Sio wote. Wengine huwa wanabakia na ndude na wanaitumia effectively wakiwa faragha. Mwanaume anayedate au kuvutiwa na transgender ni bisexual by default.Hivi kwani transgender hawanaga k? sio kwamba huwa wanafanyiwa surgery na kuwekewa k?
Nawaombea msamaha wote waliokubeza, nimeifatilia hiyo habari ni kweli Ines sio Girlfriend wa Mbappe isipokua mwanamke aliyeonekana nae kwenye boti watu wakamfananisha na Ines lakini ukiangalia miili yao na sura ni tofauti sababu Ines ni mwembamba sana na ana maziwa madogo na huyo mwingine maziwa yake makubwa na anatunyama angalau,Kwa hiyo mimi ndio nimeandika hiyo Habari
Halafu ntakuaje wa upinde wakati napinga kwa kumkandia
Sasa kujibu kuwa ni uongo linanifanyaje niwe upande huo?
Inawezekana wewe una tabia hiyo ila unajichanganya na wanaume
Hebu nipe sababu za wewe kuandika ujinga huo kwangu
Usiwe kijana wa kukurupuka bila kusoma maudhui yenyewe
Acha tuwaelekeze tu maana tukiwaacha watazidi kupotosha na wengine dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear unajipa kazi kuwa elewesha hawa, achana nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna. Ile sehemu ya kiume inachongwa kuna vitu vina ondolewa kuna baadhi vinabakia ndipo inatokea pussy.wataweka Cha marehemu au Cha plastic?? wazungu ni vichaa
Kama anapakuliwa mwanamke wa kawaida itashindikana kwa transgender?!Ko unataka kuniambia transgender wanapakuliwa nyuma?
Acha wivu, dogo anapasua spika bila stressNaanza kupata wasiwasi na urafiki wa hawa jamaaView attachment 2463498
Hamna mkuu, hakuna kitu kinachochomekwa ni sehemu za siri za kiume zinachongwa na kuchambuliwa. Kuna mishipa inatumika kuunda vaginal areas na kuna sehemu ya nyama za uume zinaondolewa. Inatokea K ila haiwi na mwisho eneo la kizazi.Wanakua na papuchi ila inakua Ni ya dukani, sio orijino.
daah sikua najua hii kitu kazi kweli kweli.. najiuliza hii ya dukani inafanya asikie utamu kweli.
Kibailojia unakuwa unampiga mashine mwanaume mwenzako. We mademu wote wakali waliopo kwenye date pool uanze kuvutana na mwanaume aliyebadili jinsia.Sasa kama wanakua na papuchi shida ikwapi? Mbape ana Kosa gani? Mi nikajua wanafukuliwa tope, kumbe ni papuchi sa shida ikwapi hapo?
Wao ndo wanawala wanaume ma bwabwa?Asilimia kubwa ya wanawake wanasapoti ushoga
Sasa mtu si anakuwa anajulikana. Mfano wewe utake kuoa mwanamke hivi inawezekana kweli usijue personal details zake kama alishawahi kuwa na nani, alishatoa ujauzito, alishafanya scandals ipi na ipi.Sasa kama sio wote mnawezaje kumjaji au kumlaum mbape, mlijuaje kama anamla mwenye papuchi au asiye nayo? Au alishawaonesha mkashuhudia Kwa macho yenu kwamba anayeliwa Hana papuchi?
Na wanashika mimba vizuri tu kama wanawake wengine labda watoe kizazi.Kitu adhimu hiyo mkuu, mwenye uwezo wa kuweka utelezi ni muumba pekee.
Hata madem wakijibadili huwa hawawekewi dushe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah umeruka nae kidiplomasia yaani.Wewe jamaa kumkubali kwako huyo Mbape kunakufanya uhalalishe jamaa kumla dume mwenzie kisa hujahalalisha kua ana mbunye.
Kwahiyo wewe unaweza kulala na choko yoyote na watu wakikutilia mashaka useme mmethibitishaje kua hana mbunye.??
Chunga sana huu utetezi wako kwa Mbape, jf hii ina washenzi sana, pm yako itajaa sio mda.
hahahahahapm yako itajaa sio mda
Hakuna gender transformation ya female to male iliyofanikiwa kuweka penis. Kuna ujinga ujinga huwa wanafanya wa kukata nyama za upaja na mikono na kutengeneza likitu la ajabu kama soseji ambalo huwa wanalishonea katika sehemu za siri za mwanamke ili kuweka muonekano wa uume but huwa hauna kazi zaidi ya kupitisha mkojo.Yes wanawekewa k au penis wakitaka kutokana na maelezo hapo chini inaonyesha inawezekana japo k inakuwa kavu Hadi lubricant ihusike
"Neo-vagina and neo-penis
You will get a vagina, a penis or a mini penis, also called a micro-penis. These are called neo-vagina or neo-penis. ‘Neo’ means new. A neo-vagina or neo-penis looks almost the same as the penis or vagina of people who are not transgender. Your future penis or vagina will also feel and work in more or less the same way. But there are differences:
- You cannot ejaculate with a neo-penis.
- A neo-vagina produces very little or no moisture, so you need to use a lubricant for sex."
Duuh hatari 🙌Hakuna gender transformation ya female to male iliyofanikiwa kuweka penis. Kuna ujinga ujinga huwa wanafanya wa kukata nyama za upaja na mikono na kutengeneza likitu la ajabu kama soseji ambalo huwa wanalishonea katika sehemu za siri za mwanamke ili kuweka muonekano wa uume but huwa hauna kazi zaidi ya kupitisha mkojo.
Ukiona picha unaweza kutapika na kujiuliza hivi hawa wazungu vichaa vyao vinawapeleka wapi.
Hawezi kuwa mwanamke Kamili hata iwaje. Huyo ni biologically male hadi anazeeka. Kwasababu vinasaba vyake ni vya kiume ingawa ameshatoa sehemu ya via vya uzazi kama korodani na misuli na nyama za uume lakini DNA yake inamsoma kama XY chromosome being.Wewe unatumia smartphone unashindwa kutafuta taarifa mwenyewe unakubali kudanganywa,
Huyo Ines ni Transsexual yaan amebadili jinsi yake kutoka Me kwenda Ke kwa kufanya surgery,
Wanazitumia hizo hizo ndude zake kuzibadili na kupatikana Uke wenye kiantena chake (videos zipo tele jinsi wanavyobadilishwa ila ni very expensive na very risk)
Huyo Ines ni mwanamke kamili mwenye Uke na Maziwa na alifanya upasuaji huo akiwa ana miaka 16 lakini hakujitangaza hadi alipofika miaka 24 kwa maana hiyo watu alio date nao kipindi chote hicho hawakujua kama Ines ni mbadili jinsia.
Laana tupu. Mafanikio mengine ni maangukoHuyu dogo soka lake halitafika mbali
Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman
Sasa Mbappe amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia
Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo
View attachment 2463520
Wanakua na papuchi ila inakua Ni ya dukani, sio orijino.
Hivi kwani transgender hawanaga k? sio kwamba huwa wanafanyiwa surgery na kuwekewa k?