Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Duh kumbe ni dume!!!!!!??????

Tatizo maisha yanawachanganya watu, mtu anapigwa na maisha mpaka anaamua ajilipue kuwa shoga liwalo na liwe ilimradi ATM isome na Aishi maisha ya mserereko kama madem wanaohongwa Kwa kuliwa uroda.
Mkuu ni mtihani kwa kweli.
 
Sauti nyororo huwa haipatikani kwa kufanyiwa upasuaji wa koo. Bali huwa inapatikana kwa kupewa special dosage ya dawa za kufufua na kuongeza uzalishaji wa hormone ya kike aina ya estrogen na kupewa dosage ya sindano na vidonge vya kupunguza na kushusha uzalishaji wa hormone ya kiume itwayo testosterone.
Yaan watu wanajuaga kilakitu ni surgery hormony inaweza kukufanya mwanamke dakika sifuri, Ila wabongo wakijua hii wote wataishia kubadilika japo ni garama sana Ila wengi watataka uraisi na watakufa sana
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Niache kujikomba kwa mwanamke wa jf, halafu ni shoga!

Kumbe mwanamke anaweza kuwa shoga, na umejuaje kwamba huyo mwanamke ni shoga? Ulishawahi kukutana nae na ukathibitisha kwamba huyo mwenye jina feki na picha feki ni yeye?

Kama hujawahi kukutana nae, umejuaje kwamba huyo mwanamke ni shoga?, kwa kusoma tu anachoandika? PUMBAVU!

Nyie watu wapuuzi humu JF mnaboa sana, natamani niombe ban ya hiari hata ya miaka miwili, kujibishana na nyie ni kupoteza muda.
Mwanamke anakuwaje shoga?
 
Mchezaji wa Ufaransa na PSG, Kylian Mbappé hajawahi kuweka wazi mahusiano yake lakini anaripotiwa kutoka na mwanamitindo aliyebadili jinsia Ines Rau.

Mbappé na Ines Rau wameonekana mara kadhaa na Camera za Mapaparazi wakila bata kwenye maeneo ya kujidai!

Ines Rau alizaliwa mwanaume, akiwa na miaka 16 alifanya upasuaji wa kubadili jinsia na kuwa Mwanamke (Transgender).

Ines alipata msukumo wa kufanya upasuaji wake kutoka kwa mwigizaji Caroline Cossey, ambaye alibadilisha jinsia mnamo 1991 alikuwa mtu wa kwanza aliyebadili jinsia kuwahi kutokea katika jarida la Playboy.

Cossey aliandika kitabu ‘I am a Woman’ ambacho kilikuwa chanzo cha msukumo kwa Ines, alikuwa na usaidizi wote kutoka kwa familia yake na marafiki katika upasuaji huo.

Alifanyiwa upasuaji huo akiwa na umri wa miaka 16 lakini hakufichua (hakuweka hadharani) hadi alipokuwa na umri wa miaka 24 (miaka minane baadaye) aliogopa kuweka wazi mapema, alidhani watu watamkataa ikiwa watajua kuwa yeye ni mtu aliyebadili jinsia.

Mbappe Mbappe mbappe usije TZ. View attachment 2456607View attachment 2456608
Halali mesi awe anapendwa na kila mtu
 
Back
Top Bottom