitatafuta hiyo thread niusikilize kwa makini. Tatzio kubwa kwetu tuliokaa sana nje ya nchi ni kule kushindwa kupambanua kinyamwezi na kisumbwa, kwa hiyo ukisikilza katika upande wa kinyamwezi tu bila kuchanganya kisumbwa kidogo unaweza kupotea. Ukiishi sana Tabora unakuwa huoni tofauti yoyote baina ya lugha hizo lakini kama umeshakaa nje sana, unaweza kupotea.
Ikuluye Kichuguu, nimekupata.

Huu wimbo ulinipa shida sana. Nilisikiliza pamoja na nyingine mwanzo sikuelewa na niliposikiliza mara ya tatu nikaanza kuelewa baadhi ya maneno. Jana nimempigia simu kaka yangu huko Ushirombo na nikaona basi walau nimuulize tu. Nikampigia kipande na akacheka sana. Akaniambia siwezi kuelewa maneno yote. Inawezekana kuwa hawa waimbaji wanachanganya na Kisumbwa ila ukweli ni kuwa hawa jamaa ni WASWEZI. Sikumbuki kwa sasa tofauti ya Maswezi na Mabisa ila kama sikosei Mabisa wanacheza wakiwa wamekaa na ku-move kwa kutumia makalio na utotoni nilikuwa naiita Sikinde (ngoma ya Ukae). Waswezi wao wanacheza kawaida wakiwa wamesimama.
Nakumbuka pia walikuwepo wengine wakiwa na Majini (hawa mara nyingi ni watu wanaotibu) na pia walikuwepo wengine wanaoamini Pepo liitwalo MIGABO (Migavo). Hawa sikumbuki vizuri walikuwa wakicheza vipi ila kwa Tabora walikuwa wengi sana.
Wakati mwingine walikuwa wakibadili badili utafikiri KKKT . Usiku mmoja watapiga ngoma wanaweza kupiga ngoma zote yaani wakapiga za Waswezi, Mabisa na Migabo.
Mtu maarufu sana Tabora kwa hizo ngoma za Maswezi ingawa zaidi alikuwa akijiita wa Migabo, alikuwa ni Mwana Lwelwe (Rwerwe). alikuwa na nyimbo/wimbo wake umerekodiwa RTD akiimba "aluyu Lwelwe wa Migavo, ........." Huyu nilikuja kupata habari kuwa alikuwa akiishi Itetemya/Kipalapala Tabora. Na mwaka juzi nikaja kuambiwa kuwa alikuwa akitoka familia ya Chief Fundikira. Imenipa sana hamu ya kwenda kuhiji kwenye makuburi ya mababu zetu pale Itetemya na kuangalia/kuambiwa Historia yetu.

Samahani Wanyakyusa kwa kuiteka hii habari. Ila naona ndiyo imeshaisha. Kichuguu, nakuwekea tena wimbo huu hapa. Nyingine ntakuwekeeeni Link ili mzivute kama mtataka. Wanyakyusa na nyie ntawawekea, msiwe na wasiwasi.

YouTube - ‪Nyamwezi-Uwi, mamsanga makumbulage wagela mnyabo‬‎
 
Nyambala,
ngazi ya kwanza umeisha,sasa wako phase 2-ahaaaaaaaaaha.
Kwa habari za uzushi sasa watu wanagombea nafasi ya 2 maana inasemekana ya mungu mengi!:lying:
Hivi huko Kyela uchaguzi haujaisha tu????????????
 
We mshamba wa Kinyemwezi, shule yako imefanyakazi, hongera sana. Sasa nakuletea distribution ya matokeo uone masifuri ya nduguyo mwakalinga!! Shule ya mnyamezi tamu kuliko ya huyo mtu wako wa Katumbasongwe, mwambie aachane na kina afande samweli!
 

Attachments

We mshamba wa Kinyemwezi, shule yako imefanyakazi, hongera sana. Sasa nakuletea distribution ya matokeo uone masifuri ya nduguyo mwakalinga!! Shule ya mnyamezi tamu kuliko ya huyo mtu wako wa Katumbasongwe, mwambie aachane na kina afande samweli!

Ha ha haha,

Yaani Mwakalinga hakushinda hata kata moja, uuuuuuuuuwwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiii
 
Nyambala,
ngazi ya kwanza umeisha,sasa wako phase 2-ahaaaaaaaaaha.
Kwa habari za uzushi sasa watu wanagombea nafasi ya 2 maana inasemekana ya mungu mengi!:lying:

Katabazi nawe bana,

Kwanza hii thread inaboa kama Afande Samweli hayuko hapa kuendeleza matusi.

Afande Samweli ..... where you at?

Njoo hapa bana tuendeleze mambo.... ha ha hah a
 
We mshamba wa Kinyemwezi, shule yako imefanyakazi, hongera sana. Sasa nakuletea distribution ya matokeo uone masifuri ya nduguyo mwakalinga!! Shule ya mnyamezi tamu kuliko ya huyo mtu wako wa Katumbasongwe, mwambie aachane na kina afande samwaeli!
.

Nakumbuka maneno ya Judith Wambura,Kuwa kusoma ni kitu kingine na kuelimika ni kitu kingine.
Huyu jamaa nafikiri hajaelimika na watu kama hawa ni hatari kwa kizazi kijacho.Kwa madudu haya anayotuletea hapa,sidhani kama lile kundi la mwakalinga litakuja kuliheshimu tena kundi la mwakyembe. yatarudi yale yale ya 2005,ambayo tuliamini kuwa uchaguzi haukuisha.

Sijajua huyu bwana anawashwa na nini na hali ameshinda?.Ni ujinga au ulimbukeni?.Anatokwa mpaka na makamasi kungangana kuattach.shame.

Kyela yenu haitenjengwa na mistari yenu ndani ya jf.

Watu wa mwakalinga wameingia mitini ,pengine ,ikiwa ni dalili ya kusema wamekubali matokeo na pengine sasa waunganishe makundi yao na kuwa kyela moja. kitendo chako cha kundelea kuandika upuuzi ni kuonyesha kuwa baado vita vinaendelea.

Jaribuni kubadilika na kuelewa kuwa nyuma tuna wadogo zetu na watoto wetu ambao ndiyo wataathirika sana na ujinga kama huu wa huyu bwana.

Vita na ushabiki ni wakati wa mapambano tu na yanapokuwa yamekwisha,basi ndiyo mwisho wa ushabiki kama huu wa kipuuzi.Shame on you nsesi
 
Pweza Paul kapata mpinzani wake kwa sasa Tanzania.

Pweza huyu, anaaminika sana na watu kama Mwafrika, Nsensi na wengine wengi ambao kwa hali walivyo usingelitegemea wawe wanamwamini Pweza huyu.

Pweza huyu alishawahi kukosea Mechi, pale alipoona Mwakalinga akiondoka Dar na akafikiri anaenda Kyela kuanza kampeni. Kumbe Mwakalinga ukweli alikuwa mbugani kuangalia Wanyama na familia yake. Cha ajabu, kundi zima la watu wanaomwamini leo kwa utabiri wake huo wa sasa na kusahau wa zamani, wakazusha habari kuwa Mwakalinga alikuwa Monduli kuonana na Lowassa na wakati huo ukweli ni kuwa Lowassa alikuwa DODOMA. katika watu hao, mmoja anatumia KARAI siku zote kujua Lowassa yuko wapi. Alifahamu kuwa Lowassa yuko DODOMA, ila kwa makusudi kabisa, Mtu huyu akaungana na kundi zima la ROHO KOROSHO kwa mwana JF mwenzao kupigilia msumari wa uongo kwenye jeneza lililoanza kumzamisha Mwakalinga.
Kipindi hicho walisahau kabisa PWEZA wao alisema nini. Ila sasa hivi, kila mtu kaweka picha ya Pweza huyo kitandani kwake ili kabla hajalala, basi AMCHALIE huyu Pweza Malafyale ambaye wao wanasema "anasema kweli daima na ukweli kwake Mwiko.

Yaani job true true kwa saaana.
attachment.php



Ahh, KUMBEKENI KUJIANDIKISHA NA KUMPIGIA KURA DR. SLAA
 

Attachments

  • octopus_back.jpg
    octopus_back.jpg
    35.6 KB · Views: 92
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom